Mwabukusi hatafanikiwa kwa lolote lile pale TLS bila kushirikiana na Serikali. Hatakuwa masiha, akiifanya TLS mkono wa CHADEMA, atapata majibu

Mwabukusi hatafanikiwa kwa lolote lile pale TLS bila kushirikiana na Serikali. Hatakuwa masiha, akiifanya TLS mkono wa CHADEMA, atapata majibu

chiembe

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2015
Posts
16,859
Reaction score
28,112
Naona watu wanamshangilia Mwabukusi kana kwamba atakuja na maajabu ya aina yoyote ila bila kuishirikisha serikali. Mwabukusi hawezi kuilazimisha

Ni serikali ndio inapeleka miswada bungeni, ni serikali ndio ina uwezo wa kurekebisha sheria ya T.L.S kama ikitaka, Mwabukusi hawezi kuilazimisha.

Ni uamuzi wa serikali kuishirikisha T.L.S katika mambo yake au laa

Na kama akiingia vitani kuisaidia Chadema kwa mgongo wa T.L.S, ajiandae kwa vita takatifu ambayo yeye hana vyombo vya kumpa ushindi, lakini anaopambana nao watakuwa wamejipanga.
 
Naona watu wanamshangilia Mwabukusi kana kwamba atakuja na maajabu ya aina yoyote ila bila kuishirikisha serikali. Mwabukusi hawezi kuilazimisha

Ni serikali ndio inapeleka miswada bungeni, ni serikali ndio ina uwezo wa kurekebisha sheria ya T.L.S kama ikitaka, Mwabukusi hawezi kuilazimisha.

Ni uamuzi wa serikali kuishirikisha T.L.S katika mambo yake au laa

Na kama akiingia vitani kuisaidia Chadema kwa mgongo wa T.L.S, aniandae kwa vita takatifu ambayo yeye hana vyombo vya kumpa ushindi, lakini anaopambana nao watakuwa wamejipanga.
Umeziona siku zako Sasa kanunue pedi
 
Naona watu wanamshangilia Mwabukusi kana kwamba atakuja na maajabu ya aina yoyote ila bila kuishirikisha serikali. Mwabukusi hawezi kuilazimisha

Ni serikali ndio inapeleka miswada bungeni, ni serikali ndio ina uwezo wa kurekebisha sheria ya T.L.S kama ikitaka, Mwabukusi hawezi kuilazimisha.

Ni uamuzi wa serikali kuishirikisha T.L.S katika mambo yake au laa

Na kama akiingia vitani kuisaidia Chadema kwa mgongo wa T.L.S, ajiandae kwa vita takatifu ambayo yeye hana vyombo vya kumpa ushindi, lakini anaopambana nao watakuwa wamejipanga.
Hahaha kunywa maji utulie, vuta pumzi na utoe taratibu, usije jipa pressure bure. Hilo hata watoto wa kimasai kule porini wana elewa hivyo. Ushabiki una unaleta ladha kama hivyo kashinda, wameshindwa lazima kuzodolewa.
 
Mwabukusi anasubiriwa saiti tu, ngoja atoke honeymoon hapo ukumbini anaposhangiliwa.
Screenshot_20240801-022208.png
Screenshot_20240801-022208.png
 
Tunasubiri atekeleze aliyowaahidi, ili tuone kama ana machinery za kuyatekeleza bila kushirikisha serikali
Watu walitamani kuona haki inatendeka..ndo issue kubwa. Masuala ya kuonea watu kisa hawaimbi pambio kwa serikali na sio wanafiki ndio kitu cha msingi. Huyo jamaa mpaka hapo kaonyesha jinsi mtu akiamua kupambana anaweza kupata haki yake hasa kwenye haya mambo ya chaguzi. Pia sakata la huyu bwana limeonesha jinsi kuna watu either wakishirikiana na serikali wanaweza kusubbotage misingi ya haki na sheria, hivyo ushindi wa huyu bwana ni kama tangazo la kuwa lazima watu wachague mtu wanayemtaka, sio system inayomtaka.Watu wakichagua CCM ni sawa, wakichagua CHADEMA, TLP au ACT ni sawa tu..na serikali waheshimu maamuzi au mapenzi ya watu.
Hayo mambo mengine ni sehemu B..either ashindwe kutimiza au aweze ni issue nyingine lkn sms imetumwa na imefika..inawezekana kabisa kudhibiti wizi wa kura na figisufigisu kwenye chaguzi zetu kama wananchi wataamua hivyo.
Huyu jamaa kajitahidi kwa nafasi yake...
 
Tunasubiri atekeleze aliyowaahidi, ili tuone kama ana machinery za kuyatekeleza bila kushirikisha serikali
Wewe ulitakaje? Ulitaka CCM washinde? Law Society of Kenya wakati wote inaendeshwa na na wanaharakati na ndio maana iko moto vibaya mno, Hii nchi mnataka wakati wote tuwe tunawapigia watawala magoti? kila kitu mnataka tuwe tunaimba mapambio?
 
Naona watu wanamshangilia Mwabukusi kana kwamba atakuja na maajabu ya aina yoyote ila bila kuishirikisha serikali. Mwabukusi hawezi kuilazimisha

Ni serikali ndio inapeleka miswada bungeni, ni serikali ndio ina uwezo wa kurekebisha sheria ya T.L.S kama ikitaka, Mwabukusi hawezi kuilazimisha.

Ni uamuzi wa serikali kuishirikisha T.L.S katika mambo yake au laa

Na kama akiingia vitani kuisaidia Chadema kwa mgongo wa T.L.S, ajiandae kwa vita takatifu ambayo yeye hana vyombo vya kumpa ushindi, lakini anaopambana nao watakuwa wamejipanga.
Nyie ndio vibaraka wa CCM acheni ujinga na njaa zenu!
 
F
Naona watu wanamshangilia Mwabukusi kana kwamba atakuja na maajabu ya aina yoyote ila bila kuishirikisha serikali. Mwabukusi hawezi kuilazimisha

Ni serikali ndio inapeleka miswada bungeni, ni serikali ndio ina uwezo wa kurekebisha sheria ya T.L.S kama ikitaka, Mwabukusi hawezi kuilazimisha.

Ni uamuzi wa serikali kuishirikisha T.L.S katika mambo yake au laa

Na kama akiingia vitani kuisaidia Chadema kwa mgongo wa T.L.S, ajiandae kwa vita takatifu ambayo yeye hana vyombo vya kumpa ushindi, lakini anaopambana nao watakuwa wamejipanga.
Fungu la kukosa na Dua la kuku.

Kwani amekwambia hatashirikiana na serikali?

That man is smart and hard worker.
 
Naona watu wanamshangilia Mwabukusi kana kwamba atakuja na maajabu ya aina yoyote ila bila kuishirikisha serikali. Mwabukusi hawezi kuilazimisha

Ni serikali ndio inapeleka miswada bungeni, ni serikali ndio ina uwezo wa kurekebisha sheria ya T.L.S kama ikitaka, Mwabukusi hawezi kuilazimisha.

Ni uamuzi wa serikali kuishirikisha T.L.S katika mambo yake au laa

Na kama akiingia vitani kuisaidia Chadema kwa mgongo wa T.L.S, ajiandae kwa vita takatifu ambayo yeye hana vyombo vya kumpa ushindi, lakini anaopambana nao watakuwa wamejipanga.
Mimi nadhani la muhimu ni kuwa haki imeshinda dhuluma. Nasema hivi kwa sababu alikuwa ameenguliwa kwa dhulma, mahakama ikarudisha jina lake. Wamejitahidi kuweka mamluki na kuzima database ya kuhakiki lakini bado ameshinda. Ujumbe walioutuma hawa wanasheria kwa serikali ndiyo muhimu kabisa. Vinginevyo hata mimi sioni akiwa na uwezo wa kubadili mambo ya kidhalimu ya CCM.
 
Naona watu wanamshangilia Mwabukusi kana kwamba atakuja na maajabu ya aina yoyote ila bila kuishirikisha serikali. Mwabukusi hawezi kuilazimisha

Ni serikali ndio inapeleka miswada bungeni, ni serikali ndio ina uwezo wa kurekebisha sheria ya T.L.S kama ikitaka, Mwabukusi hawezi kuilazimisha.

Ni uamuzi wa serikali kuishirikisha T.L.S katika mambo yake au laa

Na kama akiingia vitani kuisaidia Chadema kwa mgongo wa T.L.S, ajiandae kwa vita takatifu ambayo yeye hana vyombo vya kumpa ushindi, lakini anaopambana nao watakuwa wamejipanga.
Mahakama inashirikiana vizuri sana na serikali lakini wanaoumia ni wananchi kwa kutopata haki zao.
Bunge linashirikiana vyema sana na serikali tena huku bunge likiwa tiifu na likiiabudu serikali, lakini bunge lenyewe ndiyo hili kama mnavyolions na wanaoishia kuumia ni wananchi na rasilimali za nchi zinauzwa huku bunge likishuhudia.
Polisi ni watii kwa serikali, anayeteswa na kunyanysika ni Mwananchi.
Tume ya Uchaguzi, TISS, msajiri wa vyama wote hao ni watiifu na wanaiabudu serikali, Je faida ipi wananchi wanaipata?
Bado hamjatosheka na viwango vya mateso na manyanyaso na aibu kwa nchi na wananchi hata mtake kila taasisi we na utiifu na kuiabudu serikali?

Mnadhani wananchi hawajifunzi?
 
Naona watu wanamshangilia Mwabukusi kana kwamba atakuja na maajabu ya aina yoyote ila bila kuishirikisha serikali. Mwabukusi hawezi kuilazimisha

Ni serikali ndio inapeleka miswada bungeni, ni serikali ndio ina uwezo wa kurekebisha sheria ya T.L.S kama ikitaka, Mwabukusi hawezi kuilazimisha.

Ni uamuzi wa serikali kuishirikisha T.L.S katika mambo yake au laa

Na kama akiingia vitani kuisaidia Chadema kwa mgongo wa T.L.S, ajiandae kwa vita takatifu ambayo yeye hana vyombo vya kumpa ushindi, lakini anaopambana nao watakuwa wamejipanga.
You are prejudiced! Unajuaje kwamba hatashirikiana na serikali? Unadhani kuikosoa serikali siyo kushirikiana nayo? Ungeniuliza mimi ni watu gani wanaoshirikiana na serikali zaidi kati ya wakosoaji na wasiokosoa, nathubutu kusema wakosoaji ndio wanaoshirikiana na serikali zaidi. Hawa ni watu wanapoona matatizo wanayasema na serikali ikisikia itaanza kuyatafutia ufumbuzi, wakati wale wengine wanaojifanya kila kitu kiko vizuri au kinakwenda vizuri hawawezi kusema wakidhani wakisema hawaipendi serikali. Huna 'justification' yoyote kuonyesha kwamba Mwabukusi hatashirikiana na serikali, unapiga ramli tu. Nchi hii ni yetu wote na kila mwananchi anapaswa kuwa na fursa sawa na mwingine katika kutoa mawazo, kuchagua au kuchaguliwa na kutoa mchango kwa taifa lake. Tusidhani ni wale wa "ndiyo" tu ndio wanaostahili kuwa viongozi katika nchi hii. This is wrong! Ni imani yangu kwamba wakosoaji na wasio wakosoaji wote wanataka maendeleo - hakuna asiyetaka. Ila wakosoaji hawana woga wa kusema na wale wengine wanadhani wakisema wataonekana wabaya na hali kama hii tunaitengeneza wenyewe.
 
Naona watu wanamshangilia Mwabukusi kana kwamba atakuja na maajabu ya aina yoyote ila bila kuishirikisha serikali. Mwabukusi hawezi kuilazimisha

Ni serikali ndio inapeleka miswada bungeni, ni serikali ndio ina uwezo wa kurekebisha sheria ya T.L.S kama ikitaka, Mwabukusi hawezi kuilazimisha.

Ni uamuzi wa serikali kuishirikisha T.L.S katika mambo yake au laa

Na kama akiingia vitani kuisaidia Chadema kwa mgongo wa T.L.S, ajiandae kwa vita takatifu ambayo yeye hana vyombo vya kumpa ushindi, lakini anaopambana nao watakuwa wamejipanga.
Kaa kwa kutulia hivi kwa nini hamuamini katika mifumo ya utawala bora?Aisaidie chadema kwa lipi sasa yaani watu washindwe kujadili mambo ya msingi kisa hawana baraka za CCM jiheshimu bro sio unaongea kama shoga hapa
 
Back
Top Bottom