Mwabukusi hatafanikiwa kwa lolote lile pale TLS bila kushirikiana na Serikali. Hatakuwa masiha, akiifanya TLS mkono wa CHADEMA, atapata majibu

Mwabukusi hatafanikiwa kwa lolote lile pale TLS bila kushirikiana na Serikali. Hatakuwa masiha, akiifanya TLS mkono wa CHADEMA, atapata majibu

Naona watu wanamshangilia Mwabukusi kana kwamba atakuja na maajabu ya aina yoyote ila bila kuishirikisha serikali. Mwabukusi hawezi kuilazimisha

Ni serikali ndio inapeleka miswada bungeni, ni serikali ndio ina uwezo wa kurekebisha sheria ya T.L.S kama ikitaka, Mwabukusi hawezi kuilazimisha.

Ni uamuzi wa serikali kuishirikisha T.L.S katika mambo yake au laa

Na kama akiingia vitani kuisaidia Chadema kwa mgongo wa T.L.S, ajiandae kwa vita takatifu ambayo yeye hana vyombo vya kumpa ushindi, lakini anaopambana nao watakuwa wamejipanga.
MaCCM mkae mtulie.sindano ziwaingie. Mwaisa ameonyesha dhahiri kuwa ana uwezo wa kupambana na majizi (CCM). Hamtamuweza.
 
Naona watu wanamshangilia Mwabukusi kana kwamba atakuja na maajabu ya aina yoyote ila bila kuishirikisha serikali. Mwabukusi hawezi kuilazimisha

Ni serikali ndio inapeleka miswada bungeni, ni serikali ndio ina uwezo wa kurekebisha sheria ya T.L.S kama ikitaka, Mwabukusi hawezi kuilazimisha.

Ni uamuzi wa serikali kuishirikisha T.L.S katika mambo yake au laa

Na kama akiingia vitani kuisaidia Chadema kwa mgongo wa T.L.S, ajiandae kwa vita takatifu ambayo yeye hana vyombo vya kumpa ushindi, lakini anaopambana nao watakuwa wamejipanga.
huyo jamaa atafeli mapema sana
 
Naona watu wanamshangilia Mwabukusi kana kwamba atakuja na maajabu ya aina yoyote ila bila kuishirikisha serikali. Mwabukusi hawezi kuilazimisha

Ni serikali ndio inapeleka miswada bungeni, ni serikali ndio ina uwezo wa kurekebisha sheria ya T.L.S kama ikitaka, Mwabukusi hawezi kuilazimisha.

Ni uamuzi wa serikali kuishirikisha T.L.S katika mambo yake au laa

Na kama akiingia vitani kuisaidia Chadema kwa mgongo wa T.L.S, ajiandae kwa vita takatifu ambayo yeye hana vyombo vya kumpa ushindi, lakini anaopambana nao watakuwa wamejipanga.
Kwani walioshirikiana na serikali walipata nini?
 
Naona watu wanamshangilia Mwabukusi kana kwamba atakuja na maajabu ya aina yoyote ila bila kuishirikisha serikali. Mwabukusi hawezi kuilazimisha

Ni serikali ndio inapeleka miswada bungeni, ni serikali ndio ina uwezo wa kurekebisha sheria ya T.L.S kama ikitaka, Mwabukusi hawezi kuilazimisha.

Ni uamuzi wa serikali kuishirikisha T.L.S katika mambo yake au laa

Na kama akiingia vitani kuisaidia Chadema kwa mgongo wa T.L.S, ajiandae kwa vita takatifu ambayo yeye hana vyombo vya kumpa ushindi, lakini anaopambana nao watakuwa wamejipanga.
We jamaa una miaka zaidi ya kumi ukiwa member wa JF. Mpaka Leo bado chawa wa CCM.

Hili taifa Lina raia wa hovyo sana.

Hii nchi ina allergy na watu wanaojitambua. Lawyers ni moja wapo ya Makundi yanajitambua.
 
Naona watu wanamshangilia Mwabukusi kana kwamba atakuja na maajabu ya aina yoyote ila bila kuishirikisha serikali. Mwabukusi hawezi kuilazimisha

Ni serikali ndio inapeleka miswada bungeni, ni serikali ndio ina uwezo wa kurekebisha sheria ya T.L.S kama ikitaka, Mwabukusi hawezi kuilazimisha.

Ni uamuzi wa serikali kuishirikisha T.L.S katika mambo yake au laa

Na kama akiingia vitani kuisaidia Chadema kwa mgongo wa T.L.S, ajiandae kwa vita takatifu ambayo yeye hana vyombo vya kumpa ushindi, lakini anaopambana nao watakuwa wamejipanga.
Mbona kelele mapema Mwabukusi hata hajanywa supu aisee.Hebu Subiri Rais aamke.
 
Mtanzania yeyote ambaye anachukia kuminywa Kwa haki lazima amkubali mwambukusi.Ikiwezekana mwambukusi akimaliza uongozi wake TLS ajiunge na chama Cha siasa ili wananchi tumchague awe rais ili Nchi inyooshwe kutokana na kuharibuwa na hawa CCM.Naamini Kwa misimamo yake Ile ya kupinga kuonewa watanzania na hii serikali dhalimu ya ccm pamoja na kupinga mikataba ya hovyo kama Ile ya Dp world na Ile ya LNG,huyu mzalendo atatusaidia sana Kwa Nchi kupiga hatua kimaendeleo.
 
Soon atajiona mkubwa Sana, ataonyesha disrespect kwa judiciary,atapelekwa kamati ya maadili na kufutiwa leseni. Automatic atakosa sifa ya kuwa raisi
 
Naona watu wanamshangilia Mwabukusi kana kwamba atakuja na maajabu ya aina yoyote ila bila kuishirikisha serikali. Mwabukusi hawezi kuilazimisha

Ni serikali ndio inapeleka miswada bungeni, ni serikali ndio ina uwezo wa kurekebisha sheria ya T.L.S kama ikitaka, Mwabukusi hawezi kuilazimisha.

Ni uamuzi wa serikali kuishirikisha T.L.S katika mambo yake au laa

Na kama akiingia vitani kuisaidia Chadema kwa mgongo wa T.L.S, ajiandae kwa vita takatifu ambayo yeye hana vyombo vya kumpa ushindi, lakini anaopambana nao watakuwa wamejipanga.
Huo ndio ukweli japo watu wanaona kama uko biased Ila sio hvo T.L.S ni chombo kikubwa na Chenye mchango mkubwa kisheria nchini hakipaswi kihudumiwa kiharakati
 
Naona watu wanamshangilia Mwabukusi kana kwamba atakuja na maajabu ya aina yoyote ila bila kuishirikisha serikali. Mwabukusi hawezi kuilazimisha

Ni serikali ndio inapeleka miswada bungeni, ni serikali ndio ina uwezo wa kurekebisha sheria ya T.L.S kama ikitaka, Mwabukusi hawezi kuilazimisha.

Ni uamuzi wa serikali kuishirikisha T.L.S katika mambo yake au laa

Na kama akiingia vitani kuisaidia Chadema kwa mgongo wa T.L.S, ajiandae kwa vita takatifu ambayo yeye hana vyombo vya kumpa ushindi, lakini anaopambana nao watakuwa wamejipanga.
Umechelewa ndugu yangu, ulitakiwa uyaseme hayo kabla Mwamba hajachaguliwa. Sasa hivi tusubiri mambo mapya, usikariri ya zamani mkuu!
 
Back
Top Bottom