Mwabukusi hatafanikiwa kwa lolote lile pale TLS bila kushirikiana na Serikali. Hatakuwa masiha, akiifanya TLS mkono wa CHADEMA, atapata majibu

Kwanini haya yote yanatoka wapi?
Nimeamini wachawi nchi hii wako ccm
Badala ya kumwombea mazuri ashirikiane pia aibane serikali ikae kwenye msitari una mwaga laana
 
Serikari ikinyooka itashirikiana naye

Au uoga wako serikali haijanyioka

Huu ni mwanzo wa kuyoosha mamba yaliyopinda muda mrefu

Nadhani serekali ianze kukaa sawa
Hizi zitakuwa zama za mwisho za ubabaidhaji ulokithiri
Bungeni, mahakamani na serekalini

Next ni lissu kuchukua nchi
Ubabaishaji na uzembe goodbye
 
Wanaharakati wamekiharibu chama.

Uhana harakati aka activists ni muhimu kwa utawala wa sheria na ustawi wa kijamii.
Kupaza sauti pale panapokuwa siyo sawa au kutafuta madiriko chanya kwa ustawi wa taifa.
Nje ya hapo ni kuwa dormant and finally extinct.
Remember:- Without a challenge your scale of deeds becomes dormant and extinct.
 

Huu ungeupa jina kuwa usia wa chiembe samaki ingependeza sana.

Ama kwa hakika JF ni burudani kwa wote 🤣.
 
Soon atajiona mkubwa Sana, ataonyesha disrespect kwa judiciary,atapelekwa kamati ya maadili na kufutiwa leseni. Automatic atakosa sifa ya kuwa raisi
🚮 🚮 🚮
Mwabukusi siyo "kubwa jinga" kama wewe.
Hiyo hiyo mahakama ndo ilirejesha candidacy yake baada ya kuhujumiwa awali na mafisadi (a.k.a sisiemu)
 
na atawanyoosha.
 
Haitoshi, CWT, TUCTA, TUGHE na unions nyingine zote zinatakiwa kuwa taasisi za kiharakati.
Hakuna haja ya kuwa na vyama ambavyo havijitoshelezi mpaka kuharibu vyama vya kitaaluma.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…