Nakushauri mzalie mwabukusi angalau mtoto mmoja na umwite KAJUNJUMELE nadhani utaishi kwa amani vinginevyo utaugua Mwabukusios ugonjwa mpya usababishwao na bacteria aitwae Mwabukusae KajunjumelensisMwabukusi anasubiriwa saiti tu, ngoja atoke honeymoon hapo ukumbini anaposhangiliwa.
Huto tuvyama ndio maana tunadharauliwa sana na serikali hata mapendekezo ya kuboresha maslahi ya wanachama wao yanayotolewa siku ya mei mosi hakuna anayeyajaliHaitoshi, CWT, TUCTA, TUGHE na unions nyingine zote zinatakiwa kuwa taasisi za kiharakati.
Dogo tulixa mshono au MCHAZA sisi wangoni tunaita hivyo 😅🤣Naona watu wanamshangilia Mwabukusi kana kwamba atakuja na maajabu ya aina yoyote ila bila kuishirikisha serikali. Mwabukusi hawezi kuilazimisha
Ni serikali ndio inapeleka miswada bungeni, ni serikali ndio ina uwezo wa kurekebisha sheria ya T.L.S kama ikitaka, Mwabukusi hawezi kuilazimisha.
Ni uamuzi wa serikali kuishirikisha T.L.S katika mambo yake au laa
Na kama akiingia vitani kuisaidia Chadema kwa mgongo wa T.L.S, ajiandae kwa vita takatifu ambayo yeye hana vyombo vya kumpa ushindi, lakini anaopambana nao watakuwa wamejipanga.
TLS, TUGHE, TUCTA na CWTsio vyama vya kitaaluma, vyama vya kitaaluma ni kama Medical Council of TanganyikaHakuna haja ya kuwa na vyama ambavyo havijitoshelezi mpaka kuharibu vyama vya kitaaluma.
Kwa ufupi mkuu Chinembe unaweweseka!Naona watu wanamshangilia Mwabukusi kana kwamba atakuja na maajabu ya aina yoyote ila bila kuishirikisha serikali. Mwabukusi hawezi kuilazimisha
Ni serikali ndio inapeleka miswada bungeni, ni serikali ndio ina uwezo wa kurekebisha sheria ya T.L.S kama ikitaka, Mwabukusi hawezi kuilazimisha.
Ni uamuzi wa serikali kuishirikisha T.L.S katika mambo yake au laa
Na kama akiingia vitani kuisaidia Chadema kwa mgongo wa T.L.S, ajiandae kwa vita takatifu ambayo yeye hana vyombo vya kumpa ushindi, lakini anaopambana nao watakuwa wamejipanga.
Dua la mwewe halimpati kukuSoon atajiona mkubwa Sana, ataonyesha disrespect kwa judiciary,atapelekwa kamati ya maadili na kufutiwa leseni. Automatic atakosa sifa ya kuwa raisi
Kwani Lissu, Fatuma karume na Nshalla wao Vipi mbona hamkuwazungumzia sana au tuseme mnamuogopa yeye kuliko waoNaona watu wanamshangilia Mwabukusi kana kwamba atakuja na maajabu ya aina yoyote ila bila kuishirikisha serikali. Mwabukusi hawezi kuilazimisha
Ni serikali ndio inapeleka miswada bungeni, ni serikali ndio ina uwezo wa kurekebisha sheria ya T.L.S kama ikitaka, Mwabukusi hawezi kuilazimisha.
Ni uamuzi wa serikali kuishirikisha T.L.S katika mambo yake au laa
Na kama akiingia vitani kuisaidia Chadema kwa mgongo wa T.L.S, ajiandae kwa vita takatifu ambayo yeye hana vyombo vya kumpa ushindi, lakini anaopambana nao watakuwa wamejipanga.
Unataka afanikiwe kwa miaka 3 wakati TANU na baadae CCM vimeikwamisha nchi kuanzia mwaka 1961 hadi leo?!Naona watu wanamshangilia Mwabukusi kana kwamba atakuja na maajabu ya aina yoyote ila bila kuishirikisha serikali. Mwabukusi hawezi kuilazimisha
Ni serikali ndio inapeleka miswada bungeni, ni serikali ndio ina uwezo wa kurekebisha sheria ya T.L.S kama ikitaka, Mwabukusi hawezi kuilazimisha.
Ni uamuzi wa serikali kuishirikisha T.L.S katika mambo yake au laa
Na kama akiingia vitani kuisaidia Chadema kwa mgongo wa T.L.S, ajiandae kwa vita takatifu ambayo yeye hana vyombo vya kumpa ushindi, lakini anaopambana nao watakuwa wamejipanga.
T.L.S ndio nini?Naona watu wanamshangilia Mwabukusi kana kwamba atakuja na maajabu ya aina yoyote ila bila kuishirikisha serikali. Mwabukusi hawezi kuilazimisha
Ni serikali ndio inapeleka miswada bungeni, ni serikali ndio ina uwezo wa kurekebisha sheria ya T.L.S kama ikitaka, Mwabukusi hawezi kuilazimisha.
Ni uamuzi wa serikali kuishirikisha T.L.S katika mambo yake au laa
Na kama akiingia vitani kuisaidia Chadema kwa mgongo wa T.L.S, ajiandae kwa vita takatifu ambayo yeye hana vyombo vya kumpa ushindi, lakini anaopambana nao watakuwa wamejipanga.
Mkuu unamjibu huyo kichaa,ambae amejaa hofu na woga.Wewe ulitakaje? Ulitaka CCM washinde? Law Society of Kenya wakati wote inaendeshwa na na wanaharakati na ndio maana iko moto vibaya mno, Hii nchi mnataka wakati wote tuwe tunawapigia watawala magoti? kila kitu mnataka tuwe tunaimba mapambio?
Mnataka kumteka na kumuuwaMwabukusi anasubiriwa saiti tu, ngoja atoke honeymoon hapo ukumbini anaposhangiliwa.
Wewe hata za Kata hunaHiyo history ulikuwa unaisomea wapi?! Akili za shule za kata hizo