Mwabukusi, Lissu, Nshalla na Mbowe mmetuharibia mjadala wa Bandari

Mwabukusi, Lissu, Nshalla na Mbowe mmetuharibia mjadala wa Bandari

Bhisumbinyama

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2019
Posts
797
Reaction score
581
Heshima kwenu Wakuu,

Majamaa tajwa hapo juu yawezekana kuwa wamelipwa rushwa kubwa sana na mamlaka za juu ili waharibu mjadala wa kitaifa juu ya uwekezaji wa DP WORLD katika bandari ya Dar es Salaam.

Hili limetokana na ukweli kwamba mara tu mjadala ulipoanza watu hawa walikimbilia kushambulia watu na kukandia asili zao badala ya kujadili hoja iliyopo mezani.

Wengine kama Nshalla walienda mbali mpaka wakafikia kumutukana Rais matusi mabaya kabisa.

Hawa wameonekana dhahiri kutumiwa na Serikali kuharibu mjadala kwa sababu za wazi zifuatazo:
1. Huwezi ukamtukana Rais halafu tena watu wakazingatia unachokiongea badala yake kila mtu ataamka na kumlinda huku akipuuza unachosema.

2. Kuwabagua wazanzibar na kuonesha kuwa hawana haki ya kusimamia mambo ya nchi wawapo viongozi. Hapa Mbowe, Mwabukusi na Lissu wameonesha dhahiri kuwa wamekula mlungula wa kutosha ili wajifanye wanawashambulia wazanzibar kisha watu wasimame kuwatetea na agenda ya msingi isahaulike.

Hawa jamaa wameharibu kila kitu na watajibu siku ya kiama kwa kukubali kutumiwa ili kuwasahaulisha watu agenda muhimu na nyeti.
 
Kwa nini kaka? Kwani hutaki tuweke wazi usani wa akina Lissu et al ambao ni wazalendo uchwara wenye viashiria vya kuwa wala rushwa?
Kichwa chako kina matatizo
Wewe unaona ni Sawa kabisa MTU WA bara kutoruhusiwa kuwa kiongozi Zenj Wala kumiliki ardhi zenji lakini MTU WA zenji bara anakuwa na sifa Hizo hyo Kwako ni Sawa kabisa?
 
Heshima kwenu Wakuu,

Majamaa tajwa hapo juu yawezekana kuwa wamelipwa rushwa kubwa sana na mamlaka za juu ili waharibu mjadala wa kitaifa juu ya uwekezaji wa DP WORLD katika bandari ya Dar es Salaam...
Hawa uliowataja ni mawakala wa wazungu wenyewe wenye kuchukia wanapoona tunataka kufaidika na bandari kwa asilimia mia moja.

Wengi wa hawa wanasheria ni watu wanaolipwa baada ya kuongea mbele ya waandishi wa habari hivyo ni silaha muhimu ya siri ya wenye pesa katika vita dhidi ya mipango ya serikali.

Rais Samia unaweza kumuona mpole lakini yupo kimkakatia sana kuliko hawa wanasiasa wapiga kelele wanavyomchukulia.

Hawa wapiga kelele wanawafanyia jambo baya sana wadau halisi wa bandari ambao wanaunga mkono mia kwa mia uwekezaji huu.

Kuna hizi ICD yaani container depot ni sehemu ya kuhifadhi mizigo zilizobuniwa katika awamu ya nne na ya tatu, ambazo kwa kiasi kikubwa ni mali za mawaziri na mabosi wengine wa serikalini, hawa watapinga uwekezaji wa DPW.

Akija huyu mwekezaji kutakuwa hakuna sababu ya mzigo kuhifadhiwa kwenye yard ya mtu eti ukisubiri kwenda kupakiwa melini, hizi foleni zilizotengenezwa ndizo zinazowapa ulaji wafanyabiashara wachache wa mijini, ni upumbavu mtupu unaoendelea pale TPA.

Mitambo ya kisasa itapakua na kupakia mzigo wa melini kwa haraka zaidi na ufanisi utakaokuwepo utawafanya wafanyabiashara wafikirie masuala mengine kwenye huo muda wanaotumia kufikiria kutoa au kuingiza makontena bandarini.

Kundi la wanaopinga uwekezaji linawatumia hawa wanasiasa wenye kuheshimiwa mbele ya umma kwa ajili ya kujenga hofu na picha hasi juu ya kinachotaka kufanyika lakini mwisho wao umeshakaribia.
 
Kichwa chako kina matatizo
Wewe unaona ni Sawa kabisa MTU WA bara kutoruhusiwa kuwa kiongozi Zenj Wala kumiliki ardhi zenji lakini MTU WA zenji bara anakuwa na sifa Hizo hyo Kwako ni Sawa kabisa?
Hiyo haina shida kama iko kisheria kwa sababu nchi huenda kwa kariba siyo mihemko. MWABUKUSI, LISSU , NSHALLA NA MBOWE WAMETUKOSEA SANA.
 
Nakubali mkuu. Hawa wachumia tumbo ni watu hatari sana.
Lakini nailaumu CCM pia, imelea hawa wafanyabiashara matapeli wa Dar na wakajiona ndio kila kitu kwa sababu tu wanawapa asilimia fulani kwa kila biashara ya chini ya kapeti.

JK alikuwa anatembea na yule mfanyabiashara mhindi aliyefariki kwa covid mwaka juzi, katika mikutano ya hadhara. Wamewalea wenyewe kwa muda mrefu mpaka wakaweza kutengeneza network yao kule bandarini na kwa sasa wanauhisi ugumu wa maisha utakavyowapiga baada ya bandari kuanza kuendeshwa kisasa zaidi.
 
Natumika kwa faida ya mabilioni yatakayoingia TRA, natumika kwa ajili ya Mama Tanzania na sio kwa ajili ya hao matajiri wenye pesa zenye harufu ya dhuluma.
unatumika kwa wapuuzi wanaotaka kumiliki bandari zetu watanganyika milele,hio TRA imeshindwa kuwa bunifu kutengeneza mabilioni bila kuwapa waarabu bandari zetu ?
 
Kichwa chako kina matatizo
Wewe unaona ni Sawa kabisa MTU WA bara kutoruhusiwa kuwa kiongozi Zenj Wala kumiliki ardhi zenji lakini MTU WA zenji bara anakuwa na sifa Hizo hyo Kwako ni Sawa kabisa?
Hii si sawa, bora kila mtu akae kwake. hapa serikali 3 kama moja imeshindikana. Vinginevyo tugawane fito, tubaki kuwa majirani wema kama Uganda na Kenya wote ni majirani bila kuungana
 
Heshima kwenu Wakuu,

Majamaa tajwa hapo juu yawezekana kuwa wamelipwa rushwa kubwa sana na mamlaka za juu ili waharibu mjadala wa kitaifa juu ya uwekezaji wa DP WORLD katika bandari ya Dar es Salaam.

Hili limetokana na ukweli kwamba mara tu mjadala ulipoanza watu hawa walikimbilia kushambulia watu na kukandia asili zao badala ya kujadili hoja iliyopo mezani.

Wengine kama Nshalla walienda mbali mpaka wakafikia kumutukana Rais matusi mabaya kabisa.

Hawa wameonekana dhahiri kutumiwa na Serikali kuharibu mjadala kwa sababu za wazi zifuatazo:
1. Huwezi ukamtukana Rais halafu tena watu wakazingatia unachokiongea badala yake kila mtu ataamka na kumlinda huku akipuuza unachosema.

2. Kuwabagua wazanzibar na kuonesha kuwa hawana haki ya kusimamia mambo ya nchi wawapo viongozi. Hapa Mbowe, Mwabukusi na Lissu wameonesha dhahiri kuwa wamekula mlungula wa kutosha ili wajifanye wanawashambulia wazanzibar kisha watu wasimame kuwatetea na agenda ya msingi isahaulike.

Hawa jamaa wameharibu kila kitu na watajibu siku ya kiama kwa kukubali kutumiwa ili kuwasahaulisha watu agenda muhimu na nyeti.
Du ni ngumu kumeza
 
unatumika kwa wapuuzi wanaotaka kumiliki bandari zetu watanganyika milele,hio TRA imeshindwa kuwa bunifu kutengeneza mabilioni bila kuwapa waarabu bandari zetu ?
Ukikosa hoja unakuja na huu upuuzi wa bandari kupewa waarabu. Stupid and childish argument.

DPW wana miliki bandari mbili za UK na huko pia wanataka kuwamilikisha waarabu bandari zao?.

Huu ndio ujinga wanaotumia kama chambo cha kuziteka akili za watu wengi huko mitaani. DPW wamewekeza kwenye bandari zaidi ya 30 duniani na huko kote wanazo akili za kibaguzi na kipuuzi kama hizi za mpendwa Anita?.
 
Heshima kwenu Wakuu,

Majamaa tajwa hapo juu yawezekana kuwa wamelipwa rushwa kubwa sana na mamlaka za juu ili waharibu mjadala wa kitaifa juu ya uwekezaji wa DP WORLD katika bandari ya Dar es Salaam.

Hili limetokana na ukweli kwamba mara tu mjadala ulipoanza watu hawa walikimbilia kushambulia watu na kukandia asili zao badala ya kujadili hoja iliyopo mezani.

Wengine kama Nshalla walienda mbali mpaka wakafikia kumutukana Rais matusi mabaya kabisa.

Hawa wameonekana dhahiri kutumiwa na Serikali kuharibu mjadala kwa sababu za wazi zifuatazo:
1. Huwezi ukamtukana Rais halafu tena watu wakazingatia unachokiongea badala yake kila mtu ataamka na kumlinda huku akipuuza unachosema.

2. Kuwabagua wazanzibar na kuonesha kuwa hawana haki ya kusimamia mambo ya nchi wawapo viongozi. Hapa Mbowe, Mwabukusi na Lissu wameonesha dhahiri kuwa wamekula mlungula wa kutosha ili wajifanye wanawashambulia wazanzibar kisha watu wasimame kuwatetea na agenda ya msingi isahaulike.

Hawa jamaa wameharibu kila kitu na watajibu siku ya kiama kwa kukubali kutumiwa ili kuwasahaulisha watu agenda muhimu na nyeti.
wewe ni kinyeo. huna akili
 
Ukikosa hoja unakuja na huu upuuzi wa bandari kupewa waarabu. Stupid and childish argument.

DPW wana miliki bandari mbili za UK na huko pia wanataka kuwamilikisha waarabu bandari zenu?.

Huu ndio ujinga wanaotumia kama chambo cha kuziteka akili za watu wengi huko mitaani. DPW wamewekeza kwenye bandari zaidi ya 30 duniani na huko kote wanazo akili za kibaguzi na kipuuzi kama hizi za mpendwa Anita?.
kwani hao wanaochukua bandari zetu sio waarabu?? wewe mtu akikuita mmatumbi is it not a fact???

Huko Uk nako wana mkataba wa milele???

Nani anatumia ujinga kuteka akili ya nani??? wewe sema kama una maslahi na hao 'waarabu'?
 
Back
Top Bottom