Mwabukusi, Lissu, Nshalla na Mbowe mmetuharibia mjadala wa Bandari

Mwabukusi, Lissu, Nshalla na Mbowe mmetuharibia mjadala wa Bandari

Sawa hao ni mawakala wa wazungu turudi kwenye mada mkataba unamaslahi gani kwa Taifa??? Na Falme za Kiarabu zimewahi kutusaidia nini watanzania???
 
Heshima kwenu Wakuu,

Majamaa tajwa hapo juu yawezekana kuwa wamelipwa rushwa kubwa sana na mamlaka za juu ili waharibu mjadala wa kitaifa juu ya uwekezaji wa DP WORLD katika bandari ya Dar es Salaam.

Hili limetokana na ukweli kwamba mara tu mjadala ulipoanza watu hawa walikimbilia kushambulia watu na kukandia asili zao badala ya kujadili hoja iliyopo mezani.

Wengine kama Nshalla walienda mbali mpaka wakafikia kumutukana Rais matusi mabaya kabisa.

Hawa wameonekana dhahiri kutumiwa na Serikali kuharibu mjadala kwa sababu za wazi zifuatazo:
1. Huwezi ukamtukana Rais halafu tena watu wakazingatia unachokiongea badala yake kila mtu ataamka na kumlinda huku akipuuza unachosema.

2. Kuwabagua wazanzibar na kuonesha kuwa hawana haki ya kusimamia mambo ya nchi wawapo viongozi. Hapa Mbowe, Mwabukusi na Lissu wameonesha dhahiri kuwa wamekula mlungula wa kutosha ili wajifanye wanawashambulia wazanzibar kisha watu wasimame kuwatetea na agenda ya msingi isahaulike.

Hawa jamaa wameharibu kila kitu na watajibu siku ya kiama kwa kukubali kutumiwa ili kuwasahaulisha watu agenda muhimu na nyeti.
Wala hakuna rushwa yoyote wamepewa, Hawa jamaa wanahitaji majibu ya maswali machache tu likiwemo " Kwanini bandari za Zanzibar hazimo kwenye mkataba huu"? Nina uhakika hata wewe huna jibu la swali hilo.!
 
Hawa uliowataja ni mawakala wa wazungu wenyewe wenye kuchukia wanapoona tunataka kufaidika na bandari kwa asilimia mia moja.

Wengi wa hawa wanasheria ni watu wanaolipwa baada ya kuongea mbele ya waandishi wa habari hivyo ni silaha muhimu ya siri ya wenye pesa katika vita dhidi ya mipango ya serikali.

Rais Samia unaweza kumuona mpole lakini yupo kimkakatia sana kuliko hawa wanasiasa wapiga kelele wanavyomchukulia.

Hawa wapiga kelele wanawafanyia jambo baya sana wadau halisi wa bandari ambao wanaunga mkono mia kwa mia uwekezaji huu.

Kuna hizi ICD yaani container depot ni sehemu ya kuhifadhi mizigo zilizobuniwa katika awamu ya nne na ya tatu, ambazo kwa kiasi kikubwa ni mali za mawaziri na mabosi wengine wa serikalini, hawa watapinga uwekezaji wa DPW.

Akija huyu mwekezaji kutakuwa hakuna sababu ya mzigo kuhifadhiwa kwenye yard ya mtu eti ukisubiri kwenda kupakiwa melini, hizi foleni zilizotengenezwa ndizo zinazowapa ulaji wafanyabiashara wachache wa mijini, ni upumbavu mtupu unaoendelea pale TPA.

Mitambo ya kisasa itapakua na kupakia mzigo wa melini kwa haraka zaidi na ufanisi utakaokuwepo utawafanya wafanyabiashara wafikirie masuala mengine kwenye huo muda wanaotumia kufikiria kutoa au kuingiza makontena bandarini.

Kundi la wanaopinga uwekezaji linawatumia hawa wanasiasa wenye kuheshimiwa mbele ya umma kwa ajili ya kujenga hofu na picha hasi juu ya kinachotaka kufanyika lakini mwisho wao umeshakaribia.

“Hao ulio wataja ni mawakala wa wazungu”
Swali. Kwa statement yako, prove ulichokisema in relation to evidence kwamba kweli wanatumika na so called “wazungu”
 
Heshima kwenu Wakuu,

Majamaa tajwa hapo juu yawezekana kuwa wamelipwa rushwa kubwa sana na mamlaka za juu ili waharibu mjadala wa kitaifa juu ya uwekezaji wa DP WORLD katika bandari ya Dar es Salaam.

Hili limetokana na ukweli kwamba mara tu mjadala ulipoanza watu hawa walikimbilia kushambulia watu na kukandia asili zao badala ya kujadili hoja iliyopo mezani.

Wengine kama Nshalla walienda mbali mpaka wakafikia kumutukana Rais matusi mabaya kabisa.

Hawa wameonekana dhahiri kutumiwa na Serikali kuharibu mjadala kwa sababu za wazi zifuatazo:
1. Huwezi ukamtukana Rais halafu tena watu wakazingatia unachokiongea badala yake kila mtu ataamka na kumlinda huku akipuuza unachosema.

2. Kuwabagua wazanzibar na kuonesha kuwa hawana haki ya kusimamia mambo ya nchi wawapo viongozi. Hapa Mbowe, Mwabukusi na Lissu wameonesha dhahiri kuwa wamekula mlungula wa kutosha ili wajifanye wanawashambulia wazanzibar kisha watu wasimame kuwatetea na agenda ya msingi isahaulike.

Hawa jamaa wameharibu kila kitu na watajibu siku ya kiama kwa kukubali kutumiwa ili kuwasahaulisha watu agenda muhimu na nyeti.
Umetumwa wewe lakini umechekewa.

Wewe ni wale wale sema umekuja kama malaika wa nuru lkn gizani wewe ni lucifer tu
 
“Hao ulio wataja ni mawakala wa wazungu”
Swali. Kwa statement yako, prove ulichokisema in relation to evidence kwamba kweli wanatumika na so called “wazungu”
Muulize pia walioingia mkataba ni mawakala wa Waarabu?
 
Kichwa chako kina matatizo
Wewe unaona ni Sawa kabisa MTU WA bara kutoruhusiwa kuwa kiongozi Zenj Wala kumiliki ardhi zenji lakini MTU WA zenji bara anakuwa na sifa Hizo hyo Kwako ni Sawa kabisa?
Hii ni aina ya rushwa ili kuwafanya wazenj wasitamani kujitoa kwenye muungano. Kwa nn upendeleo wa waziwazi namna hii na kumnyima mtanganyika haki kama hiyo huko zenj?
 
Heshima kwenu Wakuu,

Majamaa tajwa hapo juu yawezekana kuwa wamelipwa rushwa kubwa sana na mamlaka za juu ili waharibu mjadala wa kitaifa juu ya uwekezaji wa DP WORLD katika bandari ya Dar es Salaam.

Hili limetokana na ukweli kwamba mara tu mjadala ulipoanza watu hawa walikimbilia kushambulia watu na kukandia asili zao badala ya kujadili hoja iliyopo mezani.

Wengine kama Nshalla walienda mbali mpaka wakafikia kumutukana Rais matusi mabaya kabisa.

Hawa wameonekana dhahiri kutumiwa na Serikali kuharibu mjadala kwa sababu za wazi zifuatazo:
1. Huwezi ukamtukana Rais halafu tena watu wakazingatia unachokiongea badala yake kila mtu ataamka na kumlinda huku akipuuza unachosema.

2. Kuwabagua wazanzibar na kuonesha kuwa hawana haki ya kusimamia mambo ya nchi wawapo viongozi. Hapa Mbowe, Mwabukusi na Lissu wameonesha dhahiri kuwa wamekula mlungula wa kutosha ili wajifanye wanawashambulia wazanzibar kisha watu wasimame kuwatetea na agenda ya msingi isahaulike.

Hawa jamaa wameharibu kila kitu na watajibu siku ya kiama kwa kukubali kutumiwa ili kuwasahaulisha watu agenda muhimu na nyeti.
Hisia na chuki zinakuongoza hakuna wa kuweza kumhonga Mbowe hahongeki nitajie hata mmoja wa kuweza kumhonga Mbowe hao ccm wenyewe wana njaa kama nini.
 
Heshima kwenu Wakuu,

Majamaa tajwa hapo juu yawezekana kuwa wamelipwa rushwa kubwa sana na mamlaka za juu ili waharibu mjadala wa kitaifa juu ya uwekezaji wa DP WORLD katika bandari ya Dar es Salaam.

Hili limetokana na ukweli kwamba mara tu mjadala ulipoanza watu hawa walikimbilia kushambulia watu na kukandia asili zao badala ya kujadili hoja iliyopo mezani.

Wengine kama Nshalla walienda mbali mpaka wakafikia kumutukana Rais matusi mabaya kabisa.

Hawa wameonekana dhahiri kutumiwa na Serikali kuharibu mjadala kwa sababu za wazi zifuatazo:
1. Huwezi ukamtukana Rais halafu tena watu wakazingatia unachokiongea badala yake kila mtu ataamka na kumlinda huku akipuuza unachosema.

2. Kuwabagua wazanzibar na kuonesha kuwa hawana haki ya kusimamia mambo ya nchi wawapo viongozi. Hapa Mbowe, Mwabukusi na Lissu wameonesha dhahiri kuwa wamekula mlungula wa kutosha ili wajifanye wanawashambulia wazanzibar kisha watu wasimame kuwatetea na agenda ya msingi isahaulike.

Hawa jamaa wameharibu kila kitu na watajibu siku ya kiama kwa kukubali kutumiwa ili kuwasahaulisha watu agenda muhimu na nyeti.
Unakunywa mapombe machafu. Itakuwa ile Gongo ya Kiniesi.
 
“Hao ulio wataja ni mawakala wa wazungu”
Swali. Kwa statement yako, prove ulichokisema in relation to evidence kwamba kweli wanatumika na so called “wazungu”
Sio kila unachokifahamu unakiweka hadharani mbele ya mamilioni ya macho ya wasomaji wa humu JF.

Tambua ugumu wa hivi vita haswa baada ya wapigaji kuhakikishiwa mwisho wa upitishaji wa magumashi yao pale TPA.
 
kwani hao wanaochukua bandari zetu sio waarabu?? wewe mtu akikuita mmatumbi is it not a fact???

Huko Uk nako wana mkataba wa milele???

Nani anatumia ujinga kuteka akili ya nani??? wewe sema kama una maslahi na hao 'waarabu'?
Tunataka tija ya uchumi iongezeke hata angekuwa ni mhindi anakuja kumiliki hiyo bandari kwetu ni sawa tu.

Tunataka kuondoka na foleni za kuingiza meli ambazo zina uhusiano wa moja kwa moja na bei za bidhaa huku mitaani.

Tunataka kuharakisha utoaji wa mizigo katika eneo lile la bandari, hali inayoleta ujenzi wa ICDs nyingi katika maeneo yale ambazo zinamilikiwa na wenye uhusiano wa karibu na wanasiasa wenye vyeo vikubwa serikalini.

Tumetambua na tulishatambua faida za DPW muda mrefu sana uliopita na tupo na Rais SSH na serikali yake, mahali ambapo TRA inaweza kupata trilioni 27 kwa mwaka na wakati kwa sasa inapata trilioni 7 tu, tupo na mipango yote ya serikali ya sasa.

Hawa kina Mwabukusi, Lissu na Dr Slaa wanatumiwa na wote wenye kufaidika na haya magumashi yanayoendelea kuwatajirisha wachache pale TPA, lakini mwisho wake umekaribia.
 
Wala hakuna rushwa yoyote wamepewa, Hawa jamaa wanahitaji majibu ya maswali machache tu likiwemo " Kwanini bandari za Zanzibar hazimo kwenye mkataba huu"? Nina uhakika hata wewe huna jibu la swali hilo.!
Jibu lipo la kwanza suala la Bandari kila mmoja anasimamia bandari zake la pili Bandari za zanzibar tayari washapewa Makaburu kuziendsha
 
matatizo ya kuandika vitu

Huku unaminywa minywa antena(haragi lambeya)

Maliza kwanza mchezo kaoge shika handset Yako
 
kwani hao wanaochukua bandari zetu sio waarabu?? wewe mtu akikuita mmatumbi is it not a fact???

Huko Uk nako wana mkataba wa milele???

Nani anatumia ujinga kuteka akili ya nani??? wewe sema kama una maslahi na hao 'waarabu'?
Kaka nasema hivi kama Nshalla angemtukana mama yako ungeendelea kujadili mkataba au ungeshulika naye kwanza kumlinda mama yako?
 
Akina Mwabukusi a.k.a watukanaji wanawakilusha na kutetea mfumo wa uozo Bandarini.
Tunataka tija ya uchumi iongezeke hata angekuwa ni mhindi anakuja kumiliki hiyo bandari kwetu ni sawa tu.

Tunataka kuondoka na foleni za kuingiza meli ambazo zina uhusiano wa moja kwa moja na bei za bidhaa huku mitaani.

Tunataka kuharakisha utoaji wa mizigo katika eneo lile la bandari, hali inayoleta ujenzi wa ICDs nyingi katika maeneo yale ambazo zinamilikiwa na wenye uhusiano wa karibu na wanasiasa wenye vyeo vikubwa serikalini.

Tumetambua na tulishatambua faida za DPW muda mrefu sana uliopita na tupo na Rais SSH na serikali yake, mahali ambapo TRA inaweza kupata trilioni 27 kwa mwaka na wakati kwa sasa inapata trilioni 7 tu, tupo na mipango yote ya serikali ya sasa.

Hawa kina Mwabukusi, Lissu na Dr Slaa wanatumiwa na wote wenye kufaidika na haya magumashi yanayoendelea kuwatajirisha wachache pale TPA, lakini mwisho wake umekaribia.
 
Back
Top Bottom