Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
CHADEMA ni janga la taifa.Du, ndio CHADEMA hii, inayotarajia kushika Dola 2025. Kweli wananchi watawapa kura nyie, halafu mkishindwa eti msingizie mmepigwa/mmeibiwa. Kelele za DPW mnadhani zinatosha kwenda ikulu! Mama anarudi ikulu kirahisi sana 2025.
Wewe kakulipa naniHeshima kwenu Wakuu,
Majamaa tajwa hapo juu yawezekana kuwa wamelipwa rushwa kubwa sana na mamlaka za juu ili waharibu mjadala wa kitaifa juu ya uwekezaji wa DP WORLD katika bandari ya Dar es Salaam.
Hili limetokana na ukweli kwamba mara tu mjadala ulipoanza watu hawa walikimbilia kushambulia watu na kukandia asili zao badala ya kujadili hoja iliyopo mezani.
Wengine kama Nshalla walienda mbali mpaka wakafikia kumutukana Rais matusi mabaya kabisa.
Hawa wameonekana dhahiri kutumiwa na Serikali kuharibu mjadala kwa sababu za wazi zifuatazo:
1. Huwezi ukamtukana Rais halafu tena watu wakazingatia unachokiongea badala yake kila mtu ataamka na kumlinda huku akipuuza unachosema.
2. Kuwabagua wazanzibar na kuonesha kuwa hawana haki ya kusimamia mambo ya nchi wawapo viongozi. Hapa Mbowe, Mwabukusi na Lissu wameonesha dhahiri kuwa wamekula mlungula wa kutosha ili wajifanye wanawashambulia wazanzibar kisha watu wasimame kuwatetea na agenda ya msingi isahaulike.
Hawa jamaa wameharibu kila kitu na watajibu siku ya kiama kwa kukubali kutumiwa ili kuwasahaulisha watu agenda muhimu na nyeti.
JAMUHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA. Kaswali kengine tafadhali?Wewe kakulipa nani
Hebu taja TUSI mojawapo?Wengine kama Nshalla walienda mbali mpaka wakafikia kumutukana Rais matusi mabaya kabisa.
Kwa mkataba kama huu??Ukikosa hoja unakuja na huu upuuzi wa bandari kupewa waarabu. Stupid and childish argument.
DPW wana miliki bandari mbili za UK na huko pia wanataka kuwamilikisha waarabu bandari zao?.
Huu ndio ujinga wanaotumia kama chambo cha kuziteka akili za watu wengi huko mitaani. DPW wamewekeza kwenye bandari zaidi ya 30 duniani na huko kote wanazo akili za kibaguzi na kipuuzi kama hizi za mpendwa Anita?.
Aboud Jumbe rais wa awamu ya pili Zanzibar kuna taarifa zinakinzana, wapo wanaosema alizaliwa Mpitimbi - Ruvuma, na taarifa rasmi za kiserikali zinasema alizaliwa Zanzibar.Kichwa chako kina matatizo
Wewe unaona ni Sawa kabisa MTU WA bara kutoruhusiwa kuwa kiongozi Zenj Wala kumiliki ardhi zenji lakini MTU WA zenji bara anakuwa na sifa Hizo hyo Kwako ni Sawa kabisa?
Kasema jana wanafadhiliwa na kikundi kinajiita SAUTI YA WA TANZANIA ni jukumu la usalama wa Taifa kuwajuwa kina nani hawa na wanataka nini? Bandari wanatumia kama kisababu tu ila wana agenda kubwa zaidi ya hii. Kama umewasikia wameanza ku post hatutaki kupewa hadhi maalumu tunataka uraia pacha na jana Dr Slaa kaongelea hili kulipa bill. Haya mambo zaidi ya bandarim kuna watu wanatafuta balaa nchi hii.Heshima kwenu Wakuu,
Majamaa tajwa hapo juu yawezekana kuwa wamelipwa rushwa kubwa sana na mamlaka za juu ili waharibu mjadala wa kitaifa juu ya uwekezaji wa DP WORLD katika bandari ya Dar es Salaam.
Hili limetokana na ukweli kwamba mara tu mjadala ulipoanza watu hawa walikimbilia kushambulia watu na kukandia asili zao badala ya kujadili hoja iliyopo mezani.
Wengine kama Nshalla walienda mbali mpaka wakafikia kumutukana Rais matusi mabaya kabisa.
Hawa wameonekana dhahiri kutumiwa na Serikali kuharibu mjadala kwa sababu za wazi zifuatazo:
1. Huwezi ukamtukana Rais halafu tena watu wakazingatia unachokiongea badala yake kila mtu ataamka na kumlinda huku akipuuza unachosema.
2. Kuwabagua wazanzibar na kuonesha kuwa hawana haki ya kusimamia mambo ya nchi wawapo viongozi. Hapa Mbowe, Mwabukusi na Lissu wameonesha dhahiri kuwa wamekula mlungula wa kutosha ili wajifanye wanawashambulia wazanzibar kisha watu wasimame kuwatetea na agenda ya msingi isahaulike.
Hawa jamaa wameharibu kila kitu na watajibu siku ya kiama kwa kukubali kutumiwa ili kuwasahaulisha watu agenda muhimu na nyeti.
Mpumbavu ktk ubora wako.Hawa akina Mbowe, Slaa, Lissu na Nshalla wana dhambi inayolia mbele ya Mungu. Wamejiharibia sana wenyewe na mjadala mzima.
Hawajaitendea haki TZ, Waombe radhi ktk vyombo vya habari/media.
Suluhisho ni kutafuta mwanasheria akupe shule ya vifungu vilivyomo kuliko kufuata mkumbo wa kupinga kitu unachokijua labda nusu au robo tu.Kwa mkataba kama huu??
Mmatumbi ni mwizi tu pale bandarini, kila kukicha anachora michoro ya kudokoa kisicho cha kwake.Kwani nani amekataa hao DP World wataleta ufanisi,na kuingiza hizo hela....kinachopingwa hapa ni aina ya hayo makubaliano.....mnajitoa ufahamu tu,eti kama angekuja mhindi acha kulamba matako watu wa nje,,,,,kwa nini hufikirii kama sisi wamatumbi tuna uwezo huo wa kuendesha bandari zetu?????........huna ushahidi akina lissu wanatumika nyamaza!
Ukomo upo kwenye hii mikataba ya utendaji itakayosainiwa baada ya kuwa azimio limeshapitishwa bungeni.Ulishaona mkataba usiooonyesha ukomo?
Mkataba unaosema eti hâta iweje mkataba hautavumjika,mkataba hauonyeshi tutapataje faida,mkataba unaosema eti bandari zote Ktk maziwa yote na hâta dry port eti vyote vitakuwa chini ya waarabu,et ukitaka kuendeleza bandari yoyote umtaarifu yéyé mwarabu kwanza Kuna mkataba duniani uliouona unafanana hvyo? Acha utahira wewe mla urojo WA MAKUNDUCHI
Upotoshaji upi wamefanya, weka ushahidi…Mmatumbi ni mwizi tu pale bandarini, kila kukicha anachora michoro ya kudokoa kisicho cha kwake.
Mmatumbi hana nidhamu ya kazi na hachelewi kuleta kujuana na ukabila kazini.
Ushahidi ni aina ya ubishi wanaouleta katika mijadala yao na aina ya upotoshaji wanaoutumia katika kujenga hoja zao.
Taratiibu unahama kutoka kwenye mada na kuanza kutoa mapovu.Upotoshaji upi wamefanya, weka ushahidi…
Mmatumbi ni wote ambao hawana nidhamu ya kazi na ni wezi?? Hii ndio enough reason au justification waarabu wapewe bandari yetu milele??? Hujitambui , wewe ndio unatumika
Wanasema Tanganyika imebakwa sijui imebakwa na nani wewe unaamini Tanganyika kuwa imebakwa?Hebu taja TUSI mojawapo?