Bhisumbinyama
JF-Expert Member
- Dec 26, 2019
- 797
- 581
- Thread starter
- #101
Umesema?Hakuna kilichoharibika akili yako ndio inaelekea kuharibika.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umesema?Hakuna kilichoharibika akili yako ndio inaelekea kuharibika.
eti unaogopa kuweka kwenye jukwaa la watu wote kama hili, wewe sema huna huo ushahidi,ungekua nao ulivyo na kiherehere ungekua ushauweka....Huwezi kuweka ushahidi kwenye jukwaa la watu wote kama hili. Ukiwa na umri fulani utaelewa kwa kina nini ninaongelea ukiwa sehemu ya hawa maziwa mdomoni watoto wa smartphone huwezi kuelewa ninachokiongelea.
Na wewe tulia. Acha kimbele front kama chapombe Mwabukusi.eti unaogopa kuweka kwenye jukwaa la watu wote kama hili, wewe sema huna huo ushahidi,ungekua nao ulivyo na kiherehere ungekua ushauweka....
Masuala haya ni makubwa kuliko tunavyoyaongelea, biashara halali na haramu zinazoendelea pale TPA zinatengeneza mabilioni ya pesa, elewa tu kwamba wazee hawa wanakwenda kutajirika baada ya hii michakato yote wanayoifanya mbele ya waandishi wa habari.eti unaogopa kuweka kwenye jukwaa la watu wote kama hili, wewe sema huna huo ushahidi,ungekua nao ulivyo na kiherehere ungekua ushauweka....
chukua time....Na wewe tulia. Acha kimbele front kama chapombe Mwabukusi.
Sichukui. Mwabukusi mkubwa weye!chukua time....
Koma kunifuata fuata mpuuzi weweSichukui. Mwabukusi mkubwa weye!
Wewe kwa matusi yako lazima Nshalla atakuwa baba yako mdogo.Koma kunifuata fuata mpuuzi wewe
nilijua utaleta evidence wameingiziwa shilingi ngapi, kumbe ni nadharia zako tu kuwa wanaenda kutajirika...ukiulizwa how,im sure huwezi kujibuMasuala haya ni makubwa kuliko tunavyoyaongelea, biashara halali na haramu zinazoendelea pale TPA zinatengeneza mabilioni ya pesa, elewa tu kwamba wazee hawa wanakwenda kutajirika baada ya hii michakato yote wanayoifanya mbele ya waandishi wa habari.
Kama wewe waarabu walivyo wajomba zakoWewe kwa matusi yako lazima Nshalla atakuwa baba yako mdogo.
Waarabu ni watu wa kheri sana. Hawana shida. Tunawakaribisha bongo. Tena waje upesi.Kama wewe waarabu walivyo wajomba zako
Punguza ujingaSichukui. Mwabukusi mkubwa weye!
Punguza undimu.Wewe kwa matusi yako lazima Nshalla atakuwa baba yako mdogo.
Kuwatawala na kuwafanyisha biashara ya utumwa huo ndio wema?. washenzi tu hao, mnatafuta namna ya kutuhamisha kwenye hoja ya msingi na kuiingiza kwenye dini kutafuta huruma ya kuungwa mkono na Waislamu hilo tumelishtukia halitasaidia.Waarabu ni watu wa kheri sana. Hawana shida. Tunawakaribisha bongo. Tena waje upesi.
Wazanzibari haki wanayo kwa sababu huo Mkataba umendikwa Bandari za Tanzaniaacha ujinga, wazanzibar sasa wana haki gani kwenye mali za Tanganyika? wewe una haki gani kwenye mali za zanzibar?
Sio mimi niliesema mimi nimenukuu tu aliesema ni huyo wakili wenu msomi mwambukusi ndio maana nimekuuliza wewe unaamini Tanganyika imebakwa?Hahaha useme wewe halafu uniulize Mimi? "Kubakwa" ni TUSI kubwa sana?
Kwa hiyo akinya kuku sawa ila akinya Bata kaharisha.Hiyo haina shida kama iko kisheria kwa sababu nchi huenda kwa kariba siyo mihemko. MWABUKUSI, LISSU , NSHALLA NA MBOWE WAMETUKOSEA SANA.
HuelewekiSio mimi niliesema mimi nimenukuu tu aliesema ni huyo wakili wenu msomi mwambukusi ndio maana nimekuuliza wewe unaamini Tanganyika imebakwa?
SPINHeshima kwenu Wakuu,
Majamaa tajwa hapo juu yawezekana kuwa wamelipwa rushwa kubwa sana na mamlaka za juu ili waharibu mjadala wa kitaifa juu ya uwekezaji wa DP WORLD katika bandari ya Dar es Salaam.
Hili limetokana na ukweli kwamba mara tu mjadala ulipoanza watu hawa walikimbilia kushambulia watu na kukandia asili zao badala ya kujadili hoja iliyopo mezani.
Wengine kama Nshalla walienda mbali mpaka wakafikia kumutukana Rais matusi mabaya kabisa.
Hawa wameonekana dhahiri kutumiwa na Serikali kuharibu mjadala kwa sababu za wazi zifuatazo:
1. Huwezi ukamtukana Rais halafu tena watu wakazingatia unachokiongea badala yake kila mtu ataamka na kumlinda huku akipuuza unachosema.
2. Kuwabagua wazanzibar na kuonesha kuwa hawana haki ya kusimamia mambo ya nchi wawapo viongozi. Hapa Mbowe, Mwabukusi na Lissu wameonesha dhahiri kuwa wamekula mlungula wa kutosha ili wajifanye wanawashambulia wazanzibar kisha watu wasimame kuwatetea na agenda ya msingi isahaulike.
Hawa jamaa wameharibu kila kitu na watajibu siku ya kiama kwa kukubali kutumiwa ili kuwasahaulisha watu agenda muhimu na nyeti.