Bhisumbinyama
JF-Expert Member
- Dec 26, 2019
- 797
- 581
- Thread starter
- #121
Nimekuambia hivi kama si upole wa mama Nshalla ashasahaulika. Ashukuru tu kuwa waislamu wana hofu ya kweli ya Mungu.Kwa hiyo akinya kuku sawa ila akinya Bata kaharisha.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimekuambia hivi kama si upole wa mama Nshalla ashasahaulika. Ashukuru tu kuwa waislamu wana hofu ya kweli ya Mungu.Kwa hiyo akinya kuku sawa ila akinya Bata kaharisha.
Wewe kijana acha kuwa- Nshalla waarabu wa watu. Wafanya biashara ya utumwa ni wazungu waliokuletea ukristo na sasa wanakulazimisha uingize ushoga ktk dini waliyokuanzisha na wewe ukafuata tu. Rejea tras Atlantic slave trade kisha kawaombe radhi waarabu watukufu kabisa . Wawekezaji wetu wema wa bandari yetu.Kuwatawala na kuwafanyisha biashara ya utumwa huo ndio wema?. washenzi tu hao, mnatafuta namna ya kutuhamisha kwenye hoja ya msingi na kuiingiza kwenye dini kutafuta huruma ya kuungwa mkono na Waislamu hilo tumelishtukia halitasaidia.
Mwekezaji ni Mama yenu kupitia mlango wa nyuma.Wewe kijana acha kuwa- Nshalla waarabu wa watu. Wafanya biashara ya utumwa ni wazungu waliokuletea ukristo na sasa wanakulazimisha uingize ushoga ktk dini waliyokuanzisha na wewe ukafuata tu. Rejea tras Atlantic slave trade kisha kawaombe radhi waarabu watukufu kabisa . Wawekezaji wetu wema wa bandari yetu.
Kwanini msirekebishe vipengele, masharti mabaya. Kwanini hamfanyi hivyo kuitetea Tanzania.Ni uwekezaji kama ule wa TICTS tatizo ni siasa zilizoingizwa kwenye hili suala zima.
Kuna ubaya gani?Mwekezaji ni Mama yenu kupitia mlango wa nyuma.
Basi na Tanzânia ni kwa wabara tuNi sawa tu zanzibar ni kwa ajili ya wazanzibari tu
Wewe mla urojo WA kizimkazi huwezi kuelewa Elimu Kwako/kwenu ni finyu mnoTena wanazidi kukosea huyu Mwambukusi anasema eti Tanganyika imebakwa siju nani kaibaka hiyo Tanganyika
Kwann huo ukomo usieleweke hadharani ? Kuna nini nyuma ya pazia?Ukomo upo kwenye hii mikataba ya utendaji itakayosainiwa baada ya kuwa azimio limeshapitishwa bungeni.
Zinavunjika ndoa zilizodumu kwa miaka zaidi ya hamsini sembuse mikataba ya kibiashara!.
Kwanini ufikirie masuala hasi badala ya kutazama unakwenda kupata nini kwenye huo mkataba?.
Inamaana wewe unakubalina na mwambukusi kuwa Tanganyika ilibakwa?Wewe mla urojo WA kizimkazi huwezi kuelewa Elimu Kwako/kwenu ni finyu mno
Wewe unaruhusiwa kumiliki ardhi zenji? Kwann WAo wanaruhusiwa Huku? Alafu wewe unakatazwa kule ilhali ni nchi Moja?Aboud Jumbe rais wa awamu ya pili Zanzibar kuna taarifa zinakinzana, wapo wanaosema alizaliwa Mpitimbi - Ruvuma, na taarifa rasmi za kiserikali zinasema alizaliwa Zanzibar.
Mwinyi Seneior Raisi wa awamu ya Tatu Zanzibar amezaliwa Mkuranga hakuna anaepinga hili.
Mwinyi Junior ameanzia siasa kwao akiwa mbunge wa Mkuranga, sasa ni Raisi wa Zanzibar.
Mbali mawaziri kuanzia Mapuri (kutoka Tabora), Mwakanjuki (Kutoka Mbeya), na wengineo. Almost kila awamu Zanzibar ina at least waziri mmoja kutoka Tanganyika.
Hata sasa wapo viongozi wa chama na serikali kwenye serikali ya Mwinyi wanaotoka Tanganyika, mfano Zena Ahmed Said, Suzan Kunambi, Joseph John Kilangi, Charles Hillary, bila kumsahau First lady.
Kwenye chama ndio watupu, almost kila mkoa wapo.
Wewe una akili kuliko wanasheria nguli kama jaji warioba,prof shivji,dk nshala etc?Suluhisho ni kutafuta mwanasheria akupe shule ya vifungu vilivyomo kuliko kufuata mkumbo wa kupinga kitu unachokijua labda nusu au robo tu.
Kama ni NChi moja mbona kuhusu bandari za zanzibar hazimo na Mkataba unasema Bandari za TanzaniaWewe unaruhusiwa kumiliki ardhi zenji? Kwann WAo wanaruhusiwa Huku? Alafu wewe unakatazwa kule ilhali ni nchi Moja?
Wananizidi akili na uzoefu wa maisha, safari hii pesa imewazidi nguvu na huwezi kuwalaumu.Wewe una akili kuliko wanasheria nguli kama jaji warioba,prof shivji,dk nshala etc?
Endelea kula urojo hapo MAKUNDUCHI huna jipya
Hoja zako zinafanana na wale waliopotoshwa juu ya vifungu vya azimio lililopita bungeni. Masuala ya mgawanyo wa faida yatakuwepo kwenye hii mikataba itakayosainiwa baadae kati ya DPW na wazalendo.Kwann huo ukomo usieleweke hadharani ? Kuna nini nyuma ya pazia?
Vipi tutapataje faida? Kuna kipengele kimeeleza kiasi tutakachpewa?
Vipi kuhusu kumkabidhi bandari zote nchi nzima incude za maziwa? Nayo ni Sawa?
NENDA KATIBIWE AKILI
Waliokwenda Dubai na kuandika hii mikataba pamoja na wanasheria wa DPW ni wazalendo pengine kutuzidi mimi na wewe tunaojadili humu JF.Kwanini msirekebishe vipengele, masharti mabaya. Kwanini hamfanyi hivyo kuitetea Tanzania.
Maslahi ya Tanzania yawe mbele, tumewapa jukumu kulinda rasilimali zetu.
Break it down for me mkuu, kwa uelewa wako tunawapa DP bandari zote kwa masharti, vipengele na vigezo vyao. Unaona serikali yetu ipo sawa kukubali haya masharti.Waliokwenda Dubai na kuandika hii mikataba pamoja na wanasheria wa DPW ni wazalendo pengine kutuzidi mimi na wewe tunaojadili humu JF.
Ni suala la uelewa wetu kuwa unapotoshwa kila tunapowasikiliza wanasheria wengi kila siku.
Ndio maana nimeshauri tafuta mtaalam halisi wa sheria akupe tafsiri sahihi za kinachoandikwa sio hawa wanaopotosha vifungu kwa makusudi yao binafsi.Break it down for me mkuu, kwa uelewa wako tunawapa DP bandari zote kwa masharti, vipengele na vigezo vyao. Unaona serikali yetu ipo sawa kukubali haya masharti.
Weka hapa mkataba na vipengele ambavyo viko sahihi kwa maslahi ya Tanzania.Ndio maana nimeshauri tafuta mtaalam halisi wa sheria akupe tafsiri sahihi za kinachoandikwa sio hawa wanaopotosha vifungu kwa makusudi yao binafsi.
Hakuna wa kumpa DP bandari zote za nchi, tafuta tofauti ya maneno WILL, SHALL na MAY yanapokuwa kwenye mkataba yanamaanisha nini.
Upo uzi wa FaizaFoxy utafute halafu tafuta mwanasheria umpe hiyo kazi ya kukutafsiria.Weka hapa mkataba na vipengele ambavyo viko sahihi kwa maslahi ya Tanzania.