The Burning Spear
JF-Expert Member
- Dec 23, 2011
- 4,118
- 9,864
Huyu ndiyo Mwabukusi bwana. Ama kweli Tanzania tuna watu ila hawatumiwi vizuri TLS inamfaa sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We unafikiri ni nani ataimudu TLS?Hamna kitu hapo, hataimudu proffessional association, and, on top of that, hatakuwa na maamuzi binafsi, maamuzi ni ya Governing Council ya T.L.S, wanaweza kumgomea
Swali zuriWe unafikiri ni nani ataimudu TLS?
Labda wakiwa machawa wala haitashangaza!Hamna kitu hapo, hataimudu proffessional association, and, on top of that, hatakuwa na maamuzi binafsi, maamuzi ni ya Governing Council ya T.L.S, wanaweza kumgomea
Ambaye hana mihemuko, akichaguliwa, T.L.S itakuwa ni wing ya chadema, kwa hiyo, in all fours, itashambuliwa na haitapewa ushirikiano, coz inatumika kisiasaWe unafikiri ni nani ataimudu TLS?
Na mimi napenda kujua hiliWe unafikiri ni nani ataimudu TLS?
Hawatakiwa machawa, ila watakuwa reluctant kuwa dragged katika personal battles and ambitions za kisiasaLabda wakiwa machawa wala haitashangaza!
Ambaye hana mihemuko
Mawakili mmepata mtu msimuabuse
Captain Ibrahim Bendera, a settled legal mind with vast experienceNi nani kati ya wale wagombea watano ukimtoa Mwambukusi?
Chinembe unachekesha unajipinga mwenyeweHamna kitu hapo, hataimudu proffessional association, and, on top of that, hatakuwa na maamuzi binafsi, maamuzi ni ya Governing Council ya T.L.S, wanaweza kumgomea
Labda wale mawakili vijana, wa Heche, msiokuwa na ofisi, mnatembea na mabegi ya laptop kwenye starlet na simu zisizoisha chaji, tayari kukimbia popote mnapoitwa, Ambulance LawyersCinembe unachekesha unapinga mwenyewe
Unasemema maamuzi ni yake huku inakataa maamuzi ni ya council
Anyway binadamu siyo robot atabadika kulingana na mazingira
Mawakili tutampa kura
Alipochaguliwa LISSU ilikuwa wingi ya CHADEMA??😅🤔🤔Ambaye hana mihemuko, akichaguliwa, T.L.S itakuwa ni wing ya chadema, kwa hiyo, in all fours, itashambuliwa na haitapewa ushirikiano, coz inatumika kisiasa
Sasa Mwabukusi unamlinganisha na Lissu? Mwabukusi cha pombe, yuko tayari hata ajikatae akishalewa, anasema mimi sio Mwabukusi.Alipochaguliwa LISSU ilikuwa wingi ya CHADEMA??😅🤔🤔
Asiye kunywa pombe ni Nani katika wale apigiwe KuraSasa Mwabukusi unamlinganisha na Lissu? Mwabukusi cha pombe, yuko tayari hata ajikatae akishalewa, anasema mimi sio Mwabukusi.
Wanywa pombe wengi vichwani wako vzrSasa Mwabukusi unamlinganisha na Lissu? Mwabukusi cha pombe, yuko tayari hata ajikatae akishalewa, anasema mimi sio Mwabukusi.
Huyu anafaa hakika.