Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lakini hawezi kwenda Mahakamani bila kuwa na Mwanasheria Mkuu wa Serikali, na Mwanasheria Mkuu anaweza kupeleka mabadiliko ya sheria yakampiga pini MwabukusiMnaumia huyo ndo Rais wa TLS
Kwa kauli hizi tunaamini atayempinga mwambukusi ni fisadiHamna kitu hapo, hataimudu proffessional association, and, on top of that, hatakuwa na maamuzi binafsi, maamuzi ni ya Governing Council ya T.L.S, wanaweza kumgomea
SanaSwali zuri
Atakuanbia Lucas Mwashambwa au Halima Mdee (COVID 19) 🤣🤣🤣😂😅😅😅We unafikiri ni nani ataimudu TLS?
Nimeipenda hiiSasa Mwabukusi unamlinganisha na Lissu? Mwabukusi cha pombe, yuko tayari hata ajikatae akishalewa, anasema mimi sio Mwabukusi.
Sasa mbona hata NCCR alifukuzwa kama mbwa kwa usaliti, alikuwa anauza siri za chama kwa CCMKwa kauli hizi tunaamini atayempinga mwambukusi ni fisadi
swala la yeye kuwa tishio kwa majizi na mafisadi huwezi kupongeza?
Au wewe unaunga uko upande wa ufisadi??
Vua hii fake ID uongee kwa sauti haya unayosema..it will make sense, vinginevyo legeza mapumbu subiri uchaguzi upite uendeleze umbea km mwanamke!Hamna kitu hapo, hataimudu proffessional association, and, on top of that, hatakuwa na maamuzi binafsi, maamuzi ni ya Governing Council ya T.L.S, wanaweza kumgomea
Kuhonga vyeo mawakili si kutumika kisiasa?Ambaye hana mihemuko, akichaguliwa, T.L.S itakuwa ni wing ya chadema, kwa hiyo, in all fours, itashambuliwa na haitapewa ushirikiano, coz inatumika kisiasa
Una hamu ya kusafishiwa mtaro wako!?Vua hii fake ID uongee kwa sauti haya unayosema..it will make sense, vinginevyo legeza mapumbu subiri uchaguzi upite uendeleze umbea km mwanamke!
🤔🤔🤔Kama huyo kiongozi wa kike ni yule wa chadema, sishangai,maana hata mimi namfahamu, na ninajua anavuta na kupiga bapa muda mrefu
Acheni vichekesho jamani dahSasa Mwabukusi unamlinganisha na Lissu? Mwabukusi cha pombe, yuko tayari hata ajikatae akishalewa, anasema mimi sio Mwabukusi.
🐸Kama huyo kiongozi wa kike ni yule wa chadema, sishangai,maana hata mimi namfahamu, na ninajua anavuta na kupiga bapa muda mrefu