Nandagala One
JF-Expert Member
- Aug 19, 2020
- 1,913
- 2,286
Nilikuwa majibu hoja yako kuwa itakuwa Wing ya CHADEMA! Lissu CHADEMA, mwabukusi CHADEMA.Sasa Mwabukusi unamlinganisha na Lissu? Mwabukusi cha pombe, yuko tayari hata ajikatae akishalewa, anasema mimi sio Mwabukusi.
Kuhusu pombe sio issue, tuna Kiongozi flani mwenye cheo flani wa kike jina simtaji anavuta bangi na anakunywa Konyagi bapa, hapa unasemaje??