Mwabukusi: Mkataba haufai hata kuwa 'toilet paper'

Mwabukusi: Mkataba haufai hata kuwa 'toilet paper'

Mwabukusi analewa mpaka anabebwa mbeya carnival pale, huyu ni mlevi

Boramlevi mwenye maono na uelewa kuliko watu wenye PhD wasioweza kupambanua jema na baya katika mkataba uliofanywa.
 
Mwabukusi amesema huu mkataba haukuwa wa ghalfa, walikuwa nao wameuficha, na walivyoupeleka bungeni waliulizwa dharura imetoka wapi wakati wamekaa nao kwa miezi tisa na kusema kwamba yeye alitumia dakika tano tu kuutazama mkataba huo na kusema haufai hata kuwa toilet paper.

Akisema kuwa haamini kama mkataba huu ulifata mchakato wa kiserikali kwasababu ni mkataba wa hovyo kuliko wa Mangungo kuanzia kwenye utangulizi mpaka kwenye kiambata cha saini.

Mwabukusi akaongeza, Mangungo anasingiziwa sana, yeye hakuwa na ufahamu mkubwa kama walivyokuwa viongozi wa sasa, yeye alikuwa mtu wa kwanza kusaini mkataba na hakukuwa na ushahidi kwamba alikuwa na washauri waliofahamu lugha ya Kijerumani, lakini mzee Mangungo anafananishwa na viongozi wa sasa ambao waliambiwa hata kabla ya hawajaupitisha Bungeni kuwa haufai lakini wakufanya lolote kuzuia.

Mwabukusi ameyasema hayo katika mkutano unaofanyika Temeke kupinga mkataba wa Bandari leo tarehe 23/7/2023.
🤣🤣🤣🤣Wewe mwabukusi wewe ngoja wazee wa bahasha!!
 
Hayo maneno yake kama ndiyo kweli kasema hivyo, anaonesha ni mtu wa hovyo hata akitupiwa Simba hamli huyo.

Hyo ni najisi tu. Hiyo ni zaidi ya "gutter politics".


Kwa siasa hiyo ndiyo watu waifate chadema?

Mnanchekesha.
Mzee wa payroll ya DP world umepigwa kweny kipele!!
 
Tupate wapi watu kama hawa watano tu, wasomi wanao utendea haki usomi wao sio kama wale ma profs na Dr. wa kijani.
 
Ulevi wake unadhuru nini huduma anayotoa. Acha atumie fedha zake acha wivu na siasa mfuu
Biblia ishasema huyi ni nani:

4 Ee Lemueli, kunywa mvinyo hakuwafai wafalme, hakuwafai wafalme; Wala haifai wakuu waseme, Ki wapi kileo?
5 Wasije wakanywa na kuisahau sheria, Na kuipotosha hukumu ya mtu aliye taabuni.
6 Mpe kileo yeye aliye karibu na kupotea; Kampe divai yeye aliye na uchungu nafsini.
7 Anywe akausahau umaskini wake; Asiikumbuke tena taabu yake.
 
Mwabukusi amesema huu mkataba haukuwa wa ghalfa, walikuwa nao wameuficha, na walivyoupeleka bungeni waliulizwa dharura imetoka wapi wakati wamekaa nao kwa miezi tisa na kusema kwamba yeye alitumia dakika tano tu kuutazama mkataba huo na kusema haufai hata kuwa toilet paper.

Akisema kuwa haamini kama mkataba huu ulifata mchakato wa kiserikali kwasababu ni mkataba wa hovyo kuliko wa Mangungo kuanzia kwenye utangulizi mpaka kwenye kiambata cha saini.

Mwabukusi akaongeza, Mangungo anasingiziwa sana, yeye hakuwa na ufahamu mkubwa kama walivyokuwa viongozi wa sasa, yeye alikuwa mtu wa kwanza kusaini mkataba na hakukuwa na ushahidi kwamba alikuwa na washauri waliofahamu lugha ya Kijerumani, lakini mzee Mangungo anafananishwa na viongozi wa sasa ambao waliambiwa hata kabla ya hawajaupitisha Bungeni kuwa haufai lakini wakufanya lolote kuzuia.

Mwabukusi ameyasema hayo katika mkutano unaofanyika Temeke kupinga mkataba wa Bandari leo tarehe 23/7/2023.
Mpuuzi tu huyu Mwabukusi. Umesainiwa mkataba wa bomba la mafuta kati ya Uganda na Tanzania, alishawahi kuuona na kuusoma?.

Ilisainiwa mikataba ya ushirikiano kati ya nchi zote zinazopokea ndege zetu huko kwao kabla hata ndege hizi hazijanunuliwa, huyo mwanasheria alishawahi kuiona inafanana vipi?.

Anatafuta kushambuliwa na watu wa mfumo ili umaarufu wake uongezeke, lakini hakuna hata mmoja atakayemgusa.

Serikali itaendelea na mipango yake ya kuingia mikataba ya Consession na Lease kama ilivyojipangia. Wapuuzi kama huyo wakili wapo duniani pote.
 
Back
Top Bottom