Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
So what?Mwabukusi analewa mpaka anabebwa mbeya carnival pale, huyu ni mlevi
Mwabukusi analewa mpaka anabebwa mbeya carnival pale, huyu ni mlevi
🤣🤣🤣🤣Wewe mwabukusi wewe ngoja wazee wa bahasha!!Mwabukusi amesema huu mkataba haukuwa wa ghalfa, walikuwa nao wameuficha, na walivyoupeleka bungeni waliulizwa dharura imetoka wapi wakati wamekaa nao kwa miezi tisa na kusema kwamba yeye alitumia dakika tano tu kuutazama mkataba huo na kusema haufai hata kuwa toilet paper.
Akisema kuwa haamini kama mkataba huu ulifata mchakato wa kiserikali kwasababu ni mkataba wa hovyo kuliko wa Mangungo kuanzia kwenye utangulizi mpaka kwenye kiambata cha saini.
Mwabukusi akaongeza, Mangungo anasingiziwa sana, yeye hakuwa na ufahamu mkubwa kama walivyokuwa viongozi wa sasa, yeye alikuwa mtu wa kwanza kusaini mkataba na hakukuwa na ushahidi kwamba alikuwa na washauri waliofahamu lugha ya Kijerumani, lakini mzee Mangungo anafananishwa na viongozi wa sasa ambao waliambiwa hata kabla ya hawajaupitisha Bungeni kuwa haufai lakini wakufanya lolote kuzuia.
Mwabukusi ameyasema hayo katika mkutano unaofanyika Temeke kupinga mkataba wa Bandari leo tarehe 23/7/2023.
Haijalishi!!Mwabukusi analewa mpaka anabebwa mbeya carnival pale, huyu ni mlevi
Mzee wa payroll ya DP world umepigwa kweny kipele!!Hayo maneno yake kama ndiyo kweli kasema hivyo, anaonesha ni mtu wa hovyo hata akitupiwa Simba hamli huyo.
Hyo ni najisi tu. Hiyo ni zaidi ya "gutter politics".
Kwa siasa hiyo ndiyo watu waifate chadema?
Mnanchekesha.
Mkewe hajalalamika juu ulevi wake, we umeuvalia khanga ulevi wa jamaa, ndiyo maana LGBTQ inapata nguvu.Mwabukusi analewa mpaka anabebwa mbeya carnival pale, huyu ni mlevi
Hata Mimi nilikuwa nafikiria hivi inashangaza Sana,mkewe Hana shida yeye anakomaaMkewe hajalalamika juu ulevi wake, we umeuvalia khanga ulevi wa jamaa, ndiyo maana LGBTQ inapata nguvu.
af ajue swala la ulevi ni personal issue,,hata uongozini huko walevi na malaya wapo wengi tu mbonaHata Mimi nilikuwa nafikiria hivi inashangaza Sana,mkewe Hana shida yeye anakomaa
Kwahiyo ?Mwabukusi analewa mpaka anabebwa mbeya carnival pale, huyu ni mlevi
Kwahiyo Mkataba unafaa kuchambia?Mwabukusi analewa mpaka anabebwa mbeya carnival pale, huyu ni mlevi
Ulevi wake unadhuru nini huduma anayotoa. Acha atumie fedha zake acha wivu na siasa mfuuMwabukusi analewa mpaka anabebwa mbeya carnival pale, huyu ni mlevi
Na serikali yake ya chama cha mafisi.Kama walevi wanakuwa hivi, basi tuwe na walevi wengi. Lakini tusiwe na punguani hata mmoja, kama ulivyo wewe.
Walevi hawaaminiki.Kama walevi wanakuwa hivi, basi tuwe na walevi wengi. Lakini tusiwe na punguani hata mmoja, kama ulivyo wewe.
Analewea wapi na mimi nikalewe uzalendo tuwe kundi mojaMwabukusi analewa mpaka anabebwa mbeya carnival pale, huyu ni mlevi
Biblia ishasema huyi ni nani:Ulevi wake unadhuru nini huduma anayotoa. Acha atumie fedha zake acha wivu na siasa mfuu
Mpuuzi tu huyu Mwabukusi. Umesainiwa mkataba wa bomba la mafuta kati ya Uganda na Tanzania, alishawahi kuuona na kuusoma?.Mwabukusi amesema huu mkataba haukuwa wa ghalfa, walikuwa nao wameuficha, na walivyoupeleka bungeni waliulizwa dharura imetoka wapi wakati wamekaa nao kwa miezi tisa na kusema kwamba yeye alitumia dakika tano tu kuutazama mkataba huo na kusema haufai hata kuwa toilet paper.
Akisema kuwa haamini kama mkataba huu ulifata mchakato wa kiserikali kwasababu ni mkataba wa hovyo kuliko wa Mangungo kuanzia kwenye utangulizi mpaka kwenye kiambata cha saini.
Mwabukusi akaongeza, Mangungo anasingiziwa sana, yeye hakuwa na ufahamu mkubwa kama walivyokuwa viongozi wa sasa, yeye alikuwa mtu wa kwanza kusaini mkataba na hakukuwa na ushahidi kwamba alikuwa na washauri waliofahamu lugha ya Kijerumani, lakini mzee Mangungo anafananishwa na viongozi wa sasa ambao waliambiwa hata kabla ya hawajaupitisha Bungeni kuwa haufai lakini wakufanya lolote kuzuia.
Mwabukusi ameyasema hayo katika mkutano unaofanyika Temeke kupinga mkataba wa Bandari leo tarehe 23/7/2023.