Mwabukusi: Watanzania waambie waandamane kwa ajili ya Simba au Yanga, wataandamana hata uchi

Kwahyo Mwabukusi anakaanga Mbuyu Kisha anawaachia wenye meno watafune?
 
Kwa Tanzania hii ukitaka maandamano yafae na watu waitikie kuna mikoa ifuatayo ambayo watu wake hawana cha kupoteza.
1. Mbeya
2. Mara
3. Arusha
4. Singida
5. Shinyanga.
Japo kwa Singida na Shinyanga mpaka jambo liwaguse sana wahusika.
Ondoa Mara na Singida hapo, tena siku hizi hata Arusha hamna kitu mpaka wameteuliwa eti Kenyonyo ndiye kiongozi wao na Bashite ameubatiza uchuzi kuwa ndiyo Identity ya Chuga
 
Hiyo Dodoma wananchi wengi hawaijui chochote kuhusu serikali kusoma tu shida na ndio jiji
 
Ondoa Mara na Singida hapo, tena siku hizi hata Arusha hamna kitu mpaka wameteuliwa eti Kenyonyo ndiye kiongozi wao na Bashite ameubatiza uchuzi kuwa ndiyo Identity ya Chuga
Mara wakiamua wanaweza japo Mbeya kwakweli ni kama hawana cha kupoteza wakiamua. Singida siyo kivile nakuvaliana na wewe
 
sio watanzania wote, ni dar peke yake..ilikuwa sahihi kabisa kuondoa mji mkuu! unakuwaje mji mkuu na watu waoga, wajinga, wanafiki..nk,nk!
Maandamano ya waislam yakifanyika Dar licha ya kupigwa marufuku
 
Mwambieni watanzania sio wajinga wanasimama na mama awatowai.kumwaga damu kisa chuku zenu za ushungu wamama. Tumewashtukia sasa mmeumia akuna damu ilomwagika ili iwe agenda ya vikao na mizungu yenu yani damu ya mlalaoi iwe fursa kwenu. watanzania wanajitambua mlidhani mazoba. Mmesatiwa adi na wanachama wenu mmewageukia watanzania kwa ujumla mama5tena
 
Tanzania remains a dangerous country in which to be a member of the political opposition, despite a change of president in 2021.
 
Nchi yetu inamisingi yake na mama alichowashinda kabaki ktk misingi ileile iyotoa mwanga tunakoellekea so akuna sababu ya msingi kuleta fujo kufanya nchi isitalike kuwataka wananchi wamtoe madalakani kiongozi wao maana yake watanzania ndio watakuwa wameipeleka nchi kusikoeleka mbaya zaid ichi ikipoteza dira akuna tena mtu mmja wakuamua atma yetu ivyo tumejiingiza ktk matatizo makuja mauwaji udini ukabila, kwasababu pengine ushungi tu wa mama mana atuoni kosa la mama kawapa kilamlichopoteza kias watanzania tunawaonea wivu mnavyobebwa na mama amtosheki mnatutaka watanzania tena tumble mama ktk kiti chake. Sisi tupo tayali kuandamana kuatoa ninyi lkn sio mama. Muwe na eshima kwa watanzania mnaitaji tuwaunge mkono ktk chaguzi.
 
Mpuuzi mwingine ni huyu Mwabukusi. Kila kitu anakichukulia katika mtazamo wa harakati.
 
TUTAANDAMANA HATA UCHI KWASABABU ILE NI RAHAAAA SASA WEWE UTULETEE MAANDAMANO YA KWENDA KUPIGWA VIRUNGU WAPI NA WAPI NANI AENDE KWA MANUFAA YA NANI?
Mjinga huyo wakili ana elimu ya sheria ya kuungauunga matokeo yake ndio hizi kelele zake.

Mtu aache kushabikia mpira unaomletea angalau furaha ya dakika 90 aende akapigwe virungu na kulazwa central police kisa siasa za nchi hii.

Siasa za nchi hii CCM ameweza kuzihodhi kuanzia awamu ya kwanza mpaka hii ya sita.
 
Acha ujinga wewe mwakabusi wakumlaumu ni mabeyo watanzania Wala hawanashida
 
Akili ya mbongo anawaza Simba na yanga na uzinzi 😝😝😝😝😝
 
TUTAANDAMANA HATA UCHI KWASABABU ILE NI RAHAAAA SASA WEWE UTULETEE MAANDAMANO YA KWENDA KUPIGWA VIRUNGU WAPI NA WAPI NANI AENDE KWA MANUFAA YA NANI?
Raha isiyo na uwezo wa kutengeneza kesho yako? Ama kweli wew ni walking dead
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…