Mwabukusi: Watanzania waambie waandamane kwa ajili ya Simba au Yanga, wataandamana hata uchi

Mwabukusi: Watanzania waambie waandamane kwa ajili ya Simba au Yanga, wataandamana hata uchi

Watanzania waambie njooni muandamane Simba ameleta kombe, wataandamana hata uchi kwenda uwanja wa Taifa. Wanazingatia sana mamboa ambayo si ya msingi.

Kwenye culture yetu tuliamini kuwa mambo yote magumu magumu ni ya viongozi. Hali hii itaendele na itakuwepo kwa muda mrefu kwasababu kwanza hatujabadili mfumo wetu wa elimu na sasa hivi tumeubemenda, tumeutikisa zaidi.

Ile free thinking huipati sawasawa ndiyo maana utakuta watoto wa siku hizi Ukimona anapiga kelele ni boom, yaani kama ndege.


Soma:
Sasa alitaka tuandamane kwaajili ya matumbo yao?

Wapambane wenyewe huko
 
Alilolisema Mwabukusi ni ukweli mtupu! Watanzania ni watu wasiopenda kutolea jasho wanachokitaka: iwe uhuru, haki, elimu n.k. Kwa mfano kazini = mshahara bila kazi, Vyuoni = ufaulu na vyeti kwa rushwa ya ngono. Biashara kwa dhulma tu, kipato kwa kubet au ushirikina, uchaguzi kwa wizi wa kura.
 
Watanzania waambie njooni muandamane Simba ameleta kombe, wataandamana hata uchi kwenda uwanja wa Taifa. Wanazingatia sana mamboa ambayo si ya msingi.

Kwenye culture yetu tuliamini kuwa mambo yote magumu magumu ni ya viongozi. Hali hii itaendele na itakuwepo kwa muda mrefu kwasababu kwanza hatujabadili mfumo wetu wa elimu na sasa hivi tumeubemenda, tumeutikisa zaidi.

Ile free thinking huipati sawasawa ndiyo maana utakuta watoto wa siku hizi Ukimona anapiga kelele ni boom, yaani kama ndege.


Soma:

Watanzania kupenda Simba, Watanzania kupenda Yanga, kosa lao ni nini hapo?

Kama vipi Mwabukusi alete hoja ili sanaa, michezo na utamaduni vifutwe kwenye hii nchi. Mbona Mungai alifuta michezo mashuleni na hakuna mtu alibishana?
 
Watanzania kupenda Simba, Watanzania kupenda Yanga, kosa lao ni nini hapo?

Kama vipi Mwabukusi alete hoja ili sanaa, michezo na utamaduni vifutwe kwenye hii nchi. Mbona Mungai alifuta michezo mashuleni na hakuna mtu alibishana?
Watu badala ya kujadili maendeleo kutwa kujadili Simba na Yanga, tutapata wapi critical thinkers?
 
Litatokea jambo siku wananchi wenyewe wataingia barabarani bila kufuata kauli za viongozi wa chama. Yatakua hayana taarifa rasmi.

Kwa saivi acha polisi waandame wenyewe.
Si watanzania lakini, mitanzania ni misukule
 

Attachments

  • downloadfile-119.jpg
    downloadfile-119.jpg
    54.5 KB · Views: 2
Huyu mwamba kazoea kufokea familia yake sahivi anataka amfokee kila mtu mwambie awe na mipaka asije kukutana na kofi ya kipara
 
Back
Top Bottom