Mwabukusi: Watanzania waambie waandamane kwa ajili ya Simba au Yanga, wataandamana hata uchi

Mwabukusi: Watanzania waambie waandamane kwa ajili ya Simba au Yanga, wataandamana hata uchi

wewe unapima ujasiri wa Mwabukusi kwa maandamano ya jana? labda km akili yako ni ndogo km ya sisimizi unaweza uliza kwa nini hukumuona jana..
Ndio maana nimeomba Lisu makamu mwenyekiti wa Chadema aliyemfanyia kampeni ajibu

Huyo mtu wake anayelaumu watanzania kutoshiriki maandamano yeye mbona hakushiriki? Wala makamu wake wala viongozi wa juu wala mawakili kama akina kibatala nk
 
Nchi gani duniani inayofanya chaguzi inaweza itisha maandamano ya kudai raisi aliyepo madarakani kwa mujibu wa katiba na sheria aondoke; halafu hayo maandamano yakapewa baraka na vyombo vya ulinzi.

Embu siku CDM waitishe maandamano ya kudai tume huru uone kama kuna kundi la watu alitowaunga mkono Tanzania.

Lakini uwezi itisha maandamano ya kutaka aliepo kwa mujibu wa sheria atoke, subiri uchaguzi umtoe.

Halafu mtu kama Mwabukusi ambae anatakiwa kuwa impartial, kesho serikali ikikataa kufanya nae kazi kwa sababu anamlengo wa kisiasa mseme serikali sio sikivu.

Taasisi ya wataalamu ambayo inatakiwa kulinda maslahi ya wanachama wao na kiushauri serikali. Wasomi wenyewe wanaenda chagua mtu kama Mwabukusi.

Kupoteza muda tu wakati dunia inasogea. CCM ni hovyo na vyama vya upinzani ndio hovyo zaidi. Weka mtu mmoja mwenye vision ya kujenga nchi akae hata miaka 20 Tanzania watu wake bado kwa siasa za demokrasia. Wanahitaji mtu wa kuwabadili fikra kwanza.
 
Watanzania wanaandamana wakiwa na sababu za Msingi za kufanya hivyo na siyo kwakuwa Viongozi wa upinzani walio na agenda zao wameamua hivyo
 
wewe unapima ujasiri wa Mwabukusi kwa maandamano ya jana? labda km akili yako ni ndogo km ya sisimizi unaweza uliza kwa nini hukumuona jana..
Wacha yeye tu mawakili nguli wa TLS anaowaongoza wangapi walishiriki maandamano ya Chadema?

Mawakili wake hawakushiriki hata wale waliomtetea kesi yake dhidi ya kamati ya uchaguzi ya TLS waliingia mitini halafu anasukumia tuhuma kwa watanzania wa kawaida elimu ndogo na wasiosoma kuwa wajinga mbona hao wake akiwemo yeye hao wanajiita learned brothers and sisters mbona waliufyata? Hawakuonekana kwenye maandamano ?
 
Huu nao ni Wendawazimu kulinganisha yasiyoendana.Hao watakaoandamana kwa Simba au Yanga ni Mashabiki wa timu husika sio lazima wahusike na mambo mengine.Kama wanahitajika umati kama huo ni jukumu la Wahusika kuhamasisha ili nao wafikie huko na sio kutamani Wahusika wa mambo mengine.Huenda Mashabiki wa Simba na Yanga ni Watu milioni 7 tu, bado kuna zaidi ya Watanzania milioni 30 au 40 wa kufuatilia mambo mengine.Sasa inashangaza kushindwa kwako kuhamasisha muwatupie lawama wanaocheza vema upande wao?Vipi kama mliokuwa mkipingana nao (serikali) ndio wamefanikiwa dhidi ya hamasa ya kuandamana,bado utawalaumu Mashabiki wa Simba na Yanga? Kwani wakiitisha hay maandamano ya Simba na Yanga pia kutakuwa na vitisho vya Mamlaka?
CDM wanalazimisha watanzania wote tuwe CDM,kumbe kuna wengine hata kadi za vyama hatujui zinafanana vp! Kila mtu ashinde match zake uwanja wa home!!
 
Ni kama hapo mwandishi kashindwa kumhoji Mwabukusi anayejifanya ana critical thinking kuwa kwa nini hakuandamana maandamano ya Chadema jana?
Mwandishi alikosa kuhoji critical questions

Na Mwabukusi aliongea tu hewa ananyooshea tu vidole watanzania kuwa wajinga utafikiri yeye sio mtanzania yeye mbona hakushiriki maandamano ya Chadema? Na Chadema ndio waliomsaidia kupata uraisi wa Tanganyika Law Society kupitia Tundu Lisu makamu mwenyekiti wa Chadema ambaye pia alimshukuru waziwazi

Tundu Lisu tusaidie kwa nini huyo mtu wako Mwabukusi uliyemfanyia kampeni kuwa Raisi wa Tanganyika Law Society akashinda hakushiriki hayo maandamano ya Chadema

Lisu tupe jibu
Wewe ulishiriki au hayakukuhusu?
 
Mbona Mwabukusi hakuandamana maandamano ya Chadema?
Actions speaks louder than words

Anatukana watanzania kwa kutoandamana yeye mbona hakuandamana

Kweli nyani haoni ....................
Mwabukusi toka kawa Rais wa TLS anajiona kama nae ni Amiri Jeshi Mkuu asiyekua na majeshi!!
 
Wacha yeye tu mawakili nguli wa TLS anaowaongoza wangapi walishiriki maandamano ya Chadema?

Mawakili wake hawakushiriki hata wale waliomtetea kesi yake dhidi ya kamati ya uchaguzi ya TLS waliingia mitini halafu anasukumia tuhuma kwa watanzania wa kawaida elimu ndogo na wasiosoma kuwa wajinga mbona hao wake akiwemo yeye hao wanajiita learned brothers and sisters mbona waliufyata? Hawakuonekana kwenye maandamano ?
Na wale ma Askofu wa CDM nao pia hawakuonekana kwenye maandamano ya.kudai haki, au hawapendi haki!!??
 
Nakubaliana kabisa, mijitu haijui hatma ya matibabu yao kama ikiugua, almost 85% haina bima za afya; haijali ubora wa shule ambazo watoto wao wanakwenda aka kayumba - yaani ipo ipo tu kusubiri ubishani wa Simba & Yanga. Mijitu kama hii kuikombia ni kazi nzito, na ndiyo maana CCM wanatambia mtaji huu.
 
Na mahayawani wa ccm wamefanikiwa kutengeneza misukule mingi kwa huu upuuzi wa mampira uchwara ya simba na Yanga , yaani ccm yametengenezwa opium ya simba na Yanga na kufanikiwa kulevya na kupumbaza akili za majitu humu nchini .
Utakuta jitu hata halijapiga mswakk ni kujadili mpira uchwara wa Yanga na simba lakini kwenye mambo ya muhimu yanayogusa future ya nchi na vizazi vyake ,Walaa hayana habari .
Takataka hii nchi
 
Watanzania asili ya unyonge imeletwa na makabila ya pwani ya bahari ya Hindi! Makabila ya mtwara, Lindi, Tanga, pwani, DSM,na Zanzibar ni jamii za watu wanyonge wanaona kuwa masikini au mtumwa ni haki yao! Ukiwa jasiri katikati ya hizo jamii wanakushangaa sana na kukuona kama mtu wa tofauti! Wengi ni manamba wa wahindi na waarabu! Wao kufanya kazi za kutumikishwa na wahindi na waarabu wanaona ndio ufahali!! Ni ngumu kutokea mabadiliko katika nchi yenye makabila ya hao watu wa pwani!

Kanda ya ziwa ingekuwa nchi leo ingekuwa nchi yenye mafanikio kwasababu watu wa uko wana IQ kubwa.
 
Mkuu lazima kuwe na timing

Nadhani waoga kaeni kwa kutulia.

Kwani shughuli yenyewe inahitaji wengi?

IMG_20220927_190940_421.jpg


Ndiyo maana wadada na watoto hawahitajiki!
 
Jitu likishavimbiwa mihogo na energy drink baaasi , linaona limeyapatia maisha
Nchi ya misukule hii .
Kumpigania mbwa koko mtz ni bora kufanya mambo yako mengine , mtanzania ni ngedere aliyenyofolewa ubongo ,zikajazwa tope kwenye fuvu lake .

Nakubaliana kabisa, mijitu haijui hatma ya matibabu yao kama ikiugua, almost 85% haina bima za afya; haijali ubora wa shule ambazo watoto wao wanakwenda aka kayumba - yaani ipo ipo tu kusubiri ubishani wa Simba & Yanga. Mijitu kama hii kuikombia ni kazi nzito, na ndiyo maana CCM wanatambia mtaji huu.
 
Wacha yeye tu mawakili nguli wa TLS anaowaongoza wangapi walishiriki maandamano ya Chadema?

Mawakili wake hawakushiriki hata wale waliomtetea kesi yake dhidi ya kamati ya uchaguzi ya TLS waliingia mitini halafu anasukumia tuhuma kwa watanzania wa kawaida elimu ndogo na wasiosoma kuwa wajinga mbona hao wake akiwemo yeye hao wanajiita learned brothers and sisters mbona waliufyata? Hawakuonekana kwenye maandamano ?
Kazi anayofanya Mwabukusi na mapito alimopita na wengine wa TLS wewe unaweza kufanya?? maandamano ya siku moja wakati wao kila siku kazi wanayoifanya ni sawa na maandamano ya siku 100..
 
Back
Top Bottom