GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Kumbe Mpira huwa mnaujua sasa kwanini kila Msimu wa Ligi huwa mnapumulia tu Mashine huku mkiwa hatarini Kushuka daraja na badala yake mnabaki tu Kusumbua Waamuzi kwa ‘ Kuwahonga ‘ Pesa zenu kidogo za hapa Mgodini ili mbakie Ligi Kuu?
Ombi Kuu kwenu ni kwamba nawaombeni nyie Mwadui FC kuwa hata mkicheza na Yanga SC ( ambao Jumapili ya tarehe 3 wanaenda Kulitia Aibu ya Mwaka Taifa huko Misri ambako wanaenda Kufungwa Goli 10 au 15 ) basi muwe ‘ mnakaza ‘ kama jinsi mlivyoikazia Simba SC jana.
Halafu Mwadui FC mna ‘ Waganga / Wachawi ‘ wazuri sasa mlikuwa wapi kuwasaidia Ndugu zenu Yanga SC walipokuwa huko Kwenu Kanda ya Ziwa ili ‘ wasibikiriwe ‘ na ‘ Mwarabu ‘ Pyramids FC? Wanafiki wakubwa nyie na mnachokijua ni Kucheza kwa Mahaba kwakuwa 85% ya Wachezaji wenu ni Yanga SC.
Sasa mtatukoma Simba SC na tutafanya ‘ Fitna ‘ hadi mnashuka Daraja Msimu huu. Na muwaambie mapema hao Wachezaji wenu Watatu huyo Kipa wenu, mfungaji wenu wa Goli na Yule Fowadi wenu ambaye jana alikuwa ‘ akihaha ‘ Uwanja mzima kwamba wasidhani ‘ Kujitutumua ‘ Kwao vile basi hizo Pesa walizopewa jana Usiku na Watu wa Yanga SC zitawasaidia kwa chochote au watasajiliwa na Yanga SC bali wataendelea zao ‘ Kutaabika ‘ huko huko Kijijini Shinyanga. Na kuna Mmoja namfahamu ‘ Kindakindaki ‘ labda asije ‘ Kitaani ‘ Kwangu kwani nitamalizana nae kwa ‘ Style ‘ ya Kipekee kabisa.
Ombi Kuu kwenu ni kwamba nawaombeni nyie Mwadui FC kuwa hata mkicheza na Yanga SC ( ambao Jumapili ya tarehe 3 wanaenda Kulitia Aibu ya Mwaka Taifa huko Misri ambako wanaenda Kufungwa Goli 10 au 15 ) basi muwe ‘ mnakaza ‘ kama jinsi mlivyoikazia Simba SC jana.
Halafu Mwadui FC mna ‘ Waganga / Wachawi ‘ wazuri sasa mlikuwa wapi kuwasaidia Ndugu zenu Yanga SC walipokuwa huko Kwenu Kanda ya Ziwa ili ‘ wasibikiriwe ‘ na ‘ Mwarabu ‘ Pyramids FC? Wanafiki wakubwa nyie na mnachokijua ni Kucheza kwa Mahaba kwakuwa 85% ya Wachezaji wenu ni Yanga SC.
Sasa mtatukoma Simba SC na tutafanya ‘ Fitna ‘ hadi mnashuka Daraja Msimu huu. Na muwaambie mapema hao Wachezaji wenu Watatu huyo Kipa wenu, mfungaji wenu wa Goli na Yule Fowadi wenu ambaye jana alikuwa ‘ akihaha ‘ Uwanja mzima kwamba wasidhani ‘ Kujitutumua ‘ Kwao vile basi hizo Pesa walizopewa jana Usiku na Watu wa Yanga SC zitawasaidia kwa chochote au watasajiliwa na Yanga SC bali wataendelea zao ‘ Kutaabika ‘ huko huko Kijijini Shinyanga. Na kuna Mmoja namfahamu ‘ Kindakindaki ‘ labda asije ‘ Kitaani ‘ Kwangu kwani nitamalizana nae kwa ‘ Style ‘ ya Kipekee kabisa.