Mwadui FC yamumunywa na Simba SC Kambarage, Mwadui 0-3 Simba

Hivi Simba hawajanunua hii mechi?
Yanga ikishinda, imenunua!
Simba akishinda, ni ufundi wao.
Only in Tanzania!
Inawezekana kuwa timu hizi zilipokutana mmoja alinunua na mwengine akatumia utaalamu wake. Pengine jawabu la suala lako ungepitia hiyo mechi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…