Mwadui FC yamumunywa na Simba SC Kambarage, Mwadui 0-3 Simba

Mwadui FC yamumunywa na Simba SC Kambarage, Mwadui 0-3 Simba

Hivi Simba hawajanunua hii mechi?
Yanga ikishinda, imenunua!
Simba akishinda, ni ufundi wao.
Only in Tanzania!
Inawezekana kuwa timu hizi zilipokutana mmoja alinunua na mwengine akatumia utaalamu wake. Pengine jawabu la suala lako ungepitia hiyo mechi
 
1477798270568.jpg
 
Back
Top Bottom