Mwadui FC yamumunywa na Simba SC Kambarage, Mwadui 0-3 Simba

Mwadui FC yamumunywa na Simba SC Kambarage, Mwadui 0-3 Simba

Mkuu mie maneno ya kimchezo nayajua sana ila si vizuri kukazia maelezo yako na kuyatetea kama ulichofanya ni sawa.. Kumbuka kwenye majukwaa kama haya unakutana na watu wa aina tofauti japo sikulaumu kwa hilo

Kimichezo zigo la mavi ni mchezaji ambaye yuko overrated na hata ukitaka kumuuza leo hii hauziki. Hilo jina tumemuita sana wayne rooney kwenye thread ya Man U. Sasa nashangaa mnakuja kuniletea uwendawazimu mimi. Kama hamjui mpira na ushabiki wake nendeni kwenye majukwaa yenu ya lugha
 
UPDATES ZINAENDELEA;

SUB Dk 66 Simba wanamtoa Kichuya, nafasi yake inachukulwia na Said Ndemla
 
Mkuu tumwache. Yeye ana uzoefu katika aina hiyo ya maisha. Atatushinda.he has great experience and we are so amateur katika uwanja wa matuzi na mimi na wewe kutokana na malezi ya wazaz wetu hatuna hizo vocabularies za matusi au lugha chafu. Ngoja tuangalie mpira na kutaniana kistaarabu.

Njaa iachwe ikae tumboni ila ikihamia kichwani ni hatari tupu..

Njaa yako imehamia kichwani
 
Mmeshaanza kutafuta visababu.. Hii ratiba ilitoka wiki kadhaa kabla ya ligi kuanza.. Kwanini hamkusema mapema?.. Mnyama huyu hakuna wa kumzuia kumchukua mwali.
Simba tulivotoka mby kwenda kukipga dar wkt watu wapo dar na wakapewa mda wa kujiandaa c hatukusema mbn
 
Huyu kipa wa simba kazi yake kubwa ni kupiga goal kick. Angeweza hata kwenda kukaa bench la wachezaj wa akiba akawa anatizama mpira na wenzie. Golini hata angeweka chupa ya maji tu ingefaa kuonesha kuwa yupo. Naona kamq wamesajili bure tu halaf anachezea simba anapoteza kipaj chake maana hapati hata mipira ya kudaka ...
 
Wanachoniudh simba namna wanavyosakata kabumbu.. Hii team kuna mzungu mmoja mpaka leo haamini kama ni ya Tanzania.

Aaargh ndo mnachezaji hivi kama kwenye movie?mnacheza soka la kuvutia utadhan team za kutoka barani huko mpira ulikokomaa?

Acheni kucheza kwa dharau simba.
 
Mkuu tumwache. Yeye ana uzoefu katika aina hiyo ya maisha. Atatushinda.he has great experience and we are so amateur katika uwanja wa matuzi na mimi na wewe kutokana na malezi ya wazaz wetu hatuna hizo vocabularies za matusi au lugha chafu. Ngoja tuangalie mpira na kutaniana kistaarabu.
We jamaa utakuwa umetumwa otherwise kuna kitu kinakuwasha. Hujawa kifimbo cheza humu au unatafuta u moderator kwa nguvu. Achana na mimi sikujui hunijui. Na sioni hatari kula ban we nifate fate tuu kama demu li pashkuna.
 
Nahisi kama Simba wapo wengi UWANJANI. wanafika 20. Ina maana hawakuhesabiwa? Kila sehemu naona wachezaj wa Simba tu wamejaa halafu hawachoki?
 
Back
Top Bottom