HAKI KWA WOTE
JF-Expert Member
- Nov 30, 2022
- 1,108
- 1,132
- Thread starter
- #61
Nakujibu kwa hisia na uhakika kutoka kwa waliokulisha ujingaBin Samia Anaupiga Mwingi
Majibu gani unataka na kwa swali lipi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nakujibu kwa hisia na uhakika kutoka kwa waliokulisha ujingaBin Samia Anaupiga Mwingi
Majibu gani unataka na kwa swali lipi?
Mimi siyo myunani na siishi kiyunani bali ni Mwafrika ninayekienzi kiswahili katika kupambanua mambo siyo kukariri mamboHiyo ni kwa Kiswahili, vipi kuhusu Kiyunani
Shughulisha akili yako acha kumeza na kukariri mambo kwa maisha yako yote hoji na kutafakari siyo kila ulilolikuta au unalokutana nalo unaliamini tu utakuja kukuta baba au mtoto siyo wako kisa umeambiwa tu ni wako basi ukaamini na huitaji hata kudadisi tabia za baba au mtoto je zinaendana na wewe??Unaweza kubishana na kichaa?
Adam ni mtu wa kwanza katika biblia siyo ulimwenguni na labda ndiye alitokana na udongo huko kwa wazungu/waebrania lakini siyo kwa WAAFRIKA wanaotokana na shahawa na manii,wewe ndiyo una tatizo la afya ya akili huwezi kung'ang'ania kitu ambacho huna asili macho na hutaki kujifikirisha juu ya ukweli wake.Afya ya Akili ni Muhimu sana
Hakuna MTU aliyetokana na nyani na ingekuwa hivyo basi hadi leo nyani wangekuwa vhanzo cha WATU na siyo shahawa na manii labda huyo binadamu wa kwenye biblia ndiyo alitokana na manyani na kuletwa kupandikizwa vichwani mwa wafia dini wa AfrikaMwanasayansi Darwin, alikuwa anahadaa Waafrika kuhusu theory yake "Darwinism " ni sisi tu Waafrika tumetokana na nyani. Adam alikuwa mzungu.
Basi zingatia ya kwamba Bible imetafdiriwa kwa lugha nyingi.. Hi yo argument yako ilipaswa kuangazia kwenye original versionMimi siyo myunani na siishi kiyunani bali ni Mwafrika ninayekienzi kiswahili katika kupambanua mambo siyo kukariri mambo
Tafasiri za lugha nyingi haziondii msingi na madhumuni hasa ya biblia ambayo ni kuitawala Afrika kupitia UKOLON,hata maandiko ya kiswahili yanaweza kutafasikiwa kwa kiingereza na kubaki na maana na madhumuni yake yaleyale kupenyeza ukoloniBasi zingatia ya kwamba Bible imetafdiriwa kwa lugha nyingi.. Hi yo argument yako ilipaswa kuangazia kwenye original version
Nata Mimi ni Mswahili mweusi tii na naienzi lugha yangu lakini siwezi kujidanganya kwamba nitaishi na Kiswahili pekee bila muunganiko na lugha zingine
Kichaa ni wewe usiyehitaji kuifikirisha akili yako kwa kukariri na kumeza ujinga ulioleyewa na wakoloni na waarabu kwa kuegemea upande mmoja wa ulicholishwa,je kabla ya ukoloni WAAFRIKA walijulikana kuwa ni WANA wa adamu?JF limekuwa jukwaa la hovyo sana siku hizi. Wehu mnaandaika vitu bila ya kutoa hoja zenye mashiko. Sawa sisi sio Binaadamu haya tueleze basi asili yetu sisi ni ipi. Kuhusu wanyama sisi hatujui maana tuliwakuta.
Soma hapo ulipoandiaka '"..bin adamu siyo mwafrika bali ni kiumbe aliyetokana na adamu..." ndio umekusudia kusema nini?Kichaa ni wewe usiyehitaji kuifikirisha akili yako kwa kukariri na kumeza ujinga ulioleyewa na wakoloni na waarabu kwa kuegemea upande mmoja wa ulicholishwa,je kabla ya ukoloni WAAFRIKA walijulikana kuwa ni WANA wa adamu?
Unaishii kwa kukariri mambo pasipo kutafuta ukweli wa mambo,mjinga kama wewe ni jiwe usiyetaka kutafakari na kudadisi ukweli wa mambo unayokutana nayo,umejazwa mzigo wa ujinga kichwani mwako kama gunia la misunari.
Bin-Adamu siyo MWAFRIKA bali ni kiumbe aliyetokana na Adamu wa uongo aliyeumbwa kwa udongo huko kwa waebrania kama wafiadinii mlivyoaminishwa kwa maanndiko ya kutungwa ili mtawaliwe kifira hadi leo ,hata kichaa ukimuuliza anaelewa ninii juu ya Adamu na Bin-adamu atakujibu binadamu yoyote ni mmwanaa wa adamu na hana vinasaba na WAAFRIKA.
ASILI ya MWAFRIKA ni MTU wa AFRIKA siyyo Adamu wa mchongo wa Wazungu au waarabu
Ukubali au usikubali WAAFRIKA wafia dini ni janga linaloikabiri Afrika kwa sasa kwa sababu hawataki kutafuta ukweli wanaenda kama walivyokuta mambo yamewekwa nauhakika kuwa neno neno Binadamu asili yake ni Adam ambaye asili yake ni udongo kwa maana ya Waebrania kupia biblia wakaaminishwa wazungu kuwa ni MTU wa kwanza wa watu wote duniani kitu ambacho siyo kweli.Sometimes watu wanajiandikia tu
Nimekujibu kwa style hiyo kwa maana za haohao waliokulisha ujinga na kukutawala kwani nao kwasasa wapo wanaopigania kuwakomboa WAFIADINI wa Kiafrika,soma hapaSoma hapo ulipoandiaka '"..bin adamu siyo mwafrika bali ni kiumbe aliyetokana na adamu..." ndio umekusudia kusema nini?
Mimi siyo binadamu kweli kwani sijatokana na udongo mwekundu wa kwenye biblia ambao ndiyo asili ya adamu mimi ni MTUKwa akili hizi unathibitisha kuwa kweli wewe si binàdamu.