HAKI KWA WOTE
JF-Expert Member
- Nov 30, 2022
- 1,108
- 1,132
- Thread starter
-
- #81
Hauko sahihi kabisa weka hapo chanzo halisi cha matokeo ya utafiti huo ikiwa ni andiko la taasisi fulani siyo andiko la instagram,nakuuliza kama bin adam alitokana na babu na bibi mmoja na wannadamu wote duniani ni ndugu kwani kuwe na matabaka ya WACHINA,WAAFRIKA na WAZUNGU na bado watofautia ktk DNA kwa misingi ya ASILI zao??Binadamu wote wana asili moja ...
View attachment 3268701
For sureKwahiyo wewe chanzo chako ni wapi kwa maana watu huamini chanzo cha koo na asili ya watu wote wa Dunia kilianzia hapo kwa Adam
Hizo ni race ndiyo maana tunakuja kwa Adam , katika historia Adam ndiye chanzo cha race zote duniani.Hauko sahihi kabisa weka hapo chanzo halisi cha matokeo ya utafiti huo ikiwa ni andiko la taasisi fulani siyo andiko la instagram,nakuuliza kama bin adam alitokana na babu na bibi mmoja na wannadamu wote duniani ni ndugu kwani kuwe na matabaka ya WACHINA,WAAFRIKA na WAZUNGU na bado watofautia ktk DNA kwa misingi ya ASILI zao??
Za kulishwa changanya na zako!!
Sasa ukiaacha hizo taka taka za mitandaoni. Hebu nielewesha asili ya huyo MTU.Nimekujibu kwa style hiyo kwa maana za haohao waliokulisha ujinga na kukutawala kwani nao kwasasa wapo wanaopigania kuwakomboa WAFIADINI wa Kiafrika,soma hapa
Kamati ya maangamizi ameigusa ngja wajipange
Jielimishe kuhusu pigment (kwanini watu wanangozi za ranging tofauti). Na albino nae kaumbwa na udongo mwekundu? Na kwanini unatumia jina la Africa lililoletwa na wazungu?Bin-Adam ni MTU aliye na asili ya ukoo au uzaio wa ADAM wa mchongo wa kwenye biblia wewe Mwafrika siyo ukoo wa Adam na unapaswa kujitambulisha kama MTU kwa ubini wa asili yako.
Short and clear mwenye kubisha aje.
Nimeweka viambata hivi viwasaidie kuondoka na ujinga mliolishwa na hasa wa kifikra,hivi mnashindwa kujiuliza kama binadamu ni mtu aliyeumbwa kwa udongo je hivyo viumbe vingine viliumbwa kwa udongo pia na kama ni ndiyo je kwanini hadi leo hakuna uumbaji wa udongo unaoendelea.
Kiuhakika kwasasa siyo wazungu au warabu wote wana nia ya kuwalisha uongo Waafrika bali kumekuwepo wanaotangaza ukweli na kukuusimamia kwa lengo la kuwaamsha Waafrika kuwa walivyolishwa vyote kuhusu msahafu na biblia ni uongo kwa masilahi ya waarabu na wazungu.
Na mkumbuke kuwa Adam nina la kwanza analopewa MTU wa kwenye biblia na siyo MTU wa kwanza ULIMWENGUNI na ni wa udongo mwekundu(mzungu) siyo mweusi(MWAFRIKA)
Amkeni!!
For sure
Tambua unaposema alubino tayari ni abnormality ambayo inapatikana hata kwa wazungu,waasia na WAAFRIKA.Jielimishe kuhusu pigment (kwanini watu wanangozi za ranging tofauti). Na albino nae kaumbwa na udongo mwekundu? Na kwanini unatumia jina la Africa lililoletwa na wazungu?
Sasa rudia kusoma ulichoandika awaliTambua unaposema alubino tayari ni abnormality ambayo inapatikana hata kwa wazungu,waasia na WAAFRIKA.
Pia elewa kuwa hata viumbe wengine kama nyani,simba,nyoka,nk pia kuna albino/zeruzeru.
Swala la kwanini WATU wana rangi tofauti au wanyama wengine wana rangi tofauti sababu kubwa ni MAZINGIRA ya walipoumbiwa viumbe hao kwani mazingira yanatofautiana hasa i.e:joto,baridi,milima,mistu,mabonde,nk.
Alubino ni MTU kama na adamu naye ni MTU wa mchongo wa kibiblia aliyetungwa ili kutumika kumtawala MWAFRIKA kwa kuwaaminisha ujinga huo eti kaumbwa kwa udongo mwekundu na kulingana na mawasilisho ya waebrania siyo MUNGU.
Tafuta maana ya MTU na maana ya Adamu.