OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
- Thread starter
- #21
Utabaki hivyo hivyoNimekukubali leo Chawa wa Mo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utabaki hivyo hivyoNimekukubali leo Chawa wa Mo
Uko sawa mkuu na ukweli kuna watu wananishukuru kila leo kwa kuwapa aidia flani flani hivi.Leo nataka kuwapa ushauri waajiriwa. Malalamiko ya mishahara kutokutosha yamekuwa mengi, hasa kwa waajiriwa na Mama Samia. Malalamiko yenu ni ya msingi kabisa. Lakini inabidi mjiongeze. Najua hata mkiongezewa mshahara shida ziko pale pale. Simaanishi msiongezewe, la hasha!!
Hii ni kweli kabisa...ila watumishi Wana njaa jamani khaaaa[emoji848]
You are right bro. If your staff mate is a source of connection let you have him after job hoursSame staffmates can be your source of connections.
Depends on the level of exposure your co-workers are.
You can be a source of connection too.
You shouldn't be waiting to be given connections. Give one atleast.
Hebu funguka mkuuUshauri mzuri mkuu, nilikutana na kijana mmoja majuzi hapa, yeye ni mfanyabiashara, alinipa ushauri mzuri sana kuhusu uwekezaji kwa mtaji mdogo tu.
Ina maana wafanyakazi wote hawana shughuli nyingine zaidi ya kazi ya ofisini?Uzi muafaka.
Shirikiana nao wakati wa muda wa kazi tu[emoji41]