Mwaka 1 wa Samia: Zuhura Yunus umeitendea haki Kurugenzi ya habari Ikulu

Mwaka 1 wa Samia: Zuhura Yunus umeitendea haki Kurugenzi ya habari Ikulu

Babu Kijana

JF-Expert Member
Joined
Jan 24, 2013
Posts
587
Reaction score
276
Nimesikiliza makala ya mafanikio ya Rais Samia tangu aliposhika hatamu kuongoza nchi iliyoandaliwa na kusimuliwa na Zuhura Yunus.

Kiukweli huyu dada ni msimulizi mzuri hatetereki wala kujiumauma kanyooka kama rula na kiswahili chake maridhawa.

Kwa kweli katika teuzi hapa mama aliramba jike haswa
 
Arekebishe maandishi kwenye zile taarifa kwa umma, yanakuwa na mwanga hafifi sana
 
aachane na English Audience, wapokea taarifa ni wamakonde wa Nanyamba na Kitele hatuelewi Kienglish..
 
zaidi ya kufuta kesi ya michongo na kusafiri nje...mengine yote ni ya JPM
 
Mafanikio ya JPM hayo
NNinachoweza kusema hii dunia huwezi kuficha, kudanganya kwa uwezo wowote ilihali ukweli hupo wazi.

Hapa wanajaribu kudanganya usiku wakati they know mwanga upo hapo mbele, kazi ya mtu unalazimisha kuwa kafanya huyu, ahahahaaa aseee, tena in one 365days ahahahaaaa...!
 
Inapendeza, bado kikeke nao apewe uteuzi...
 
Back
Top Bottom