mdukuzi
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 20,925
- 51,688
Sitaisahau hii siku ni miaka mingi 1988 , pale Drive inn Cinema zilipo ofisi za Zantel,Msasani.
Tumetoka mtoko wa jioni na mzee wetu kuangalia filamu ambayo siikumbuki ila ninachoku.buka kabla ya filamu ulipigwa wimbo wa Thriller wa Michael Jackson
Kwa umri wangu mdogo chini ya miaka 10 yale mazombie sikulala usiku.
Drive in ndio ukumbi pekee wa cinema ambao ungeweza kuangalia filamu ukiwa ndani ya gari,mimi niliogopa nikaenda kujifungia kwenye gari.
Sasa hivi woga umenitoka ukijichanganya ninaweza kukuchinja koo
Tumetoka mtoko wa jioni na mzee wetu kuangalia filamu ambayo siikumbuki ila ninachoku.buka kabla ya filamu ulipigwa wimbo wa Thriller wa Michael Jackson
Kwa umri wangu mdogo chini ya miaka 10 yale mazombie sikulala usiku.
Drive in ndio ukumbi pekee wa cinema ambao ungeweza kuangalia filamu ukiwa ndani ya gari,mimi niliogopa nikaenda kujifungia kwenye gari.
Sasa hivi woga umenitoka ukijichanganya ninaweza kukuchinja koo