Mwaka 1991 jumuia ya Kigurunyembe ilivyokunywa maji yenye uzo wa mtu aliyekufa

Mwaka 1991 jumuia ya Kigurunyembe ilivyokunywa maji yenye uzo wa mtu aliyekufa

Superbug

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2018
Posts
13,864
Reaction score
35,079
Tukio la kweli.

Miaka ya 1990/89 Kuna mwanachuo alipatwa na celebral malaria ilipanda kichwani.

Akaenda kulazwa kwenye zahanati ya chuo. Mbaya ZAIDI nesi wa zamu hakumpa sana kipaumbele basi yule mwanachuo akatoka akaenda kujirusha kwenye Mojawapo ya matanki makubwa ya kuhifadhia MAJI yanayopatikana chuoni hapo.

Yule mwanachuo akafariki na akazama akaoza kabisa alitafutwa maeneo yote chuo kizima hakupatikana basi ikawa ndio ntolee.

Huku kwenye kota watu wakawa wanaona nywele na ngozi ngozi iliyooza kwenye MAJI ya majumbani kwao.
SIKU Moja baada ya miezi kadhaa lile taki Waka li empty ili kutoa tope na kufanya usafi ndipo wakakuta mifupa ya mwanadamu.

Ndio alikuwa yule mwanachuo aliyejitupa kwenye MAJI akatafutwa na asipatikane.

Nawatakia heri ya mwaka mpya huko nyumbani Tanzania.

Superbug
Glasgow.
Scotland.
 
Tukio la kweli.

Miaka ya 1990/89 Kuna mwanachuo alipatwa na celebral malaria ilipanda kichwani.

Akaenda kulazwa kwenye zahanati ya chuo. Mbaya ZAIDI nesi wa zamu hakumpa sana kipaumbele basi yule mwanachuo akatoka akaenda kujirusha kwenye Mojawapo ya matanki makubwa ya kuhifadhia MAJI yanayopatikana chuoni hapo.

Yule mwanachuo akafariki na akazama akaoza kabisa alitafutwa maeneo yote chuo kizima hakupatikana basi ikawa ndio ntolee.

Huku kwenye kota watu wakawa wanaona nywele na ngozi ngozi iliyooza kwenye MAJI ya majumbani kwao.
SIKU Moja baada ya miezi kadhaa lile taki Waka li empty ili kutoa tope na kufanya usafi ndipo wakakuta mifupa ya mwanadamu.

Ndio alikuwa yule mwanachuo aliyejitupa kwenye MAJI akatafutwa na asipatikane.

Nawatakia heri ya mwaka mpya huko nyumbani Tanzania.

Superbug
Glasgow.
Scotland.
Mkuu hii ni story ya kweli au ni chai, kama ni chai Kwa nini hujapika mandazi ya kutosha.
 
Mkuu hii ni story ya kweli au ni chai, kama ni chai Kwa nini hujapika mandazi ya kutosha.
Ni kisa cha kweli huyo mwanachuo malaria ilipanda kichwani akaenda kujitupa kwenye kisima cha maji wanachuo na polisi walitafuta mwezi mzima bila mafanikio sasa huwa kuna kawaida ya kufungulia maji ili matope yaliyotuama yatoke pamoja na kuyafanyia usafi ndio wakakuta mwili wa marehemu ulishaisha kitambo sana. Mkuu wa chuo alikuwa mhaiki nadhani.
 
Kigurunyembe....

Poleni saana Kwa kunywa uchafu.

Miaka ya mwishoni mwa tisini tulikuwa pale nursery st Patrick... Pale kigurunyembe tulikuwa tunaenda kucheza
 
Duuh marehemu hakuona sehemu nyingine hadi kuingia kwenye tank la maji tena wanayotumia binadamu? 🤨
 
Back
Top Bottom