Mwaka 1991 jumuia ya Kigurunyembe ilivyokunywa maji yenye uzo wa mtu aliyekufa

Mwaka 1991 jumuia ya Kigurunyembe ilivyokunywa maji yenye uzo wa mtu aliyekufa

Yule mwanachuo akafariki na akazama akaoza kabisa alitafutwa maeneo yote chuo kizima hakupatikana basi ikawa ndio ntolee.
Binadamu akizama kwenye maji mara nyingi huanza kuelea baada ya masaa kadhaa, ilikuwaje huyu hakuelea? Hakuna utafiti uliofanywa
 
Tukio la kweli.

Miaka ya 1990/89 Kuna mwanachuo alipatwa na celebral malaria ilipanda kichwani.

Akaenda kulazwa kwenye zahanati ya chuo. Mbaya ZAIDI nesi wa zamu hakumpa sana kipaumbele basi yule mwanachuo akatoka akaenda kujirusha kwenye Mojawapo ya matanki makubwa ya kuhifadhia MAJI yanayopatikana chuoni hapo.

Yule mwanachuo akafariki na akazama akaoza kabisa alitafutwa maeneo yote chuo kizima hakupatikana basi ikawa ndio ntolee.

Huku kwenye kota watu wakawa wanaona nywele na ngozi ngozi iliyooza kwenye MAJI ya majumbani kwao.
SIKU Moja baada ya miezi kadhaa lile taki Waka li empty ili kutoa tope na kufanya usafi ndipo wakakuta mifupa ya mwanadamu.

Ndio alikuwa yule mwanachuo aliyejitupa kwenye MAJI akatafutwa na asipatikane.

Nawatakia heri ya mwaka mpya huko nyumbani Tanzania.

Superbug
Glasgow.
Scotland.
Wangeyapiga uzio kupunguza risk
 
Tukio la kweli.

Miaka ya 1990/89 Kuna mwanachuo alipatwa na celebral malaria ilipanda kichwani.

Akaenda kulazwa kwenye zahanati ya chuo. Mbaya ZAIDI nesi wa zamu hakumpa sana kipaumbele basi yule mwanachuo akatoka akaenda kujirusha kwenye Mojawapo ya matanki makubwa ya kuhifadhia MAJI yanayopatikana chuoni hapo.

Yule mwanachuo akafariki na akazama akaoza kabisa alitafutwa maeneo yote chuo kizima hakupatikana basi ikawa ndio ntolee.

Huku kwenye kota watu wakawa wanaona nywele na ngozi ngozi iliyooza kwenye MAJI ya majumbani kwao.
SIKU Moja baada ya miezi kadhaa lile taki Waka li empty ili kutoa tope na kufanya usafi ndipo wakakuta mifupa ya mwanadamu.

Ndio alikuwa yule mwanachuo aliyejitupa kwenye MAJI akatafutwa na asipatikane.

Nawatakia heri ya mwaka mpya huko nyumbani Tanzania.

Superbug
Glasgow.
Scotland.
Story ya uongo hii
Mtu akitumbukia mjini akafa Kuna muda huwa anakuja juu yaani anaelea.
Waliingiza shuka ambalo walishika huku na kule wakamtoa.

Kwanza tank lipi Kati ya yale matatu
 
Kuna ukakasi hapa,kunguru TU akifia kwenye tank maji hunuka... .na kubadirika Radha,!
Iweje walivumilia harufu ya wanadamu??Hilo tank lilikuwa juu au. Chini??je mgonjwa hakuwa na MTU wake wakaribu hata mwanachuo mwenzake???maswali ni mengi kuliko majibu mjomba😂
 
Mku

Mkuu unaijua celebral malaria lakini ikikushika vizuri?
Miaka ya nyuma enzi za Mkapa kurudi nyuma malaria ilisumbua sana; watu walikufa sana. Mojawapo ya legacy ya Kikwete ni kupamba na malaria. Vijana wa jana hawajui haya mambo sijui celebral sijui what!
 
Back
Top Bottom