Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Binadamu akizama kwenye maji mara nyingi huanza kuelea baada ya masaa kadhaa, ilikuwaje huyu hakuelea? Hakuna utafiti uliofanywaYule mwanachuo akafariki na akazama akaoza kabisa alitafutwa maeneo yote chuo kizima hakupatikana basi ikawa ndio ntolee.
Niliwahi kusikia hili jambo piaMkuu hii ni story ya kweli au ni chai, kama ni chai Kwa nini hujapika mandazi ya kutosha.
Wangeyapiga uzio kupunguza riskTukio la kweli.
Miaka ya 1990/89 Kuna mwanachuo alipatwa na celebral malaria ilipanda kichwani.
Akaenda kulazwa kwenye zahanati ya chuo. Mbaya ZAIDI nesi wa zamu hakumpa sana kipaumbele basi yule mwanachuo akatoka akaenda kujirusha kwenye Mojawapo ya matanki makubwa ya kuhifadhia MAJI yanayopatikana chuoni hapo.
Yule mwanachuo akafariki na akazama akaoza kabisa alitafutwa maeneo yote chuo kizima hakupatikana basi ikawa ndio ntolee.
Huku kwenye kota watu wakawa wanaona nywele na ngozi ngozi iliyooza kwenye MAJI ya majumbani kwao.
SIKU Moja baada ya miezi kadhaa lile taki Waka li empty ili kutoa tope na kufanya usafi ndipo wakakuta mifupa ya mwanadamu.
Ndio alikuwa yule mwanachuo aliyejitupa kwenye MAJI akatafutwa na asipatikane.
Nawatakia heri ya mwaka mpya huko nyumbani Tanzania.
Superbug
Glasgow.
Scotland.
Story ya uongo hiiTukio la kweli.
Miaka ya 1990/89 Kuna mwanachuo alipatwa na celebral malaria ilipanda kichwani.
Akaenda kulazwa kwenye zahanati ya chuo. Mbaya ZAIDI nesi wa zamu hakumpa sana kipaumbele basi yule mwanachuo akatoka akaenda kujirusha kwenye Mojawapo ya matanki makubwa ya kuhifadhia MAJI yanayopatikana chuoni hapo.
Yule mwanachuo akafariki na akazama akaoza kabisa alitafutwa maeneo yote chuo kizima hakupatikana basi ikawa ndio ntolee.
Huku kwenye kota watu wakawa wanaona nywele na ngozi ngozi iliyooza kwenye MAJI ya majumbani kwao.
SIKU Moja baada ya miezi kadhaa lile taki Waka li empty ili kutoa tope na kufanya usafi ndipo wakakuta mifupa ya mwanadamu.
Ndio alikuwa yule mwanachuo aliyejitupa kwenye MAJI akatafutwa na asipatikane.
Nawatakia heri ya mwaka mpya huko nyumbani Tanzania.
Superbug
Glasgow.
Scotland.
Huyu alikuwa anakaa upande ambao haukuwa na maji. Itakuwa ni mtaa wa pili kuleeti walikunywa na kula hayomaji
wewe mkuu,unajitoa
Hiki kitu kinatisha kimtindo mtindo.Niliwahi kusikia hili jambo pia
Miaka ya nyuma enzi za Mkapa kurudi nyuma malaria ilisumbua sana; watu walikufa sana. Mojawapo ya legacy ya Kikwete ni kupamba na malaria. Vijana wa jana hawajui haya mambo sijui celebral sijui what!Mku
Mkuu unaijua celebral malaria lakini ikikushika vizuri?