Opportunity Cost
JF-Expert Member
- Dec 10, 2020
- 9,034
- 6,913
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38] nimecheka maana walikuwa wanakuheshimu ujue ni kwa sababu wao walikuwa wa UPE na wewe umeenda Sekondari tena kwa kufaulu kweli kweliTulipasua vibaya saana....nakumbuka wilaya nzima tulikiwa 15 tu tulijulikana!! Moshi Tech, Bihawana, Msalato, Weruweru; Tabora Boyz / Girls....
Wakati huo elimu under Mwalimu ilikuwa na hadhi...ukiwa form one ukirudi likizo kwenye msiba kijijini basi unakaa na wazee wa heshima eee wazee wastaafu na walimu na watumishi wa Serikali kama katibu kata / tarafa; Mratibu wa Elimu etc
Sasa hivi laah form one shule ya kata anachojua ni mauno ya nandi na singeli....
2003 nilichaguliwa mwanafunzi pekee kutoka Mbozi Magharibi kwenda shule ya bweni ya Serikali zile wanaita shule za kitaifa hapo sikufuzu kwenda shule maalumu/shule za vipaji