Infantry Soldier
JF-Expert Member
- Feb 18, 2012
- 15,892
- 16,476
- Thread starter
- #41
Daaah, nchi imetoka mbali sana hii mkuu...Nakumbuka sumbawanga mjini,mwaka 2001 kurudi nyuma,ikifika disemba kabla ya christmas majina ya waliopangiwa kwenda kidato cha kwanza,manispaa nzima yanabandikwa kwenye ubao wa matangazo wa soko kuu.