ISO M.CodD
JF-Expert Member
- Feb 17, 2013
- 7,845
- 16,942
NB: Mwanaume itambue thamani yako fanya kazi pata hela, achana na mafundisho ya kukuandaa kuwa mtumwa wa wanawake , ishi maisha yako aiseee hiii dunia itakua pepo kwako.....trust me utaenjoy Sana .........ila ukiwa mtumwa wa wanawake imekula kwako.
Umeongea kitu kikubwa MNO! Tunaandaliwa na jamii tuwe watumwa wa wanawake, tuishi kwa manufaa ya wanawake kwa kisingizio cha ndoa na familia.
Manly men wanapotea, wanabaki pussies na yes men wasiojua thamani yao.