Mwaka 2017 nilimuokoa kaka yangu wa hiari aliyekuwa anasumbuliwa na ndoa yake

NB: Mwanaume itambue thamani yako fanya kazi pata hela, achana na mafundisho ya kukuandaa kuwa mtumwa wa wanawake , ishi maisha yako aiseee hiii dunia itakua pepo kwako.....trust me utaenjoy Sana .........ila ukiwa mtumwa wa wanawake imekula kwako.

Umeongea kitu kikubwa MNO! Tunaandaliwa na jamii tuwe watumwa wa wanawake, tuishi kwa manufaa ya wanawake kwa kisingizio cha ndoa na familia.

Manly men wanapotea, wanabaki pussies na yes men wasiojua thamani yao.
 
Hawa wahusika kwenye hiki kisa mbona nawafahamu Mkuu?

Mwanaume ni dereva? [emoji848]
 
Huyo jamaa mvumilivu sana, mm mwanamke wa hivyo wala sijifikirii mara 2, nakupiga chini asubuhi na mapema nakubeba na vitu vyako nakupeleka kwenu.

Haya maisha mafupi sana, sasa why tuuane na pressure na visukari mapema?
labda uwe una miliki jiko la mkaa!! mwanamke wako mapene unayo??? ukiwa na bonge la chumba! sofa kaliiiii!! jiko la kisasa! mweee!! nakwambi hatoki na ni kesi kubwaaa!! polisiiii!!

hao ni kuwatoroka tu!! unaacha koti umeritundika kwa msumari!! ndo dawa!! atasubi liii subiri na wewe!! na usiwekeze saana kwa mtu km unaona mapepe!! labda awe na kismati sanaaa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…