T11
JF-Expert Member
- Oct 11, 2017
- 5,101
- 4,560
Ukisema hivi Lissu asingegombea ana faili Milembe au unafikiri utaniTulishauri tangu mwanzo kua wagombea wapimwe akili kabla ya kuteuliwa...... Ona sasa[emoji848][emoji848]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukisema hivi Lissu asingegombea ana faili Milembe au unafikiri utaniTulishauri tangu mwanzo kua wagombea wapimwe akili kabla ya kuteuliwa...... Ona sasa[emoji848][emoji848]
Magufuli kichwa chake huwa hakiweki kumbukumbu sahihi ?Kwa kweli Tundu Lissu kawashika MATAGA kunako. Wamechanganyikiwa kabisa hadi sasa wamebobea katika ulaghai. Mweeeeee!
Embu msikie mwenyewe kiongozi wa MATAGA .....
View attachment 1558372
[emoji3]Mawazo kama haya utakuta team nzima ya kampeni ya chadema inawaza hivihivi!
Mkuu!
Mtaokoteza sana vi clip lakini ukweli Lisu havuki 20%
Kwa kweli Tundu Lissu kawashika MATAGA kunako. Wamechanganyikiwa kabisa hadi sasa wamebobea katika ulaghai. Mweeeeee!
Embu msikie mwenyewe kiongozi wa MATAGA .....
View attachment 1558372
Tulishauri tangu mwanzo kua wagombea wapimwe akili kabla ya kuteuliwa...... Ona sasa🤔🤔
Dah! Nimesikiliza hii clip mwanangu mdogo akiwepo, akashangaa, "khaaa baba hiyo mtu mbona inasema uongo hivyo, hebu irudie hiyo video", nikairudia, akasogea aitazame, amecheka mpaka kakaa chini! Nikamuuliza unaweza kuchagua monitor darasani kwenu muongo muongo hivi? Akajibu siyo tu kuchagua, hataki hata urafiki na mtu muongo muongo kama hili jeusiKwa kweli Tundu Lissu kawashika MATAGA kunako. Wamechanganyikiwa kabisa hadi sasa wamebobea katika ulaghai. Mweeeeee!
Embu msikie mwenyewe kiongozi wa MATAGA .....
View attachment 1558372
Kwa kweli Tundu Lissu kawashika MATAGA kunako. Wamechanganyikiwa kabisa hadi sasa wamebobea katika ulaghai. Mweeee!
Embu msikie mwenyewe kiongozi wa MATAGA.
Chadema kwa kujipa matumaini hapo nawapa big- up Sana. Lissu katu hawezi kumsumbua Magufuli ndugu zanguni. Anyway the time will speak out😉😉Tundu Lissu kwanini unamtesa hivi huyu Mzee?
Akili zake zinamtosha mwenyewe. Tumemvumilia sana kwa miaka 5. Sasa BASI.