Mwaka 2018 Dkt. Magufuli alisema alishatembelea Nchi nyingi Duniani akiwa Waziri. Septemba 2020 anadai eti hajawahi kwenda Ulaya tangu akiwa shuleni!

Vijana amkeni amkeni vijanana....
Huyu mtu ni Muono sana.
Amekulia katika hiyo misingi ya uongo uongo.

Kwanza anataka kujiongezea muda kwa kubadili katiba,AMKENI HUYU HAFAI.
i ..mnadanywa kuhusu idadi ya viwanda.
ii..Mnadanganywa kuwa miradi inajengwa kwa fedha zetu za ndank.
iii.Deni la taifa.
iv. Vijana wenye ajira nk nk.

MKATAENI HUYO MUONGO
 
Amesomea shahada zake zote UDSM. Hakwenda Ulaya kusoma hata siku moja. Inasemekana aliwahi kwenda Ujeruman kutibiwa.
 

Shida wanyonge wameshazoea kudanganywa... Na wanajisahau.

Wengi bado maskini, elimu duni hiyo ndio changamoto..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…