Lini hizo Annual increment unazosemea mliwahi kusema zinatosha, ata wakiwapa na kuwapandisha madaraja bado hamtakosa visingizio,mm nitakuwa na wewe pale tu atakapotupa malimbikizo ya annual increment zetu na kutupandisha madaraja,hatukatai miradi mikubwa anayofanya hongera kwa hilo,ila kama matumizi yanakuwa makubwa hadi mambo mengine tuyakose sasa hapo sipo nae kwa kweli,yani kwa kuwa baba unanunua smartphone ndo familia isile???HELL NOOOO [emoji53] 😡
Safi sana, "nenda nae tu". Humo njiani muambie yale yanayohitaji kurekebishwa. Sisi wengine tuacheni tuendelee kupiga kelele.Mwaka 2020 Naenda na JPM
nipo hapa bila kupepesa machoLicha ya mapungufu yake machache na hii ni iko kwa wanadamu wote waliotoka kwenye Tumbo la mwanamke,
Hakuna aliye kamilifu kwa asilimia 100,Mapungufu yake machache hayawezi kufanya nisione Mema anayofanya,
Mwaka 2020 Naenda na JPM, Jiwe shupavu, Chuma asiyeweza kuyumbishwa,Kwa mafanikio ya Nchi yangu, na kwa Future ya kizazi changu Nitaenda na JPM 2020,
Go JPM mimi kama mtanzania na mwananchi unayeniongoza niko Pamoja nawe.
Nani yuko pamoja nami anasema ataenda na JPM 2020? .
serikali yahaha kumsaka KIGOGOLicha ya mapungufu yake machache na hii ni iko kwa wanadamu wote waliotoka kwenye Tumbo la mwanamke,
Hakuna aliye kamilifu kwa asilimia 100,Mapungufu yake machache hayawezi kufanya nisione Mema anayofanya,
Mwaka 2020 Naenda na JPM, Jiwe shupavu, Chuma asiyeweza kuyumbishwa,Kwa mafanikio ya Nchi yangu, na kwa Future ya kizazi changu Nitaenda na JPM 2020,
Go JPM mimi kama mtanzania na mwananchi unayeniongoza niko Pamoja nawe.
Nani yuko pamoja nami anasema ataenda na JPM 2020? .
MM SIO MNYONGETuko pamoja, tunamuelewa Rais wetu, Rais wa wanyonge.