Jibu maswali niliyokuuliza kwanza achana na hizo namba unazosemea? Usikwepe.
serikali yahaha kumsaka KIGOGO
Msimamo wangu upo pale pale, nitachagua yeyote haijalishi awe wa namna gani isipokuwa asiwe kutoka CCM
Toa Ushahidi kama huna basi hiyo ni Chai tu (propaganda)Tangu lini mie nimejibu maswali ya kipuuzi humu!? [emoji15][emoji15][emoji15][emoji15]
Eti niachane na namba ninazosema! Usikimbie namba hizo si uzushi ni kweli tupu! Umesikia kuhusu 1.5 trillion aliyokwapua huyo kubwa la majizi wa chato? Hiyo ni report ya CAG. Umesikia gharama za matibabu za kikaragosi cha dhalimu ndugai $12 millions au sawa na 28 billions Tanzania shillings?
Tia akili kichwani achana na kuandika upuuzi humu.
Toa Ushahidi
Report tu pekee hakuna kingine? Unatakiwa uje na ushahidi hapa ni wapi hizo hela unazosemea zimepelekwa, Kama ni bank kwenye Acount namba gani? Jina la bank usika na ni Nchi gani kama ni Tanzania au nje.Tafuta ripoti ya CAG ya fiscal year 2018/2019 hata humu imo isome kwa kina utaelewa tu sina tabia ya kuandika uzushi humu.
Kwa hiyo wewe 2020 unaenda na Nani?Katusogezea tu mbuga, lkn shiling yetu hairuhusu kutawanya[emoji23]
Brother 2020 unaenda na nani?Tangu lini mie nimejibu maswali ya kipuuzi humu!? [emoji15][emoji15][emoji15][emoji15]
Eti niachane na namba ninazosema! Usikimbie namba hizo si uzushi ni kweli tupu! Umesikia kuhusu 1.5 trillion aliyokwapua huyo kubwa la majizi wa chato? Hiyo ni report ya CAG. Umesikia gharama za matibabu za kikaragosi cha dhalimu ndugai $12 millions au sawa na 28 billions Tanzania shillings?
Tia akili kichwani achana na kuandika upuuzi humu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Msimamo wangu upo pale pale, nitachagua yeyote haijalishi awe wa namna gani isipokuwa asiwe kutoka CCM
Brother 2020 unaenda na nani?
Kiberenge cha kazi gani sasa!Licha ya mapungufu yake machache na hii ni iko kwa wanadamu wote waliotoka kwenye Tumbo la mwanamke,
Hakuna aliye kamilifu kwa asilimia 100,Mapungufu yake machache hayawezi kufanya nisione Mema anayofanya,
Mwaka 2020 Naenda na JPM, Jiwe shupavu, Chuma asiyeweza kuyumbishwa,Kwa mafanikio ya Nchi yangu, na kwa Future ya kizazi changu Nitaenda na JPM 2020,
Go JPM mimi kama mtanzania na mwananchi unayeniongoza niko Pamoja nawe.
Nani yuko pamoja nami anasema ataenda na JPM 2020? .
Report tu pekee hakuna kingine? Unatakiwa uje na ushahidi hapa ni wapi hizo hela unazosemea zimepelekwa, Kama ni bank kwenye Acount namba gani? Jina la bank usika na ni Nchi gani kama ni Tanzania au nje.
Siyo tu unakuja na maneno bila kutoa ushahidi wa wapi hizo hela zimewekwa.
Wanyonge wanajijua.Wewe mnyonge?