Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi ndio Sina nyota ya kutumia ndom kabisa...Ila nyie watu aisee,NYEGE mbaya sn yn...mm mara kibao naweza pewa gemu na manzi ile nikishaiona tu K hii hapa kanitengea nijipakulie,ht km nimekuja na boksi la condom najikuta tu nishazamia hila ht kuvaa hii kitu...Mungu aninusuru
Haha mkuu, kwa maelezo hayo, nina haja na vumbi la kongo kweli?Vipi mkuu,nikufanyie delivery ya vumbi la Kongo?
Kidding..
Alituangusha sana huyu jamaa, ila swal la kupima nalo sio poa.Ukakosa utamu hivi hivi
Hata Mimi nkpima nkakuta sina,sitarudia kutumia vipimo hv vidogoUlijipima mwenyewe?
Mimi pia Kuna kipindi nilijipima ikachora miwili aisee nilipigwa stress mpk nkawa nishazoea mi magonjwa.
Sasa nikaanza kuugua homa kwenda zahanati kupima hakuna ugonjwa lakini naumwa balaa.
Nikamwambia daktari nimepima nia HIV huenda ndio yenyewe.
Akanipima akasema huna HIV nenda acha stress utapona.
Kutoka pale nimepona...
Nashukuru kwenda pale hospitali sababu nilipata nesi mkali nikaanza kujipigia na vile nilikuwa mgeni ule mkoa mambo yakawa bambam.
Aisee sijipimi mwenyewe tena
Wengi Wala hawapati shida maana kwanza hawaoni vizuri sababu ya macho,Mzee wa miaka 65 hadi 70 akisoma hapa roho itamuuma....😅😅😅🤣🤣🤣🤣🤣
Sitasahsu siku ya kwanza kupima ngoma ni baada ya mtoto wa mzumbe kunambia next time tukionana nije na vya kupimia tujipime wote wakat huo nshauzaga baadhi ya mechi zikiwemo zake pia daah ikabd nkapime hospital one week before nijicheck kwanza daaaahh tumbo la kuhara lilidaka sukuiyo sababu ya hofu wakat nasubir majibu nilikuwa natia huruma mpaka nesi akauliza vipi kaka kuna sehem ulikanyaga pabovu nn??? Majibu kutoka yako poa daaaaahh sikuamin next week nimeenda kuonana na M wangu na vipimo vyangu full confidence tukajipima wote nkaendelea kupiga showFikiria pisi executive inataka kukupa kimasihara
Fikiria imekupa nafasi ya kuipa romance
Fikiria inakwambia ipo tayari kuliwa
Lakini kwa sharti la kupima kwanza ngoma
Kwa kweli ilibidi nijipe dharura kwa sababu ilikuwa ghafla sana. Mpaka mwaka unaisha ile pisi executive ilinipa tahadhari bila kupima nisigusie kabisa suala la sex.
Uzi huu sio muhimu unawapa taarifa tu.
[emoji3][emoji3][emoji3] wale madokta majibu yao tu huwa ni mabomu ya kutawanya uhai kabisa, yan unajikuta unajitukana kwa nn nilifanya ona sasa nimekwisha.Nimetoka kupima soon Dr ananiambia jiandae kupokea matokea ya aina mbili positive au negative na kama positive niende kituo cha afya cha serikali ili kupima tena moyoni nikasema sasa hii ni balaa na baada ya kupima majibu yakawa safi,saizi napiga bia kidogo kujipooza.
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Ongeza na homa ya ini (hepatit B)Waungwana, nauliza Kaswende(syphillis) na Kisonono(Gonorrhea) bado yapo?
Zilipitwa na wakati mbona.ha ha haaKwani kondomu ziliisha
Nyege ni mbaya sanaOmba Mungu nyege zisikutawale....
Iwe KE au ME...
Omba sana Mungu.
Kama vip na wewe uhame mkuuGenye ni mbaya sio utan mm nilikua na wasiwasi na jirani yangu mmoja kama anaumwa mana nlkua simuelew siku hio nikamla nkasema sisugui sana yan kuanzia siku ile had leo nmeshindwa hata kujipima najiprick ila dam siwek nkiweka basi siweki buffer
Kinachonivuruga zaidi yule jirani baada ya mwezi akahama
Sent from my SM-G960U1 using JamiiForums mobile app
Mwez huu ntafanya ivoKama vip na wewe uhame mkuu
Open up Mzee baba tujifunze.. it's a second time naskia hii statementHIV/AIDS is a mind game disease
ö to îNyege ni mbaya sana