Mwaka 2020 niliikosa pisi executive kutokana na kigezo cha kupima HIV

Mwaka 2020 niliikosa pisi executive kutokana na kigezo cha kupima HIV

Nimepima leo niko zangu hapa nina amani teleee
 
Ila nyie watu aisee,NYEGE mbaya sn yn...mm mara kibao naweza pewa gemu na manzi ile nikishaiona tu K hii hapa kanitengea nijipakulie,ht km nimekuja na boksi la condom najikuta tu nishazamia hila ht kuvaa hii kitu...Mungu aninusuru
Mimi ndio Sina nyota ya kutumia ndom kabisa...
Yaani nitajitahidi ntatumia bao la kwanza la pili nakuwa najiambia huyu hana ugonjwa...
Sasa siku moja nikaja kumcheki mtu nimepita peku nikamuone kama ana mapunye kwenye ngozi nikaanza kujisemea eehe tayari nimekufa.
Nikaanza kumfosi tukapime aisee tukakutwa ok dah nikawa nimenusurika.
Kufanya na kondomu sihisi chochote heri nisifanye kabisa sababu sitadumu nayo.
 
Ulijipima mwenyewe?
Mimi pia Kuna kipindi nilijipima ikachora miwili aisee nilipigwa stress mpk nkawa nishazoea mi magonjwa.
Sasa nikaanza kuugua homa kwenda zahanati kupima hakuna ugonjwa lakini naumwa balaa.
Nikamwambia daktari nimepima nia HIV huenda ndio yenyewe.
Akanipima akasema huna HIV nenda acha stress utapona.
Kutoka pale nimepona...
Nashukuru kwenda pale hospitali sababu nilipata nesi mkali nikaanza kujipigia na vile nilikuwa mgeni ule mkoa mambo yakawa bambam.
Aisee sijipimi mwenyewe tena
Hata Mimi nkpima nkakuta sina,sitarudia kutumia vipimo hv vidogo
 
Mzee wa miaka 65 hadi 70 akisoma hapa roho itamuuma....😅😅😅🤣🤣🤣🤣🤣
Wengi Wala hawapati shida maana kwanza hawaoni vizuri sababu ya macho,
Pili wanakaa nyumbani tu hawatembei,
Hawaendi beach,disco,dance,mahotelini ambako ki uhakika ukienda huko Kuna kila type za wasichana na wanawake wazuri mno.Na ukija ona nguo wanazovaa! Lol! Mtu unaweza honga gari ukarudi nyumbani kwa daladala.
Halafu ikatokea ukampata mmojawapo ukiingia nae chumbani Sasa wanawake wa siku hizi wanajua mambo hao!
Siku hizi hamna Cha mambo ya zamani eti kabila fulani hawajui mavituzz no.
Siku hizi wanachanganya mahaba ya dunia nzima,Arabic,european,Latino na African types of love making,hii Ni sababu ya utandawazi.
Utakuta mrembo mmoja let say Mchaga anaviuno huyo,Ana kiss kifaransa,analia kiarabu anakunyonya kimarekani,Ana style za kutiana za kilatino,analegeza macho kispaniola
na Wala hafanyi michezo isiyoruhusiwa.Kama una mke wa mwaka 47 mbona utamtelekeza!
Kasie dadangu tuna taabika sie nyie acheni tu.
 
Fikiria pisi executive inataka kukupa kimasihara

Fikiria imekupa nafasi ya kuipa romance

Fikiria inakwambia ipo tayari kuliwa

Lakini kwa sharti la kupima kwanza ngoma

Kwa kweli ilibidi nijipe dharura kwa sababu ilikuwa ghafla sana. Mpaka mwaka unaisha ile pisi executive ilinipa tahadhari bila kupima nisigusie kabisa suala la sex.

Uzi huu sio muhimu unawapa taarifa tu.
Sitasahsu siku ya kwanza kupima ngoma ni baada ya mtoto wa mzumbe kunambia next time tukionana nije na vya kupimia tujipime wote wakat huo nshauzaga baadhi ya mechi zikiwemo zake pia daah ikabd nkapime hospital one week before nijicheck kwanza daaaahh tumbo la kuhara lilidaka sukuiyo sababu ya hofu wakat nasubir majibu nilikuwa natia huruma mpaka nesi akauliza vipi kaka kuna sehem ulikanyaga pabovu nn??? Majibu kutoka yako poa daaaaahh sikuamin next week nimeenda kuonana na M wangu na vipimo vyangu full confidence tukajipima wote nkaendelea kupiga show
 
Nimetoka kupima soon Dr ananiambia jiandae kupokea matokea ya aina mbili positive au negative na kama positive niende kituo cha afya cha serikali ili kupima tena moyoni nikasema sasa hii ni balaa na baada ya kupima majibu yakawa safi,saizi napiga bia kidogo kujipooza.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Nimetoka kupima soon Dr ananiambia jiandae kupokea matokea ya aina mbili positive au negative na kama positive niende kituo cha afya cha serikali ili kupima tena moyoni nikasema sasa hii ni balaa na baada ya kupima majibu yakawa safi,saizi napiga bia kidogo kujipooza.

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
[emoji3][emoji3][emoji3] wale madokta majibu yao tu huwa ni mabomu ya kutawanya uhai kabisa, yan unajikuta unajitukana kwa nn nilifanya ona sasa nimekwisha.

Juzi kuna mmoja kaja hapa nikasema lete kidole, nikampima alipopewa majib yake akashukuru sana akasema hata hospital ilipaswa kuwa hivi sio unafika unatishwaaa wee mara ushauri nasaha kabla ya kupima wanafanya wat wanaogopa kupima

Sent using Jamii Forums mobile app
 
halafu humu watu wote wakipima wanakuja na negative. sionagi positive,waongo nyie
 
Genye ni mbaya sio utan mm nilikua na wasiwasi na jirani yangu mmoja kama anaumwa mana nlkua simuelew siku hio nikamla nkasema sisugui sana yan kuanzia siku ile had leo nmeshindwa hata kujipima najiprick ila dam siwek nkiweka basi siweki buffer

Kinachonivuruga zaidi yule jirani baada ya mwezi akahama

Sent from my SM-G960U1 using JamiiForums mobile app
 
Genye ni mbaya sio utan mm nilikua na wasiwasi na jirani yangu mmoja kama anaumwa mana nlkua simuelew siku hio nikamla nkasema sisugui sana yan kuanzia siku ile had leo nmeshindwa hata kujipima najiprick ila dam siwek nkiweka basi siweki buffer

Kinachonivuruga zaidi yule jirani baada ya mwezi akahama

Sent from my SM-G960U1 using JamiiForums mobile app
Kama vip na wewe uhame mkuu
 
Back
Top Bottom