Mwaka 2020 Tsh. 10,000 ilinunua Petroli lita 5.3, leo Oktoba unaondoka na Lita 3 tu za Mafuta kituoni

Mwaka 2020 Tsh. 10,000 ilinunua Petroli lita 5.3, leo Oktoba unaondoka na Lita 3 tu za Mafuta kituoni

Ni ushahidi tosha kwamba sasa kila mtu anazidi kuwa tajiri 'absolutely'..... japo inaweza 8siakisi utajiri 'relatively'.

Kutokana na kupanda kwa bei za vitu watu wanakuwa hawezi tena juwa na uwezo wa kuishi chini ya dola moja. Kwa hivyo watu wengi wanauvuka mstari wa utajiri wa kutupwa.

Ili kila mmoja apate hela nyingi za kununua bidhaa kwa bei kubwa itambidi kuliowa pia hela mingi matokeo yake kila mmoja anakuwa tajiri ukilinganisha na mtu wa aina hiyo miaka kumi ilopita. Ki absolute terms lakini sio relativelly nasisitiza.

Hata idadi ya wanaomiliki vyombo vinavyotumia mafuta wameongezeka sana, si magari si bodaboda. Demand ya petroli imepanda sanaaa, sasa tutategemeaje bei ibaki palepale!!!????
 
Wewe umeelewa hilo tangazo ?

Tanzania pete ni tsh 3100+.

Kwamba Zambia bei ni chini ya Tsh3100?
 
View attachment 3119922
Mwenendo wa Bei za Mafuta nchini kwa kipindi cha Miaka 10 (2014-2024 zinaonesha miaka ya 2015, 2016, 2017 na 2020 pekee ndio ilishuhudia Bei za chini za Mafuta nchini Tanzania kulinganisha na miaka mingine

Kwa mujibu wa takimu za EWURA, kwa kipindi cha miaka mitatu (2022, 2023, 2024) bei ya mafuta imebaki kuwa juu kuliko kipindi kingine ikitoka katika Wastani wa Tsh. 2,969 kwa lita hadi Tsh. 3,140 kwa Petroli

Aidha, Septemba 2020, Tsh. 10,000 ilikuwa na uwezo wa kununua Lita 5.3 za Petroli kwa Dar, wakati hadi Septemba 2024, kiasi hicho kinanunua Lita 3.1 za Petroli, Lita 3.3 za Dizeli na Lita 3.2 za Mafuta ya Taa.

Mwenendo wa Bei za Mafuta nchini Tanzania kwa Miaka 10

Mwaka | Petroli | Dizeli | Mafuta ya Taa
2014 - Tsh. 2,267 - Tsh. 2,091 - Tsh. 2,040
2015 - 2,153 - 1,832 - 1,770
2016 - 1,840 - 1,747 - 1,673
2017 - 1,989 1,887 1,811
2018 - 2,373 2,273 2,247
2019 - 2,236 2,168 2,132
2020 - 1,852 1,793 1,692
2021 - 2,427 2,251 2,176
2022 - 2,969 3,125 3,335
2023 - 3,213 3,259 2,943
2024 - 3,140 3,011 3,121

SOURCE: EWURA
Since jiwe amefariki,graph ya TZ Kwa hela za kigeni ni mbovu sana na nchi ikakopa vya kutosha iliashangingi yaongezeke hapa ndio price fluctuation ilipoanzia tunaingiza bizaa nyingi plus mikopo kuliko tunavyozalisha hapa ndio inaua uwezo waTShs,hujiulizi kwanini wamezuia dollar?,hii ingewatia aibu kwakua uchumi upo hovyo
 
Tule kwa urefu wa kamba jamani, usinunue pikipiki kama huwezi kuweka mafuta. Tembea tu kwa miguu au panda daladala
 
View attachment 3119922
Mwenendo wa Bei za Mafuta nchini kwa kipindi cha Miaka 10 (2014-2024 zinaonesha miaka ya 2015, 2016, 2017 na 2020 pekee ndio ilishuhudia Bei za chini za Mafuta nchini Tanzania kulinganisha na miaka mingine

Kwa mujibu wa takimu za EWURA, kwa kipindi cha miaka mitatu (2022, 2023, 2024) bei ya mafuta imebaki kuwa juu kuliko kipindi kingine ikitoka katika Wastani wa Tsh. 2,969 kwa lita hadi Tsh. 3,140 kwa Petroli

Aidha, Septemba 2020, Tsh. 10,000 ilikuwa na uwezo wa kununua Lita 5.3 za Petroli kwa Dar, wakati hadi Septemba 2024, kiasi hicho kinanunua Lita 3.1 za Petroli, Lita 3.3 za Dizeli na Lita 3.2 za Mafuta ya Taa.

Mwenendo wa Bei za Mafuta nchini Tanzania kwa Miaka 10

Mwaka | Petroli | Dizeli | Mafuta ya Taa
2014 - Tsh. 2,267 - Tsh. 2,091 - Tsh. 2,040
2015 - 2,153 - 1,832 - 1,770
2016 - 1,840 - 1,747 - 1,673
2017 - 1,989 1,887 1,811
2018 - 2,373 2,273 2,247
2019 - 2,236 2,168 2,132
2020 - 1,852 1,793 1,692
2021 - 2,427 2,251 2,176
2022 - 2,969 3,125 3,335
2023 - 3,213 3,259 2,943
2024 - 3,140 3,011 3,121

SOURCE: EWURA

Kuna mambo mengi yamebadilika. Mwaka 2020, kulikuwa na mtawala anaitwa JPM. Dola za Marekani zilikuwa sio tatizo wala hazikuwa sababu ya kuhisi kuna siku tutazitafuta kama enzi zile za uhujumu uchumi. Sijui nini kikatokea baadae...
Pili, Ukraine na Russia hawakuwa vitani. Israel na Hizbollah haikuwa that serious. Hizi vita zote zinatokea maeneo ambayo ni wazalishaji wakubwa wa mafuta. Inawezekana kabisa bei zikapanda sababu ya vita hizi.
Na la mwisho, ni ikiwezekana, lazima tuanze kutafuta jinsi ya kubadili utaratibu wa miahs. Haya mambo yataendelea kubadilika against us. Maana maisha wewe ukiwa serious kufanya mambo yamenyooka, boss wako hajari kabisa. Ana kuzoom tu
 
Watu wanaacha kutumia petroli, wapo kwenye Gas na Umeme, wewe bado umeng'ata tu?

Ng'atuka.
Inaweza kuwa anataka sana kuhamia huko ila ushuru wa kuingiza gari la umeme au la gesi, bei yake haikamatiki. Kodi bandarini zipo juu sana
 
Inaweza kuwa anataka sana kuhamia huko ila ushuru wa kuingiza gari la umeme au la gesi, bei yake haikamatiki. Kodi bandarini zipo juu sana
Siyo kweli, magari ya umeme ushuru upo chini kabisa. Hilo hilo alilona;lo anaweza kulibadili mfumo likawa la gas.

Kafanye homework yako vizuri.

Msiwe mnaongea vitu msivyovijuwa. Ni ujinga kujifanya unajuwa kumbe hujuwi. Ni heri muulize kwanza.

Kuuliza siyo ujinga.
 
View attachment 3119922
Mwenendo wa Bei za Mafuta nchini kwa kipindi cha Miaka 10 (2014-2024 zinaonesha miaka ya 2015, 2016, 2017 na 2020 pekee ndio ilishuhudia Bei za chini za Mafuta nchini Tanzania kulinganisha na miaka mingine

Kwa mujibu wa takimu za EWURA, kwa kipindi cha miaka mitatu (2022, 2023, 2024) bei ya mafuta imebaki kuwa juu kuliko kipindi kingine ikitoka katika Wastani wa Tsh. 2,969 kwa lita hadi Tsh. 3,140 kwa Petroli

Aidha, Septemba 2020, Tsh. 10,000 ilikuwa na uwezo wa kununua Lita 5.3 za Petroli kwa Dar, wakati hadi Septemba 2024, kiasi hicho kinanunua Lita 3.1 za Petroli, Lita 3.3 za Dizeli na Lita 3.2 za Mafuta ya Taa.

Mwenendo wa Bei za Mafuta nchini Tanzania kwa Miaka 10

Mwaka | Petroli | Dizeli | Mafuta ya Taa
2014 - Tsh. 2,267 - Tsh. 2,091 - Tsh. 2,040
2015 - 2,153 - 1,832 - 1,770
2016 - 1,840 - 1,747 - 1,673
2017 - 1,989 1,887 1,811
2018 - 2,373 2,273 2,247
2019 - 2,236 2,168 2,132
2020 - 1,852 1,793 1,692
2021 - 2,427 2,251 2,176
2022 - 2,969 3,125 3,335
2023 - 3,213 3,259 2,943
2024 - 3,140 3,011 3,121

SOURCE: EWURA
Mtanikumbuka by mwendazake
 
View attachment 3119922
Mwenendo wa Bei za Mafuta nchini kwa kipindi cha Miaka 10 (2014-2024 zinaonesha miaka ya 2015, 2016, 2017 na 2020 pekee ndio ilishuhudia Bei za chini za Mafuta nchini Tanzania kulinganisha na miaka mingine

Kwa mujibu wa takimu za EWURA, kwa kipindi cha miaka mitatu (2022, 2023, 2024) bei ya mafuta imebaki kuwa juu kuliko kipindi kingine ikitoka katika Wastani wa Tsh. 2,969 kwa lita hadi Tsh. 3,140 kwa Petroli

Aidha, Septemba 2020, Tsh. 10,000 ilikuwa na uwezo wa kununua Lita 5.3 za Petroli kwa Dar, wakati hadi Septemba 2024, kiasi hicho kinanunua Lita 3.1 za Petroli, Lita 3.3 za Dizeli na Lita 3.2 za Mafuta ya Taa.

Mwenendo wa Bei za Mafuta nchini Tanzania kwa Miaka 10

Mwaka | Petroli | Dizeli | Mafuta ya Taa
2014 - Tsh. 2,267 - Tsh. 2,091 - Tsh. 2,040
2015 - 2,153 - 1,832 - 1,770
2016 - 1,840 - 1,747 - 1,673
2017 - 1,989 1,887 1,811
2018 - 2,373 2,273 2,247
2019 - 2,236 2,168 2,132
2020 - 1,852 1,793 1,692
2021 - 2,427 2,251 2,176
2022 - 2,969 3,125 3,335
2023 - 3,213 3,259 2,943
2024 - 3,140 3,011 3,121

SOURCE: EWURA
Angalau leo diesel lita 5 kwa 15,000.
 
Hilo hilo alilona;lo anaweza kulibadili mfumo likawa la gas.

Kafanye homework yako vizuri.
Sawa mrembo, unaweza kubadili gari litumie gesi.

Utakaposafiri nalo kwa dharura kwenda kwa wazazi wako Ujiji au kwa wakwe zako Tarime, utajazia hiyo gesi wapi?
Miundombinu ipo?
 
Mnaongozwa na huyo mvaa vijora mnategemea nn
 
Ma
View attachment 3119922
Mwenendo wa Bei za Mafuta nchini kwa kipindi cha Miaka 10 (2014-2024 zinaonesha miaka ya 2015, 2016, 2017 na 2020 pekee ndio ilishuhudia Bei za chini za Mafuta nchini Tanzania kulinganisha na miaka mingine

Kwa mujibu wa takimu za EWURA, kwa kipindi cha miaka mitatu (2022, 2023, 2024) bei ya mafuta imebaki kuwa juu kuliko kipindi kingine ikitoka katika Wastani wa Tsh. 2,969 kwa lita hadi Tsh. 3,140 kwa Petroli

Aidha, Septemba 2020, Tsh. 10,000 ilikuwa na uwezo wa kununua Lita 5.3 za Petroli kwa Dar, wakati hadi Septemba 2024, kiasi hicho kinanunua Lita 3.1 za Petroli, Lita 3.3 za Dizeli na Lita 3.2 za Mafuta ya Taa.

Mwenendo wa Bei za Mafuta nchini Tanzania kwa Miaka 10

Mwaka | Petroli | Dizeli | Mafuta ya Taa
2014 - Tsh. 2,267 - Tsh. 2,091 - Tsh. 2,040
2015 - 2,153 - 1,832 - 1,770
2016 - 1,840 - 1,747 - 1,673
2017 - 1,989 1,887 1,811
2018 - 2,373 2,273 2,247
2019 - 2,236 2,168 2,132
2020 - 1,852 1,793 1,692
2021 - 2,427 2,251 2,176
2022 - 2,969 3,125 3,335
2023 - 3,213 3,259 2,943
2024 - 3,140 3,011 3,121

SOURCE: EWURA
Magu aliwezaje Hawa wanashindwa?
 
Back
Top Bottom