Mwaka 2022 unaelekea mwisho, Malengo yako yalikuwa yapi? Umetekeleza nini? Changamoto? Let's share experience!

Mwaka 2022 unaelekea mwisho, Malengo yako yalikuwa yapi? Umetekeleza nini? Changamoto? Let's share experience!

amshapopo

JF-Expert Member
Joined
Sep 7, 2014
Posts
1,834
Reaction score
4,161
Habari wakuu.

Binafsi mwaka huu niliwekea Malengo makuu matatu.

1. Kuhama nyumba ya kupanga na kuhamia kwangu (Nyumba ilikuwa hatua za mwisho yaani finishing) mungu amesaidia nimetekeleza.
2. Kuwa na eneo la ziada (plot) ambayo itakuwa kama asset ya baadaye. Nimetekeleza.
3.Kuwa na mtaji wa kuanzia 5ml Ili nije kufanya biashara ya ufuta mwakani (Hapa nimefanikiwa kukusanya 2+ml ambayo nimeihifadhi UTT AMIS - Ukwasi Ili now niweze kukuza mtaji.

NJIA ZILIZO FANIKISHA
1. Mimi ni mwajiriwa kampuni binafsi ya kahawa ipo Mbeya mshahara ni 762800 as Take home. Nasevu kila mwezi laki 3 yaani liwe jua au inyeshe mvua.

2. Nimefuga kuku wa kienyeji na nguruwe kiasi ambao kwa haraka wamenipatia faida ya almost 700,000 mpaka sasa.

3. Nalima mashamba ya kukodi ambapo nililima Maharage na viazi ambapo vimenipatia kipato cha 1,160,000 ukitoa mtaji niliotumia.

4. Allowances mbalimbali kazini.

CHANGAMOTO
Boss amekuwa taiti sana kwenye kazi yake hivyo kukosa mda wa ziada kusimamia baadhi ya miradi niliyoitaja.
2. Majungu, fitna na wivu kutoka kwa wafanyakazi wenzangu. Wanapeleka majungu kwa boss Ili waniaribie kisa viatua vicache nilivyopiga. Ila ni kawaida kwa sisi waswahili.

Mwisho naendelea kupambana kwa miezi iliyosalia ili nikamilishe palipobakia.
 
Habari wakuu.

Binafsi mwaka huu niliwekea Malengo makuu matatu.

1. Kuhama nyumba ya kupanga na kuhamia kwangu (Nyumba ilikuwa hatua za mwisho yaani finishing) mungu amesaidia nimetekeleza.
2. Kuwa na eneo la ziada (plot) ambayo itakuwa kama asset ya baadaye. Nimetekeleza.
3.Kuwa na mtaji wa kuanzia 5ml Ili nije kufanya biashara ya ufuta mwakani (Hapa nimefanikiwa kukusanya 2+ml ambayo nimeihifadhi UTT AMIS - Ukwasi Ili now niweze kukuza mtaji.

NJIA ZILIZO FANIKISHA
1. Mimi ni mwajiriwa kampuni binafsi ya kahawa ipo Mbeya mshahara ni 762800 as Take home. Nasevu kila mwezi laki 3 yaani liwe jua au inyeshe mvua.

2. Nimefuga kuku wa kienyeji na nguruwe kiasi ambao kwa haraka wamenipatia faida ya almost 700,000 mpaka sasa.

3. Nalima mashamba ya kukodi ambapo nililima Maharage na viazi ambapo vimenipatia kipato cha 1,160,000 ukitoa mtaji niliotumia.

4. Allowances mbalimbali kazini.

CHANGAMOTO
Boss amekuwa taiti sana kwenye kazi yake hivyo kukosa mda wa ziada kusimamia baadhi ya miradi niliyoitaja.
2. Majungu, fitna na wivu kutoka kwa wafanyakazi wenzangu. Wanapeleka majungu kwa boss Ili waniaribie kisa viatua vicache nilivyopiga. Ila ni kawaida kwa sisi waswahili.

Mwisho naendelea kupambana kwa miezi iliyosalia ili nikamilishe palipobakia.
Amsha popo ba mdogo
 
Habari wakuu.

Binafsi mwaka huu niliwekea Malengo makuu matatu.

1. Kuhama nyumba ya kupanga na kuhamia kwangu (Nyumba ilikuwa hatua za mwisho yaani finishing) mungu amesaidia nimetekeleza.
2. Kuwa na eneo la ziada (plot) ambayo itakuwa kama asset ya baadaye. Nimetekeleza.
3.Kuwa na mtaji wa kuanzia 5ml Ili nije kufanya biashara ya ufuta mwakani (Hapa nimefanikiwa kukusanya 2+ml ambayo nimeihifadhi UTT AMIS - Ukwasi Ili now niweze kukuza mtaji.

NJIA ZILIZO FANIKISHA
1. Mimi ni mwajiriwa kampuni binafsi ya kahawa ipo Mbeya mshahara ni 762800 as Take home. Nasevu kila mwezi laki 3 yaani liwe jua au inyeshe mvua.

2. Nimefuga kuku wa kienyeji na nguruwe kiasi ambao kwa haraka wamenipatia faida ya almost 700,000 mpaka sasa.

3. Nalima mashamba ya kukodi ambapo nililima Maharage na viazi ambapo vimenipatia kipato cha 1,160,000 ukitoa mtaji niliotumia.

4. Allowances mbalimbali kazini.

CHANGAMOTO
Boss amekuwa taiti sana kwenye kazi yake hivyo kukosa mda wa ziada kusimamia baadhi ya miradi niliyoitaja.
2. Majungu, fitna na wivu kutoka kwa wafanyakazi wenzangu. Wanapeleka majungu kwa boss Ili waniaribie kisa viatua vicache nilivyopiga. Ila ni kawaida kwa sisi waswahili.

Mwisho naendelea kupambana kwa miezi iliyosalia ili nikamilishe palipobakia.
Mimi ni mwajiriwa serikalini.nilipanga Mwaka huu nihamie kwangu kutoka nyumba ya kaka.Nilijenga nyumba bado kupaua.

CHANGAMOTO.

Mwezi wa Aprili Mwaka huu bosi alinichongea Kwa mwajiri Wangu jambo zito.

Nilipoongezwa mshahara mwezi wa saba nilipanga nikope kumalizia nyumba yangu lkn mpaka Leo nimekataliwa kukopa mpaka Kesi iishe.Kesi ina mwezi wa saba sasa haijaamuliwa.Jambo hili linanipa hisia Kali ya kuachana na kazi bora nikalime
 
Mwigulu_Nchemba-1.jpg
Asante kwa kuharibu na kuvunja mipango yangu ya 2022.
 
Mwaka Huu kwangu ilikuwa Bora liende, miiaka yote nimeweka malengo sikutimiza
 
Mimi ni mwajiriwa serikalini.nilipanga Mwaka huu nihamie kwangu kutoka nyumba ya kaka.Nilijenga nyumba bado kupaua.

CHANGAMOTO.

Mwezi wa Aprili Mwaka huu bosi alinichongea Kwa mwajiri Wangu jambo zito.

Nilipoongezwa mshahara mwezi wa saba nilipanga nikope kumalizia nyumba yangu lkn mpaka Leo nimekataliwa kukopa mpaka Kesi iishe.Kesi ina mwezi wa saba sasa haijaamuliwa.Jambo hili linanipa hisia Kali ya kuachana na kazi bora nikalime
Pole mkuu, ndo maisha ya kibongo tunaoneana wivu kwa vitu vidogo vidogo
Duh! Huu mwaka i think kikubwa nmefanikiwa kurudi church baada ya kupotea kama miaka 10 hivi. Napata amani ya moyo.
Tofaut na hapo ni basic needs tu.
One day yes
Hongera mkuu, ni mafanikio makubwa zaidi ya vitu vya duniani
 
Kuingiza 40mil faida
Sijui itatimia maana imebaki miezi 2 pekee au siku 73
 
Back
Top Bottom