amshapopo
JF-Expert Member
- Sep 7, 2014
- 1,834
- 4,161
Habari wakuu.
Binafsi mwaka huu niliwekea Malengo makuu matatu.
1. Kuhama nyumba ya kupanga na kuhamia kwangu (Nyumba ilikuwa hatua za mwisho yaani finishing) mungu amesaidia nimetekeleza.
2. Kuwa na eneo la ziada (plot) ambayo itakuwa kama asset ya baadaye. Nimetekeleza.
3.Kuwa na mtaji wa kuanzia 5ml Ili nije kufanya biashara ya ufuta mwakani (Hapa nimefanikiwa kukusanya 2+ml ambayo nimeihifadhi UTT AMIS - Ukwasi Ili now niweze kukuza mtaji.
NJIA ZILIZO FANIKISHA
1. Mimi ni mwajiriwa kampuni binafsi ya kahawa ipo Mbeya mshahara ni 762800 as Take home. Nasevu kila mwezi laki 3 yaani liwe jua au inyeshe mvua.
2. Nimefuga kuku wa kienyeji na nguruwe kiasi ambao kwa haraka wamenipatia faida ya almost 700,000 mpaka sasa.
3. Nalima mashamba ya kukodi ambapo nililima Maharage na viazi ambapo vimenipatia kipato cha 1,160,000 ukitoa mtaji niliotumia.
4. Allowances mbalimbali kazini.
CHANGAMOTO
Boss amekuwa taiti sana kwenye kazi yake hivyo kukosa mda wa ziada kusimamia baadhi ya miradi niliyoitaja.
2. Majungu, fitna na wivu kutoka kwa wafanyakazi wenzangu. Wanapeleka majungu kwa boss Ili waniaribie kisa viatua vicache nilivyopiga. Ila ni kawaida kwa sisi waswahili.
Mwisho naendelea kupambana kwa miezi iliyosalia ili nikamilishe palipobakia.
Binafsi mwaka huu niliwekea Malengo makuu matatu.
1. Kuhama nyumba ya kupanga na kuhamia kwangu (Nyumba ilikuwa hatua za mwisho yaani finishing) mungu amesaidia nimetekeleza.
2. Kuwa na eneo la ziada (plot) ambayo itakuwa kama asset ya baadaye. Nimetekeleza.
3.Kuwa na mtaji wa kuanzia 5ml Ili nije kufanya biashara ya ufuta mwakani (Hapa nimefanikiwa kukusanya 2+ml ambayo nimeihifadhi UTT AMIS - Ukwasi Ili now niweze kukuza mtaji.
NJIA ZILIZO FANIKISHA
1. Mimi ni mwajiriwa kampuni binafsi ya kahawa ipo Mbeya mshahara ni 762800 as Take home. Nasevu kila mwezi laki 3 yaani liwe jua au inyeshe mvua.
2. Nimefuga kuku wa kienyeji na nguruwe kiasi ambao kwa haraka wamenipatia faida ya almost 700,000 mpaka sasa.
3. Nalima mashamba ya kukodi ambapo nililima Maharage na viazi ambapo vimenipatia kipato cha 1,160,000 ukitoa mtaji niliotumia.
4. Allowances mbalimbali kazini.
CHANGAMOTO
Boss amekuwa taiti sana kwenye kazi yake hivyo kukosa mda wa ziada kusimamia baadhi ya miradi niliyoitaja.
2. Majungu, fitna na wivu kutoka kwa wafanyakazi wenzangu. Wanapeleka majungu kwa boss Ili waniaribie kisa viatua vicache nilivyopiga. Ila ni kawaida kwa sisi waswahili.
Mwisho naendelea kupambana kwa miezi iliyosalia ili nikamilishe palipobakia.