⅓x100=33.333@%.Utafiti,
Kwa mwaka ulioisha timu ya Simba ndiyo timu iliyoongoza Kwa kupata ushindi kupitia magoli ya penalty kwenye michuano ya ndani na nje.
Kwenye Kila magoli 3 ya Simba Kuna goli Moja la penalty hivyo hiki ni kiwango kikubwa Kwa timu kinachoweza kuiua timu au kujenga.
Madhara yake
Hii inaweza kufanya timu iwe dormant (kudumaa) since inamtegea mwamuzi kupata matokeo.
Ubora
Hii pia inaonyesha wachezaji wa Simba ni mabingwa wa kupiga penalty lakini pia ni opportunistic (kutafuta penalty either Kwa kujiangusha)
Kwa swali, maoni, mapendekezo unakaribishwa.
Utafiti huu umeandaliwa na chambuzi la JF ... LABAN og
Hii ndo madhara ya kuwekwa kijumbaUngemalizia kwa kusema, matukio ya mechi nyingi za Simba yamekua yaki wadhalilisha marefa wengi na kuchangia kwa kiasi kikubwa marefa wetu kuto teuliwa kuchezesha michuano mikubwa.
Capo umerudi na user name ingine?Onesha namna hiyo 80% ulivyoipata.
Pia penalty ni adhabu inayotolewa kutokana na kumnyima fursa mshambuliaji kwa njia isiyo sahihi.
Mpira mnapenda kuuongelea kila siku ila hamuujui. Kelele nyingi, katafute pesa ule hata mihogo kaka.
Sawa mkuu....Onesha namna hiyo 80% ulivyoipata.
Pia penalty ni adhabu inayotolewa kutokana na kumnyima fursa mshambuliaji kwa njia isiyo sahihi.
Mpira mnapenda kuuongelea kila siku ila hamuujui. Kelele nyingi, katafute pesa ule hata mihogo kaka.
Wewe mwenyewe umetuwekea takwimu kwamba Kila goli 3 alizofunga 1 lilikuwa la penati. Na heading inasema 80% ya magoli ya Simba yametokana na penati.Simba kacheza mechi ngapi
Kafunga goal ngapi za penalty
Anyway sijasoma chuo Cha voice college Cha bwana genta [emoji23][emoji23]
Unaijua jumla ya magoli yote ya kolo fc... kwenye michuano yote mwaka 2023We kweli utopolo, 80% imetoka wapi kama kila magoli 3 moja ni penat? 1/3 *100=33.3%.Utopolo ni hivi asilimia ya magoli ya penat ni hiyo hiyo 33.3 hata kama simba wamefunga magoli 1000 mpaka ubadili "kila magoli 3 moja ni penat", Hapo ndio tunajua huko mmejaa vilaza kama alivyosema Manara.
Ndugu mchambuzi umeyakanyaga hadi unataka kuikimbia hoja uliyoianzsisha.Unaijua jumla ya magoli yote ya kolo fc..
We pumbavu kweli, heading inasema 80% ni penati halafu ndani unasema kwenye kila magoli 3 moja penati sasa inakuwaje 80% penati?Utafiti,
Kwa mwaka ulioisha timu ya Simba ndiyo timu iliyoongoza Kwa kupata ushindi kupitia magoli ya penalty kwenye michuano ya ndani na nje.
Kwenye Kila magoli 3 ya Simba Kuna goli Moja la penalty hivyo hiki ni kiwango kikubwa Kwa timu kinachoweza kuiua timu au kujenga.
Madhara yake
Hii inaweza kufanya timu iwe dormant (kudumaa) since inamtegea mwamuzi kupata matokeo.
Ubora
Hii pia inaonyesha wachezaji wa Simba ni mabingwa wa kupiga penalty lakini pia ni opportunistic (kutafuta penalty either Kwa kujiangusha)
Kwa swali, maoni, mapendekezo unakaribishwa.
Utafiti huu umeandaliwa na chambuzi la JF ... LABAN og