Uto iko hivi ulivyosema tu kila goli 3 goli moja ni penat, % ya magoli ya penat itakuwa ni 33.33% bila kujali jumla ya magoli yaliyofungwa.Unaijua jumla ya magoli yote ya kolo fc... kwenye michuano yote mwaka 2023
Hapana mkuu....Mimi ni pcm purely.... hesabu ndo talanta yanguNdugu mchambuzi umeyakanyaga hadi unataka kuikimbia hoja uliyoianzsisha.
Umeleta % ulizozikokotoa kwa akili yako ya kichura chura huku ukiwa hujui kukokotoa hesabu.
Chura banah[emoji16][emoji16]
Degree ya chuo Gani Mzee .....au voice college [emoji23]Uto iko hivi ulivyosema tu kila goli 3 goli moja ni penat, % ya magoli ya penat itakuwa ni 33.33% bila kujali jumla ya magoli yaliyofungwa.
Ngoja nikupe shule naona kwako hesabu changamoto.
Mfano : (1) jumla ya magoli yaliyofungwa ni 40. Magoli ya penati itakuwa 40/3=13.33
(13.33/40)*100=33.33%
(2) magoli yaliyofungwa ikiwa ni 200, magoli ya penati itakuwa 200/3=66.67 (66.67/200)*100=33.33%
Umeelewa hapo uto.
Sio uwezo mdogo wa kufikiria unakufanya uandike ujingaUwezo mdogo wa kufikiria....husababisha watu kuwa na matusi [emoji23][emoji23]
Naiona Yanga ikichukua ubingwa wa ligi ikiwa bado mechi 15 mkononiUtafiti,
Kwa mwaka ulioisha timu ya Simba ndiyo timu iliyoongoza Kwa kupata ushindi kupitia magoli ya penalty kwenye michuano ya ndani na nje.
Kwenye Kila magoli 3 ya Simba Kuna goli Moja la penalty hivyo hiki ni kiwango kikubwa Kwa timu kinachoweza kuiua timu au kujenga.
Madhara yake
Hii inaweza kufanya timu iwe dormant (kudumaa) since inamtegea mwamuzi kupata matokeo.
Ubora
Hii pia inaonyesha wachezaji wa Simba ni mabingwa wa kupiga penalty lakini pia ni opportunistic (kutafuta penalty either Kwa kujiangusha)
Kwa swali, maoni, mapendekezo unakaribishwa.
Utafiti huu umeandaliwa na chambuzi la JF ... LABAN og
Pcm pure usiyejua kufanya calculation ππHapana mkuu....Mimi ni pcm purely.... hesabu ndo talanta yangu
Sio kosa kuwa kilaza kwenye hesabu hauko peke yako. Halafu hilo swali halihitaji degree , leta swali level ya degree ili ujue degree yangu imetoka wapi.Degree ya chuo Gani Mzee .....au voice college [emoji23]
Basi nimeelewa kwa nini huwa una post ujinga ujinga ππKama nidingelogwa kwenye Pepa .....ningekuwa T.O ( Tanzania one)
Yanga kuna watu waongo waongo!!Basi nimeelewa kwa nini huwa una post ujinga ujinga ππ
Ugua pole
Sana tu πYanga kuna watu waongo waongo!!
Mkuu una uhakika kwa hii issue hautatutukanisha wananchi?Kwenye Kila magoli 3 ya Simba Kuna goli Moja la penalty
Tayari kauanika utopolo wenu hadharani na kuthibitisha kauli ya Haji kwamba Yanga wenye akili ni wawili tu...Mkuu una uhakika kwa hii issue hautatutukanisha wananchi?