Mwaka 2023 nitafia shambani, eeh Mungu nisaidie!


Safi mkuu hakuna kukata tamaa [emoji1531]
 
kwakweli mwaka huu tutafia shambani kwa stress
 
Mdau VP mapambano yanaendeleaje, nlvyoona hii post niliamua kukimbilia shamba kuunga mkono vision Yako, nko napambana but nzuri nlko mvua uhakika tofauti na Amikoa mingne mvua zmekuwa haba! Tupo tunamalzia kujipatia maeneo makubwa yakiwa ktk Hali ya mapor Tena kw bei ndogo! Krbn sponges
 
Umeamua jambo jema sana.
Tafadhali sana.
Tafadhali sana.
Tafadhali sana zingatia haya.
1.Teua/chagua kwa makini sana zao/mazao utakayolima
-soko
-gharama za uzalishaji
-maarifa/utaalamu wa uzalishajj.
-changamito na utakavyozikabili.
Mfano:
*wanyama na ndege waharibifu.
*wizi (kupata usalama wa vifaa, mali na mazao.)
*usafiri na usafirishaji.
*upatikanaji wa wasaidizi (wataalamu na vibarua).
2. Mtaji wako
3. Kuwa na.muda wa usimamizi/ufuatiliaji.

Mungu akujalie na.akubariki.katika kazi hii tukufu.
 

Wapi huko mkuu
 
Huku kanda ya kati kilimo cha alizet msimu ujao kitakufa, bei ya mafuta imeporomoka vibaya SIRIKALI imeruhusu mabwanyenye kuingiza mafuta mbadala kutoka nje ya nchi.
Mama ameshindwa kulinda viwanda vidogo vidogo vya ndani, sad!!!.
Yaani kulinda viwanda vya ndani ndiyo mtuuzie Lita 5 ya alizeti sh elfu 40? That was too much
 
Kwa hiyo umemaliza? Huna mahindi yalobaki?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…