Mwaka 2023, wakenya milioni 12 walisafiri kwa ndege ilhali watanzania milioni 3.8. Je, sisi watanzania shida ni umaskini au tunaogopa kusafiri?

Hili ndio jibu umaskini umezidi si ajabu hata Boss wa TRA alikuwa anashangaa Nchi ya watu 65mln wenye Tin namba na kulipa Kodi hawazisi mil.2
Sasa kwa nini nyie CCM huwa mkiambiwa umaskini bado mkubwa sana nchini mnakuwa wakali kama pilipili kichaa??
 
Watanzania wanasafiri kwa ndege wakienda wapi??
Tanzania ni nchi ya kipumbavu sana! Ukiomba passport wanataka ulete barua ya mwaliko au kama ni chuo uwape admission letter! Passport ni haki ya kikatiba ya kila Raia! Anakwenda wapi ni juu yake ila maccm ni mapumbavu mpaka yanaingilia taasisi kama uhamiaji hivyo watz wanakuwa washamba kusafiri! Shwaini wakubwa sana!
 
Wasanii wa Tanzania walioenda Korea kwa kina Jumong nauli ya ndege walilipiwa, sasa hizo kazi za hapa bongo zinawasaidiaje kama hata msanii inabidi aombe kulipiwa nauli ya ndege kwa kodi za raia?! Umaskini mtupu.
 
Huwa nashangaa sana, passport yenyewe unailipia pesa nyingi tu sana ila madoido na urasimu kibao pamoja kucheleweshana tu.
 
Ile ndoto ya maisha bora kwa kila Mtanzania ni kanyaboya tu litumiwalo na CCM.Sasa,hebu fikiria,mleta uzi na yeye anatuuliza kwa nini Watanzania hawapandi ndege kwa wingi kama Wakenya!Yaani hajui kabisa!Holy Moly!Holy mackerel!
Mmojwapo aliyekuwa kwenye timu ya ile ndoto ya maisha bora kwa kila Mtanzania na mwanahisa wa fastjest Lau Masha ameonekana hivi karibuni huko Buza akiombewa na nabii kiboko ya wachawi! Kalaghabo.
 
Na hao 3.8 M ni Wanaccm tu na chawa. Baasi.
 
Mmojwapo aliyekuwa kwenye timu ya ile ndoto ya maisha bora kwa kila Mtanzania na mwanahisa wa fastjest Lau Masha ameonekana hivi karibuni huko Buza akiombewa na nabii kiboko ya wachawi! Kalaghabo.
Unaweza ukacheka lakini ni mapito magumu kwake na haipaswi kucheka zaidi ya kujitafakari tu.Kuna kitu hakijakaa vizuri kwa ndugu huyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…