Kwa Mujibu wa takwimu za usafiri zilizotolewa na mamlaka ya anga ya Nchi zote ,inaonesha WaKenya wakitumia usafiri wa ndege mara 3 zaidi ya Watanzania ambapo takribani watu Milioni 12.3 Walisafiri Kwa Ndege huko Kenya wakowemo wageni zaidi ya mil.5 na raia zaidi ya mil. 6.
View attachment 3050756
Kwa upande wa Tanzania ,mwaka huo huo takribani watu Mil.3.8 wakitumia usafiri wa ndege ambapo kati ya hao zaidi ya mil.2 ni wageni na raia ni chini ya mil.2.
Kwa takwimu hizi ,hivi ni kwamba Watanzania sisi ni maskini kiasi hicho au Kuna sababu zingine zinazofanya hatusafi Kwa Ndege?
Unaweza Kuta 90% ya Watanzania hawajawahi kuona tiketi ya ndege.Naomba kuwasilishwa 👇👇
View: https://www.instagram.com/p/C9wu0Z2ou6d/?igsh=OHgzcnVyZXZjcmFk