Mwaka 2023, wakenya milioni 12 walisafiri kwa ndege ilhali watanzania milioni 3.8. Je, sisi watanzania shida ni umaskini au tunaogopa kusafiri?

Mwaka 2023, wakenya milioni 12 walisafiri kwa ndege ilhali watanzania milioni 3.8. Je, sisi watanzania shida ni umaskini au tunaogopa kusafiri?

Mada ni Kenya vs Tanznaia.Wana miundombinu ya Barabara mizuri kuliko sisi lakini wanatumia sana usafiri wa ndege ndani ya Nchi.

Kwa nini sisi Watanzania tunaona ndege ni anasa au hatuna pesa?
Ungepost kwenye page yako na mumeo kama hutaki maoni mchanganyiko. Pumbav
 
Kwa mujibu wa takwimu za usafiri zilizotolewa na mamlaka ya anga ya Nchi zote inaonesha wakenya wakitumia usafiri wa ndege mara 3 zaidi ya Watanzania ambapo takribani watu Milioni 12.3 walisafiri kwa Ndege huko Kenya wakiwemo wageni zaidi ya mil. 5 na raia zaidi ya mil. 6.


Kwa upande wa Tanzania ,mwaka huo huo takribani watu Mil.3.8 wakitumia usafiri wa ndege ambapo kati ya hao zaidi ya mil.2 ni wageni na raia ni chini ya mil.2.

Kwa takwimu hizi ,hivi ni kwamba Watanzania sisi ni maskini kiasi hicho au Kuna sababu zingine zinazofanya hatusafi Kwa Ndege?

Unaweza Kuta 90% ya Watanzania hawajawahi kuona tiketi ya ndege. Naomba kuwasilisha 👇👇

umaskini na exposure.
 
Kwa mujibu wa takwimu za usafiri zilizotolewa na mamlaka ya anga ya Nchi zote inaonesha wakenya wakitumia usafiri wa ndege mara 3 zaidi ya Watanzania ambapo takribani watu Milioni 12.3 walisafiri kwa Ndege huko Kenya wakiwemo wageni zaidi ya mil. 5 na raia zaidi ya mil. 6.


Kwa upande wa Tanzania ,mwaka huo huo takribani watu Mil.3.8 wakitumia usafiri wa ndege ambapo kati ya hao zaidi ya mil.2 ni wageni na raia ni chini ya mil.2.

Kwa takwimu hizi ,hivi ni kwamba Watanzania sisi ni maskini kiasi hicho au Kuna sababu zingine zinazofanya hatusafi Kwa Ndege?

Unaweza Kuta 90% ya Watanzania hawajawahi kuona tiketi ya ndege. Naomba kuwasilisha [emoji116][emoji116]

Sio umasikini ushawahi kufanya application za passport pale uhamiaji mwarabu na muhindi anapewa passport ndani ya siku moja ila mtanzania kupata passport ngoja niishie hapo.
 
Kuna imani tumejiwekea kwamba ndege wanapanda wenye nazo haswa..!!! Mtu analinganisha Tshs. laki tano na ushee ya return ticket Dar Mwanza Dar,na kupata basi. Hatunaga utaratibu wa kugeuza shida za kupanda basi kuwa pesa ili tulinganishe na nauli ya ndege
Unaujua mshahara au kipato cha kawaida cha Mtanzania?
 
Sio umasikini ushawahi kufanya application za passport pale uhamiaji mwarabu na muhindi anapewa passport ndani ya siku moja ila mtanzania kupata passport ngoja niishie hapo.
Domestic travel Je?
 
Wazee wake Mohamed Said na FaizaFoxy wa huko Kariakoo wataongoza katika hili.
katika hao Watanzania million 3 wanaopanda ndege, utakuta 90% wa Kariakoo.

Kariakoo ndiyo chimbuko la kila kitu Tanzania hii.

Nimeanza kupanda ndege mwaka 1974, East African Airways. Na dege lao lilikuwa VC 10.

Bibi yako sana sana aturingishie kwa kupanda fisi tu.
 
Nani kakwambia kusafiri na ndege ni ghali kiasi hicho? One way ni nauli ya basi mara 2 ,
Hata kama ingekuwa kweli nauli ya ndege ni sawa na nauli ya basi mara mbili tu, wewe unaiona hiyo ni pesa ndogo kwa middle class wa bongo??
Yani nauli ya bus kutoka kwenu Mbeya kwenda Dar na kurudi ni 120,000 halafu Mtanzania wa kipato cha kati ajipeleke kwenye 240,000 ambayo ni sawa na robo ya mshahara wake??
 
Sisi wengine usafiri wetu mkubwa ni "ungo"
Sijui watatuweka kwenye kundi gani?
 
Hata kama ingekuwa kweli nauli ya ndege ni sawa na nauli ya basi mara mbili tu, wewe unaiona hiyo ni pesa ndogo kwa middle class wa bongo??
Yani nauli ya bus kutoka kwenu Mbeya kwenda Dar na kurudi ni 120,000 halafu Mtanzania wa kipato cha kati ajipeleke kwenye 240,000 ambayo ni sawa na robo ya mshahara wake??
Yani watu sijui wanachukuliaje
 
Back
Top Bottom