Tembosa
JF-Expert Member
- Nov 11, 2013
- 4,487
- 3,978
Pole sana Mkuu2024 nimefilisika…
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pole sana Mkuu2024 nimefilisika…
Hii inashangaza kidogoNashukuru mwaka 2024 nimemnunua mtu Kwa bei poa sanaa
Serikali Haina fedha ila imenunulia CCM🌟 Wadau, tujadili! 🌟
Mwaka 2024 unakaribia kufika mwisho, na bila shaka kila mmoja wetu ana kumbukumbu ambazo zimeacha alama isiyofutika.
Je, ni tukio gani kubwa, la kusisimua, au la kuumiza ambalo limekuacha na hisia ambazo hautaweza kusahau?
It's imagination,hakuna kitu kinachoitwa mwaka mpya,ni fikra na mapokeo yetu wanadamMnakuza sana mambo siku ni zile zile tu haya mambo ya Mwaka mpya ni vitu vya kitoto sana.
🫣🫣🫣🫣🫣🫣🫣🫣Unapambana mtu kumjengea nyumba huku akikulalamikia kwanini hukutumia hela ulizonunua sement kumnunulia nguo.
Nilifukuzwa na ndugu yangu kwake nikiwa najitafuta,nikaenda kwa mwana,nae akanichoka,nikaenda kwa mwana mwingine,nikawa nafyatua na kubeba tofali,usiombe hii kazi,ila mwisho wa mwaka huu pana mwanga,nimepanga apartment,dili nyingi,natarajia mwaka ujao kuwa wa mafanikio🌟 Wadau, tujadili! 🌟
Mwaka 2024 unakaribia kufika mwisho, na bila shaka kila mmoja wetu ana kumbukumbu ambazo zimeacha alama isiyofutika.
Je, ni tukio gani kubwa, la kusisimua, au la kuumiza ambalo limekuacha na hisia ambazo hautaweza kusahau?
Pole sana mkuu2024 Nimempoteza Baba yangu It’s Pain
So sadDamn pole bro
So sadDamn pole bro
Shukrani ChiefPole sana mkuu
Yote kuhusu hapa jamvini Moja kuisema vibaya Ccm bila kuangalia na mema Waliyotufanyia Wananchi na kujisahaulisha kwamba hakuna kitu chenye Pande moja hapa Duniani Lingine Maneno ya Chuki na Uhasama dhidi ya Uislamu na Waislamu hapa jamvini Chuki na Hasira vikidhidi huwa vinapofusha Macho na kuziba Masikio Na kuondoa Akili Naomba Tuanze mwaka na Mada zenye kujenga Taifa letu Na kizazi Chetu sisi Kama Watanzania Na hoja zenye kuchochea Maendeleo kwa Mtu Mmoja mmoja bila kuzingatia Vyama Na tujihepushe na kuvunjiana Heshima zetu binafsi na familia zetu na Imani zetu Na Mungu Awaongoze Viongozi wetu na Awape Afya njema wazidi kututumikia kwa Uwadilifu na Hofu ya Mungu.Mungu wabariki WatanzaniA Mungu Ibariki TANZANIA.🌟 Wadau, tujadili! 🌟
Mwaka 2024 unakaribia kufika mwisho, na bila shaka kila mmoja wetu ana kumbukumbu ambazo zimeacha alama isiyofutika.
Je, ni tukio gani kubwa, la kusisimua, au la kuumiza ambalo limekuacha na hisia ambazo hautaweza kusahau?
very deepest sorry2024 Nimempoteza Baba yangu It’s Pain