Mwaka 2024 unakuachia kumbukumbu gani ambazo unadhani hautaweza kusahau?

Mwaka 2024 unakuachia kumbukumbu gani ambazo unadhani hautaweza kusahau?

Mwaka wa kingese sana bira uishe tu qmmk.

Mapenzi jau, nimefunga business, kazini nimetolewa kumuendesha boss sahivi nipo gari la pool, nimehama nyumba ya 2B1K1S sahivi single room, kwa kifupi kwangu 2024 uende tu qqmk
 
🌟 Wadau, tujadili! 🌟

Mwaka 2024 unakaribia kufika mwisho, na bila shaka kila mmoja wetu ana kumbukumbu ambazo zimeacha alama isiyofutika.

Je, ni tukio gani kubwa, la kusisimua, au la kuumiza ambalo limekuacha na hisia ambazo hautaweza kusahau?
Mama yangu mzazi kuondoka duniani. Pumzika kwa Amani Mama!
 
🌟 Wadau, tujadili! 🌟

Mwaka 2024 unakaribia kufika mwisho, na bila shaka kila mmoja wetu ana kumbukumbu ambazo zimeacha alama isiyofutika.

Je, ni tukio gani kubwa, la kusisimua, au la kuumiza ambalo limekuacha na hisia ambazo hautaweza kusahau?
Mauaji, utekaji, uteswaji na upotezwaji wa wanasiasa wa upinzani
 
🌟 Wadau, tujadili! 🌟

Mwaka 2024 unakaribia kufika mwisho, na bila shaka kila mmoja wetu ana kumbukumbu ambazo zimeacha alama isiyofutika.

Je, ni tukio gani kubwa, la kusisimua, au la kuumiza ambalo limekuacha na hisia ambazo hautaweza kusahau?
Nilifiwa na mtoto. Kupoteza mil22 kwenye Aviator. Aliyenifundisha alaaniwe
 
Back
Top Bottom