Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 20,137
- 26,189
Yangekuwa ya kitoto basi january ingekuwa sawa na desembaMnakuza sana mambo siku ni zile zile tu haya mambo ya Mwaka mpya ni vitu vya kitoto sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yangekuwa ya kitoto basi january ingekuwa sawa na desembaMnakuza sana mambo siku ni zile zile tu haya mambo ya Mwaka mpya ni vitu vya kitoto sana.
Mama yangu mzazi kuondoka duniani. Pumzika kwa Amani Mama!🌟 Wadau, tujadili! 🌟
Mwaka 2024 unakaribia kufika mwisho, na bila shaka kila mmoja wetu ana kumbukumbu ambazo zimeacha alama isiyofutika.
Je, ni tukio gani kubwa, la kusisimua, au la kuumiza ambalo limekuacha na hisia ambazo hautaweza kusahau?
Hukumla?Ant dorry alikuja ofisini kwangu akiwa kalewa chakali
Mauaji, utekaji, uteswaji na upotezwaji wa wanasiasa wa upinzani🌟 Wadau, tujadili! 🌟
Mwaka 2024 unakaribia kufika mwisho, na bila shaka kila mmoja wetu ana kumbukumbu ambazo zimeacha alama isiyofutika.
Je, ni tukio gani kubwa, la kusisimua, au la kuumiza ambalo limekuacha na hisia ambazo hautaweza kusahau?
Mambo ni mengi sana mkuuAseeh kwangu mengi tuu Ila nachoweza kusema....
Maisha yana funzo kubwa sana... Katika kupata, kukosa, furaha, maumivu n.k
Tusijitenge sana na watu, mtu yeyote ni msaada tosha kwenye maisha ya mtu yeyote!
Blood Ibn Unuq una la kusema 👊
Nilifiwa na mtoto. Kupoteza mil22 kwenye Aviator. Aliyenifundisha alaaniwe🌟 Wadau, tujadili! 🌟
Mwaka 2024 unakaribia kufika mwisho, na bila shaka kila mmoja wetu ana kumbukumbu ambazo zimeacha alama isiyofutika.
Je, ni tukio gani kubwa, la kusisimua, au la kuumiza ambalo limekuacha na hisia ambazo hautaweza kusahau?
Hapana ni antiel wangu hilo la kumla ni 3.14 mkuuHukumla?
an 🙏very deepest sorry
Pole sana2024 Nimempoteza Baba yangu It’s Pain
Milioni ngapi mkuu😊Nashukuru mwaka 2024 nimemnunua mtu Kwa bei poa sanaa
Pole.ilikuwaje mkuuTarehe 7.8.2024 sitaisahau maishani mwangu nilinusurika kufa kwa sababu ya ushirikina ila kwa uwezo wa MUNGU bado nipo hai naendelea kupambana.
Pole Sana. Ikawaje?Nilimfumania live mpenz wangu yupo na mwanamke mwingine ndani!