Mwaka 2024 unakuachia kumbukumbu gani ambazo unadhani hautaweza kusahau?

Mwaka 2024 unakuachia kumbukumbu gani ambazo unadhani hautaweza kusahau?

For Me It has Been A Good Year Indeed, My Struggles Was Not In Vain! I thank God And I'm Wishing You All A Blessed Upcoming New Year Of 2025🎉
 
Kumpoteza bab yangu (R.I.P)
Ni mwak nilioutumia bila kufany vtu by touch , niliishia kuwaza tuu

Kuzama kimapenz kizembe na kuw mzembe kihisia ktk mahusiano
 
🌟 Wadau, tujadili! 🌟

Mwaka 2024 unakaribia kufika mwisho, na bila shaka kila mmoja wetu ana kumbukumbu ambazo zimeacha alama isiyofutika.

Je, ni tukio gani kubwa, la kusisimua, au la kuumiza ambalo limekuacha na hisia ambazo hautaweza kusahau?
Ishu ya yule jamaa Baltasar Ebang Engonga ilitikisa sana mpaka kule nchini kwake wakakata internet
 
🌟 Wadau, tujadili! 🌟

Mwaka 2024 unakaribia kufika mwisho, na bila shaka kila mmoja wetu ana kumbukumbu ambazo zimeacha alama isiyofutika.

Je, ni tukio gani kubwa, la kusisimua, au la kuumiza ambalo limekuacha na hisia ambazo hautaweza kusahau?
Kuchukiwa na boss wangu kazini kisa alikua na demu wake ofisini aliyekua hapendi uwezo wangu wa kazi zaidi yake ilibaki kidogo nimloge 😀 😀 ila neema ya Mungu ilinibeba. hii ilinifanya nitafute kazi kwingine maana mambo yalizidia and sasa am comfortable maana they value my abilities
 
Kitu gani ambacho kimekutokea au umekishuhudia mwaka 2024 hautakisahau
1dc8fd879012a5ad268f3c527a13d0e8.jpg
 
Back
Top Bottom