Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ThanksPole sana
Akil ya mwanamke , unaambiw kabla ujawekez kwake hakikisha your 90x better than herUnapambana mtu kumjengea nyumba huku akikulalamikia kwanini hukutumia hela ulizonunua sement kumnunulia nguo.
Ishu ya yule jamaa Baltasar Ebang Engonga ilitikisa sana mpaka kule nchini kwake wakakata internet🌟 Wadau, tujadili! 🌟
Mwaka 2024 unakaribia kufika mwisho, na bila shaka kila mmoja wetu ana kumbukumbu ambazo zimeacha alama isiyofutika.
Je, ni tukio gani kubwa, la kusisimua, au la kuumiza ambalo limekuacha na hisia ambazo hautaweza kusahau?
Kuchukiwa na boss wangu kazini kisa alikua na demu wake ofisini aliyekua hapendi uwezo wangu wa kazi zaidi yake ilibaki kidogo nimloge 😀 😀 ila neema ya Mungu ilinibeba. hii ilinifanya nitafute kazi kwingine maana mambo yalizidia and sasa am comfortable maana they value my abilities🌟 Wadau, tujadili! 🌟
Mwaka 2024 unakaribia kufika mwisho, na bila shaka kila mmoja wetu ana kumbukumbu ambazo zimeacha alama isiyofutika.
Je, ni tukio gani kubwa, la kusisimua, au la kuumiza ambalo limekuacha na hisia ambazo hautaweza kusahau?
Brother 👊Mambo ni mengi sana mkuu
Ni story ndefu mkuuPole.ilikuwaje mkuu
Tupe japo vionjo mkuuNi story ndefu mkuu
Inshallah Utasimama tena 2025🙏2024 nimefilisika…
Insha Allah Leejay49Inshallah Utasimama tena 2025🙏