Alizima kwasababu ninyi ni watu wa jamuhuri ya mitandao, alitaka watanzania wa kweli wasikike siyo ninyiKwa nini alizima mitandao?
2010, 2015 mitandao ilikuwa full na ushindani wa kisiasa ulikuwa mkubwa ila mitandao haikuzimwa
Aliyejitia kupendwa sana akaogopa na kufanya uchunguzi gizani
Alizima sababu alikuwa anaogopa mitandao itaanika upuuzi wakeAlizima kwasababu ninyi ni watu wa jamuhuri ya mitandao, alitaka watanzania wa kweli wasikike siyo ninyi
Ila kura ya mazezeta ina value kubwa kuliko ya watu wa jamuhuri ya twiter...Be informed of this!Alizima sababu alikuwa anaogopa mitandao itaanika upuuzi wake
Wananchi wanaojitambua wapo mtandaoni, wenye elimu wanaoweza kuchambua pumba na mchele
Mazezeta wasiojitambua ndio ambao hawawezi hata kununua kifurushi, wao kila pumba wanayoambiwa na jiwe wanaamini
Value kubwa kwamba itabeba uzito mkubwa zaidi?Ila kura ya mazezeta ina value kubwa kuliko ya watu wa jamuhuri ya twiter...Be informed of this!
Halina ubishi,ngj wajipe moyo eti anapendwa,tutaingiza ht vichaa bungeni kuikomoa CCMHuku Kwa ground , mambo hayaendi, watu wana njaa ya Pesa, watu hawajaliwi Tena kwenye Taasisi za Umma, ongezeko kubwa la ujalifu mtaani, Viongozi wamekua na dharau zilizopitiliza, Ufisadi ukishamili.
Kibaya zaidi kwenye Siasa, Makamba anawaponda Walokufa, kwamba Walokufa, Wana Roho mbaya, wao ni wabaya
Yaaan Hayati Nyerere , Hayati Mkapa? Hayati JPM? !!
Huku Kwa Ground watu Wana hasira Sanaa, hasira ambazo wanamhitaji wawashangaze !!.
Ninaelewa Kwa Makaratasi tu haiwezekan, lakini pia NINA PINGA DOLA HII KUJA KUTALIWA NA UPINZANI.
Kwa hivo basi, Ikawe Heri, 2025, DOLA IMMPUMZISHE SAMIA SULUHU, NA NCHI IPONE , NA DOLA INAYOFATA FALSAFA ZA JPM ITAIBUKA NA USHINDI MKUBWAAA SANA SANA !!.
Zama za TAIFA lolote hapa Duniani kuongozwa Kwa Siasa za aina ya JK wa Msoga , Zilishapita !!.
Kaniongeza mshahara harafu nimchukieHuku Kwa ground , mambo hayaendi, watu wana njaa ya Pesa, watu hawajaliwi Tena kwenye Taasisi za Umma, ongezeko kubwa la ujalifu mtaani, Viongozi wamekua na dharau zilizopitiliza, Ufisadi ukishamili.
Kibaya zaidi kwenye Siasa, Makamba anawaponda Walokufa, kwamba Walokufa, Wana Roho mbaya, wao ni wabaya
Yaaan Hayati Nyerere , Hayati Mkapa? Hayati JPM? !!
Huku Kwa Ground watu Wana hasira Sanaa, hasira ambazo wanamhitaji wawashangaze !!.
Ninaelewa Kwa Makaratasi tu haiwezekan, lakini pia NINA PINGA DOLA HII KUJA KUTALIWA NA UPINZANI.
Kwa hivo basi, Ikawe Heri, 2025, DOLA IMMPUMZISHE SAMIA SULUHU, NA NCHI IPONE , NA DOLA INAYOFATA FALSAFA ZA JPM ITAIBUKA NA USHINDI MKUBWAAA SANA SANA !!.
Zama za TAIFA lolote hapa Duniani kuongozwa Kwa Siasa za aina ya JK wa Msoga , Zilishapita !!.
Una uhakika ?.Hasira kma hauna hela
Mawazo ya masikin anawaza mshahara😂Kaniongeza mshahara harafu nimchukie
Ndo wakati wa kutumia fursa katika kilimo, wekeza kwenye kilimo sasa unufaike. Zamani watu waliacha kuwekeza kwenye kilimo kutokana na kutokuwa na soko la uhakika la mazao au kutokana na bei za mazao kuwa chini ukilinganisha na gharama za uzalishaji.Endelea kusikitika hadi ufe!
Democrasia ya nyoko? Unakula hiyo democrasia?
Unga 2000
Maharage 4000
Mchele 4000
Mafuta ndio kama hivyo!
Hiyo democrasia yako inakusaidia nini?
Mavi kweli.
Zile bastola zilizotumika ku force matokeo mwaka 2020 bado hazijatumika ujue.Huku Kwa ground , mambo hayaendi, watu wana njaa ya Pesa, watu hawajaliwi Tena kwenye Taasisi za Umma, ongezeko kubwa la ujalifu mtaani, Viongozi wamekua na dharau zilizopitiliza, Ufisadi ukishamili.
Kibaya zaidi kwenye Siasa, Makamba anawaponda Walokufa, kwamba Walokufa, Wana Roho mbaya, wao ni wabaya
Yaaan Hayati Nyerere , Hayati Mkapa? Hayati JPM? !!
Huku Kwa Ground watu Wana hasira Sanaa, hasira ambazo wanamhitaji wawashangaze !!.
Ninaelewa Kwa Makaratasi tu haiwezekan, lakini pia NINA PINGA DOLA HII KUJA KUTALIWA NA UPINZANI.
Kwa hivo basi, Ikawe Heri, 2025, DOLA IMMPUMZISHE SAMIA SULUHU, NA NCHI IPONE , NA DOLA INAYOFATA FALSAFA ZA JPM ITAIBUKA NA USHINDI MKUBWAAA SANA SANA !!.
Zama za TAIFA lolote hapa Duniani kuongozwa Kwa Siasa za aina ya JK wa Msoga , Zilishapita !!.
Ngoja tuoneHuku Kwa ground , mambo hayaendi, watu wana njaa ya Pesa, watu hawajaliwi Tena kwenye Taasisi za Umma, ongezeko kubwa la ujalifu mtaani, Viongozi wamekua na dharau zilizopitiliza, Ufisadi ukishamili.
Kibaya zaidi kwenye Siasa, Makamba anawaponda Walokufa, kwamba Walokufa, Wana Roho mbaya, wao ni wabaya
Yaaan Hayati Nyerere , Hayati Mkapa? Hayati JPM? !!
Huku Kwa Ground watu Wana hasira Sanaa, hasira ambazo wanamhitaji wawashangaze !!.
Ninaelewa Kwa Makaratasi tu haiwezekan, lakini pia NINA PINGA DOLA HII KUJA KUTALIWA NA UPINZANI.
Kwa hivo basi, Ikawe Heri, 2025, DOLA IMMPUMZISHE SAMIA SULUHU, NA NCHI IPONE , NA DOLA INAYOFATA FALSAFA ZA JPM ITAIBUKA NA USHINDI MKUBWAAA SANA SANA !!.
Zama za TAIFA lolote hapa Duniani kuongozwa Kwa Siasa za aina ya JK wa Msoga , Zilishapita !!.
Zile bastola zilizotumika ku force matokeo mwaka 2020 bado hazijatumika ujue.
Ndo wakati wa kutumia fursa katika kilimo, wekeza kwenye kilimo sasa unufaike. Zamani watu waliacha kuwekeza kwenye kilimo kutokana na kutokuwa na soko la uhakika la mazao au kutokana na bei za mazao kuwa chini ukilinganisha na gharama za uzalishaji.
Kalosi, rekebisha heading yako, ugombea wa Samia 2025 sio wa kulazimisha!, ni ugombea wa mserereko as deserving kwa mujibu wa taratibu za CCM, hivyo kusema endapo atalaziisha, sio kumtendea haki, anayelazimisha ni yule undeserving anae force!.
Ila hili la Samia kugombea 2025, sauti tayari zipo Voices From Within: Japo 2025 Tumepanga Twende na Mwanamke, 2025 Mama Akabidhi Kwanza Mwanamume, Kisha 2030 Ndipo Aje Mwanamke
P
Bila Shaka upo usingizini,kwa Taarifa yako Ni kuwa mh Rais wetu mpendwa mama Samia suluhu Hassani anakubalika na kupendwa Sana na watanzania kutokana na kazi kubwa na ya kutukuka aliyoifanya katika kuwatumikia watanzania wanyonge wasio na sauti katika kuijenga nchi yetu,mh Rais wetu amegusa na kuweka mikono yake katika kila eneo, amefanya uwekezaji wa mabillioni ya pesa za kitanzania kuhakikishia kuwa huduma muhimu zinasogezwa karibu ya mtanzania. Kila eneo utakapokwenda unakuta kazi kubwa imefanywa na mh Rais wetu mpendwa mama Samia,Kwa hakika Rais wetu Hana wa kushindana Naye Wala kushindanishwa naye
Upinzani utanyakua siyo wabunge tu, bali utachukua dola kabisa.
Naunga mkono hoja, ila determinant ya mshindi wa chaguzi zetu, sio mpiga kura, bali muhesabu kura.Upinzani utanyakua siyo wabunge tu, bali utachukua dola kabisa.
Yule simba wa Kizimkazi Zoo atalishughulikia suala hili kikamilifu.Naunga mkono hoja, ila determinant ya mshindi wa chaguzi zetu, sio mpiga kura, bali muhesabu kura.
P