Mwaka 2025, Upinzani utajinyakulia viti vya kutosha Bungeni kama ilivyokuwa 2015, Endapo tu Samia atalazimisha Kusimama !!!

Mwaka 2025, Upinzani utajinyakulia viti vya kutosha Bungeni kama ilivyokuwa 2015, Endapo tu Samia atalazimisha Kusimama !!!

Kwa nini alizima mitandao?

2010, 2015 mitandao ilikuwa full na ushindani wa kisiasa ulikuwa mkubwa ila mitandao haikuzimwa
Aliyejitia kupendwa sana akaogopa na kufanya uchunguzi gizani
Alizima kwasababu ninyi ni watu wa jamuhuri ya mitandao, alitaka watanzania wa kweli wasikike siyo ninyi
 
Alizima kwasababu ninyi ni watu wa jamuhuri ya mitandao, alitaka watanzania wa kweli wasikike siyo ninyi
Alizima sababu alikuwa anaogopa mitandao itaanika upuuzi wake
Wananchi wanaojitambua wapo mtandaoni, wenye elimu wanaoweza kuchambua pumba na mchele

Mazezeta wasiojitambua ndio ambao hawawezi hata kununua kifurushi, wao kila pumba wanayoambiwa na jiwe wanaamini
 
Alizima sababu alikuwa anaogopa mitandao itaanika upuuzi wake
Wananchi wanaojitambua wapo mtandaoni, wenye elimu wanaoweza kuchambua pumba na mchele

Mazezeta wasiojitambua ndio ambao hawawezi hata kununua kifurushi, wao kila pumba wanayoambiwa na jiwe wanaamini
Ila kura ya mazezeta ina value kubwa kuliko ya watu wa jamuhuri ya twiter...Be informed of this!
 
Huku Kwa ground , mambo hayaendi, watu wana njaa ya Pesa, watu hawajaliwi Tena kwenye Taasisi za Umma, ongezeko kubwa la ujalifu mtaani, Viongozi wamekua na dharau zilizopitiliza, Ufisadi ukishamili.

Kibaya zaidi kwenye Siasa, Makamba anawaponda Walokufa, kwamba Walokufa, Wana Roho mbaya, wao ni wabaya

Yaaan Hayati Nyerere , Hayati Mkapa? Hayati JPM? !!

Huku Kwa Ground watu Wana hasira Sanaa, hasira ambazo wanamhitaji wawashangaze !!.


Ninaelewa Kwa Makaratasi tu haiwezekan, lakini pia NINA PINGA DOLA HII KUJA KUTALIWA NA UPINZANI.


Kwa hivo basi, Ikawe Heri, 2025, DOLA IMMPUMZISHE SAMIA SULUHU, NA NCHI IPONE , NA DOLA INAYOFATA FALSAFA ZA JPM ITAIBUKA NA USHINDI MKUBWAAA SANA SANA !!.


Zama za TAIFA lolote hapa Duniani kuongozwa Kwa Siasa za aina ya JK wa Msoga , Zilishapita !!.
Halina ubishi,ngj wajipe moyo eti anapendwa,tutaingiza ht vichaa bungeni kuikomoa CCM
 
Huku Kwa ground , mambo hayaendi, watu wana njaa ya Pesa, watu hawajaliwi Tena kwenye Taasisi za Umma, ongezeko kubwa la ujalifu mtaani, Viongozi wamekua na dharau zilizopitiliza, Ufisadi ukishamili.

Kibaya zaidi kwenye Siasa, Makamba anawaponda Walokufa, kwamba Walokufa, Wana Roho mbaya, wao ni wabaya

Yaaan Hayati Nyerere , Hayati Mkapa? Hayati JPM? !!

Huku Kwa Ground watu Wana hasira Sanaa, hasira ambazo wanamhitaji wawashangaze !!.


Ninaelewa Kwa Makaratasi tu haiwezekan, lakini pia NINA PINGA DOLA HII KUJA KUTALIWA NA UPINZANI.


Kwa hivo basi, Ikawe Heri, 2025, DOLA IMMPUMZISHE SAMIA SULUHU, NA NCHI IPONE , NA DOLA INAYOFATA FALSAFA ZA JPM ITAIBUKA NA USHINDI MKUBWAAA SANA SANA !!.


Zama za TAIFA lolote hapa Duniani kuongozwa Kwa Siasa za aina ya JK wa Msoga , Zilishapita !!.
Kaniongeza mshahara harafu nimchukie
 
Endelea kusikitika hadi ufe!

Democrasia ya nyoko? Unakula hiyo democrasia?

Unga 2000
Maharage 4000
Mchele 4000
Mafuta ndio kama hivyo!

Hiyo democrasia yako inakusaidia nini?

Mavi kweli.
Ndo wakati wa kutumia fursa katika kilimo, wekeza kwenye kilimo sasa unufaike. Zamani watu waliacha kuwekeza kwenye kilimo kutokana na kutokuwa na soko la uhakika la mazao au kutokana na bei za mazao kuwa chini ukilinganisha na gharama za uzalishaji.
 
Huku Kwa ground , mambo hayaendi, watu wana njaa ya Pesa, watu hawajaliwi Tena kwenye Taasisi za Umma, ongezeko kubwa la ujalifu mtaani, Viongozi wamekua na dharau zilizopitiliza, Ufisadi ukishamili.

Kibaya zaidi kwenye Siasa, Makamba anawaponda Walokufa, kwamba Walokufa, Wana Roho mbaya, wao ni wabaya

Yaaan Hayati Nyerere , Hayati Mkapa? Hayati JPM? !!

Huku Kwa Ground watu Wana hasira Sanaa, hasira ambazo wanamhitaji wawashangaze !!.


Ninaelewa Kwa Makaratasi tu haiwezekan, lakini pia NINA PINGA DOLA HII KUJA KUTALIWA NA UPINZANI.


Kwa hivo basi, Ikawe Heri, 2025, DOLA IMMPUMZISHE SAMIA SULUHU, NA NCHI IPONE , NA DOLA INAYOFATA FALSAFA ZA JPM ITAIBUKA NA USHINDI MKUBWAAA SANA SANA !!.


Zama za TAIFA lolote hapa Duniani kuongozwa Kwa Siasa za aina ya JK wa Msoga , Zilishapita !!.
Zile bastola zilizotumika ku force matokeo mwaka 2020 bado hazijatumika ujue.
 
Huku Kwa ground , mambo hayaendi, watu wana njaa ya Pesa, watu hawajaliwi Tena kwenye Taasisi za Umma, ongezeko kubwa la ujalifu mtaani, Viongozi wamekua na dharau zilizopitiliza, Ufisadi ukishamili.

Kibaya zaidi kwenye Siasa, Makamba anawaponda Walokufa, kwamba Walokufa, Wana Roho mbaya, wao ni wabaya

Yaaan Hayati Nyerere , Hayati Mkapa? Hayati JPM? !!

Huku Kwa Ground watu Wana hasira Sanaa, hasira ambazo wanamhitaji wawashangaze !!.


Ninaelewa Kwa Makaratasi tu haiwezekan, lakini pia NINA PINGA DOLA HII KUJA KUTALIWA NA UPINZANI.


Kwa hivo basi, Ikawe Heri, 2025, DOLA IMMPUMZISHE SAMIA SULUHU, NA NCHI IPONE , NA DOLA INAYOFATA FALSAFA ZA JPM ITAIBUKA NA USHINDI MKUBWAAA SANA SANA !!.


Zama za TAIFA lolote hapa Duniani kuongozwa Kwa Siasa za aina ya JK wa Msoga , Zilishapita !!.
Ngoja tuone
 
Ndo wakati wa kutumia fursa katika kilimo, wekeza kwenye kilimo sasa unufaike. Zamani watu waliacha kuwekeza kwenye kilimo kutokana na kutokuwa na soko la uhakika la mazao au kutokana na bei za mazao kuwa chini ukilinganisha na gharama za uzalishaji.
 
Bila Shaka upo usingizini,kwa Taarifa yako Ni kuwa mh Rais wetu mpendwa mama Samia suluhu Hassani anakubalika na kupendwa Sana na watanzania kutokana na kazi kubwa na ya kutukuka aliyoifanya katika kuwatumikia watanzania wanyonge wasio na sauti katika kuijenga nchi yetu,mh Rais wetu amegusa na kuweka mikono yake katika kila eneo, amefanya uwekezaji wa mabillioni ya pesa za kitanzania kuhakikishia kuwa huduma muhimu zinasogezwa karibu ya mtanzania. Kila eneo utakapokwenda unakuta kazi kubwa imefanywa na mh Rais wetu mpendwa mama Samia,Kwa hakika Rais wetu Hana wa kushindana Naye Wala kushindanishwa naye
 
Back
Top Bottom