Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata wewe nakukaribisha join the chain usisubiri 2025, Sasa tuko awamu ya mguu Kwa mguu ya join the chain. Hautajilaumu Kwa uamuzi huo.Baadhi ya wanaCcM wameanza kuzila kushiriki shughuli za chama.
Mfano ni huu uchaguzi wq jumuia za wazazi. Watu wamezila.
Kuna harufu ya mgawanyiko. Na utakuwa mkubwa sana mwaka 2025.
Chadema no hate no fear 😂SASA KAMA CHADEMA HATUWEZI KUPOKEA MTU KUTOKA CCM,,NAAMINI VIONGOZI WA CHADEMA HAWATATUANGUSHA
Sidhani kama watu wanaweza hama ccm wakaja huko kwa sasa kutokana na tabia yenu,yaani mtu akihama kutok ccm kuja kwenu eti kavutiwa na sera zenu akihama kutoka kwenu kwenda ccm eti kanunuliwa na nimsaliti.Hata wewe nakukaribisha join the chain usisubiri 2025, Sasa tuko awamu ya mguu Kwa mguu ya join the chain. Hautajilaumu Kwa uamuzi huo.
Kununua au kuhama Kwa hiari zipo dhahiri shairi,ila Ile awamu yenu pendwa manunuzi yalikuwa Tena Kwa mnada,na wakati mwingine vitisho,manyanyaso na uonevu wa shinikizo la kibadili mtazamo wa kiitikadi,ikiaminiwa wakati huo nikuwa vyama vyenye mawazo mbadala 🤭Sidhani kama watu wanaweza hama ccm wakaja huko kwa sasa kutokana na tabia yenu,yaani mtu akihama kutok ccm kuja kwenu eti kavutiwa na sera zenu akihama kutoka kwenu kwenda ccm eti kanunuliwa na nimsaliti.
Tulia chakubanga wewe nyie ndiyo waasisi wa mgawanyo wajinga nyieBaadhi ya wanaCcM wameanza kuzila kushiriki shughuli za chama.
Mfano ni huu uchaguzi wa jumuia za wazazi. Watu wamezila.
Kuna harufu ya mgawanyiko. Na utakuwa mkubwa sana mwaka 2025.
Kakejeli vipi? funguka.Sijawahi kusikia makamu wa Rais akimkejeli boss wake ila awamu hii nimesikia
Waongeze TU juhudi ya kujichimbia kaburi lao kwani wakifanya mzaha wataishia kuliwa na tai🦅CCM ilishajifia siku nyingi 👮♀️
Endelea kuota hivyo hivyo. Na utasubiri sana.Baadhi ya wanaCcM wameanza kuzila kushiriki shughuli za chama.
Mfano ni huu uchaguzi wa jumuia za wazazi. Watu wamezila.
Kuna harufu ya mgawanyiko. Na utakuwa mkubwa sana mwaka 2025.
Watahana, upinzani utapata majimbo, ila sio ccm kuanguka.Baadhi ya wanaCcM wameanza kuzila kushiriki shughuli za chama.
Mfano ni huu uchaguzi wa jumuia za wazazi. Watu wamezila.
Kuna harufu ya mgawanyiko. Na utakuwa mkubwa sana mwaka 2025.
Anaitwa Idugunde au jina lingine hutumia IndegendeHuu uzi mbona kama mwandishi ni CCM!!
🤣🤣Tulia chakubanga wewe nyie ndiyo waasisi wa mgawanyo wajinga nyie
Tutawakata wotee
Mataga wotee lazima tule vichwa mlianza wenyewe tulien hivo hivo
Washamba wakubwa
Uzuri wenyewe walishakubali kuwa SII wamoja Tena,Bali vipande vipande 🏃🏃Huu uzi mbona kama mwandishi ni CCM!!
The whole truthChadema no hate no fear 😂